Sasa wewe utakuwa na nafasi kwenye serikali ya mboga mboga tena TRA kisha Ikulu halafu ukose hela si utakuwa una wazimu.Huyo aliyefanya vurugu mke wake ana hela balaa ni mfanyabiashara mkubwa sana kariakoo
Hongera kwa busaraUkiwa Club jiheshimu sana hasa dada zetu, haiwezekani huyo Derrick kuvamia meza ya kina Julian na kumtaka dada yake aondoke naye akapige hapana, kuna mambo yalifanyika background - yawezekana kasonda misosi na vinywaji vya ma laki afu kuondoka kwenda kukalia hataki- kaka mtu na yeye anaibuka kumsaidia dadake asiende wakati kashiba hela za wenyewe.
Sitetei huu ujinga ila dada zetu nao ndiyo vyanzo vya haya matukio.
Miaka ya nyuma kipindi ujana ndo upo moto niiishaenda ckub X nikiwa peke yang, kufika ndani pic ikanielewa - mwanaume nikaanza kumwaga misosi na vinywaji mziki na makiss kwa saana. Baada ya muda wakaja vijana wawili mbele ya yule demu wakaniambia wananipa dk 5 tu niwe nimepotea ndani ya ukumbi. Demu alipojaribu kunifuata exit door alipigwa kibao kitakatifu akaanguka chini - sikugeuka nyuma nikatokomea.
Sema mmiliki nae goigoi...huenda ni IMPOTENT..anahangaika ka bataTwelve napo pameshakuwa pafujo tuende wapi sasa!
Sijaelewa kwanini wanamuhusisha mmiliki kwenye hili? Wanataka kuieliminate 12? Sijaelewa.
Ndio raha ya kushirikiana na wachawi! Ni sawa na kuwa na bwana muuza madawa au mhalifu halafu udhani wewe au familia mnayoitengeneza itakuwa salama, ndoto.Hiyo clip ya pili huyo manager hakukumbuka kama kuna camera? ni mzembe, hapo namuhurumia tu huyo Dada Mfanyakazi sasa masikini ya Mungu anaanikwa kwenye ugomvi usiomuhusu.
Angalia vizuri, kilichomtoa damu ni kupigwa na bastola.Shati jeupe kaanza kurusha ngumi. Amemrushia ngumi shati la maua wakati wakiwa hawatazamani, shati jeupe akiwa nyuma ya shati la maua.
Akampiga ngumi ya kisogo.
Shati jeupe alipogeukiwa na shati la maua akakoki bastola. Shati la maua akarusha ngumi ya kilevi (kwakua alikua kalewa ndiyo maana hakuiona bastola au hakujali, mi nahisi hakuiona) shati jeupe easily akakwepa, akajibu kwa low kick ambayo ikampeleka jamaa chini.
Shati jeupe anakoki tena bastola. Anainyoosha kwa shati la maua, shati la maua anakinga mkono halafu anaudaka mguu (nafikiri hapa sasa ndiyo akajua jamaa katoa bastola) kisha shati la maua anaanza kutokwa damu.
Hapa najiuliza hajapigwa risasi? Mbona hayo mateke hayatoshi kukutoa damu kiasi hicho na ukawa disoriented mpaka ukalala chini kabisa. Ama tuseme mwili wako hauwezi kuchukua adhabu.
Huyu jamaa na porn yake, boss wa klabu. Anajua kua kamera zipo, kisha akaamua amle mtu humo humo?
Visa vya watu wenye hela vinafurahisha. Ila shati jeupe ndiye kaanzisha ugomvi kwa hapa, haiwezekani kusema alikua anajitetea.
Wanawake wapumbavu sanaUkiangalia vizuri video ni kama vile alikuwa anamziba kaka yake mdomo asijibizane na huyu mtu mwenye silaha
😂 Mi sijasema! Kwani inatakiwa kuwaje?Sema mmiliki nae goigoi...huenda ni IMPOTENT..anahangaika ka bata
Mbona mi nimeona tofauti? Hebu "nielese"She was definitely upande wa bwana na sio wa kaka
Atawaambia nini watoto wake, mke wake, wakwe zake na ndugu zake?Hahahah hakujua ipo siku michezo yake itaonekana live bila chenga kwa watanzania😆 sema kikubwa amegonga pisi kali ya kimanga
Waarabu wapemba wanajuana kwa vilembaHivi rais Samia atakuwa anajua haya, kwamba anakumbatia vibaka, wahalifu?!!!
Hakuna kesi hapo.. kesi ya Walevi!?
Wakina nani ndio wanajiheshimu hapo?Dah! Aisee! Uchafu wa kila aina, ila wanawake wengi hawajiheshimu kakabisa
Peleleza wewe mpelelezi, sisi ni kujichukulia sheria mkononi na kumuadhibu kwa mujibu wa sheria za Wahuni.Duh!...huu ndio upelelezi ?
FaqNi mpumbavu kwakweli...
Na usikute Dada alishafanikiwa connection, na bia kala. Fala anamzuia dada.
Ameipata haki yake.
Naona hapa dada alimshika koo asiendelee kuongea. Huenda alitoa matusi makali kwa huyo mwamba.