City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Pumbavu kabisa hili, ni jitu la kupuuzwa. Wanamharibia sana mama Samia kuonekana wanawake hawawezi.Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Kwenye ndoa kuna rushwa ya Haki.rushwa ya ngono hii😆😆😆
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Kauli ya muuza k utaijua tu.Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Mtakua mme quote out of contest, hawezi kiliweka hivo leta clip yote tusikilize achani kudhalilisha wanawake plz.
Kaongea kitu cha kawaida sana tena kilichosheheni tafsida ila kwa nongwa zenu mnatafsiri ndivyo sivyo,
kwani kuna ubaya gani ukisubiri mtu asubuhi saa 11 na umueleze tena???
Nani asiyejua kazi zinachosha mtu umetoka kwenye foleni huko halafu unaletewa habari za uchaguzi, lazima somo likuingie saa 11 asubuhi
Kwa kifupi 2025 mwendo ni mmoja tu. . . . . Chama pendwa Mbele kwa Mbele🔥🔥🔥
wewe msafi tena saana kaongoze wewe pumbaf kabisaMchafu sana Huyu mama
Kumbe! ndio CCM walivyo mwingine amesema anaipenda CCM kuliko watoto wake.Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Ccm must go waende wapi [emoji1]Hapa ndio inabidi tujiulize hawa watu wanatudharau kiasi gani hadi kutuwekea watu kama hawa kuwa viongozi wajuu kitaifa.
CCM must go, how (binafsi sijui), lakini lazima wapatikane watu wenye agenda ya kuelewa wanataka kuifikisha wapi nchi na mbinu ya kukitoa hiki chama cha hovyo madarakani.
Ukisoma vizuri post yangu nimesema pia watu wenye kujua wanataka kuipeleka wapi nchi wajipange.Ccm must go waende wapi [emoji1]
Ccm there are here to stay
Kuna uzi naona umesupport msaidizi wa lisu kushambuliwa
Acha tu ccm waendeleee kutawala maana nyie si mnawataka
Ova
Huyo mwanga tu, hana zaidi.Kumbe! ndio CCM walivyo mwingine amesema anaipenda CCM kuliko watoto wake.