Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.Kuchamba kwingi, naendelea kumpongeza marehemu katibu
Wakuu mwenye picha na jina la katibu aweke hapa tumuone.
🤣🤣🤣🤣Unakuta watoto wote wa Mlinzi au Katibu wa Kanisa🤣🤣🤣Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
Cha msingi aombe Mungu tu asiwe chama la wana manake unaweza ukakuta kuna mwengine naye anapiga kimya kimya aka Wazee wa Minyato.View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapita🙏🏿
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
Acha kujitetea bikra gan inatoka kwa kukimbia?Bikira zilitoka wakati wa kukimbia mchakamchaka huko shule
Yethuu na Marie ina maana hata watoto sio wa baba mchungaji?Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
Kaamua kukwepesha mjadalaNo way out.
Tuombeeni, Nasi huku tunaomba.No way out.
Umewaza kama mimi...sema umetangulia ku reply...kuna mchezo.umechezwa hapaItakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
It may beItakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
Wasikupuuze kwa huu ujumbe.Hivi kuna mtu anaamini hizi taarifa?
Ukikamia tu mechi za kitandani ndipo unaharibu kabisaaa, waulize wakulungwa [emoji1787]Amtie sanaa leo usiku kupunguza hasira.
Wale wapumbavu wa "TAFUTA HELA" wamepotelea wapi leo hii kwa hii mada?Show off nyingi. Kila mahali picha na foto as if sisi wengine hatuna wanawake.
Sasa kakandamiziwa kwenye kumi na nane zake.
Angetumia siku ya kesho kupima DNA za watoto wa huyo mwanamke.
Watu wenye kujionyesha saana hawana shoo za maana ndani
Nasubiri pole ya Mc pilipili kwa Masanja 😂Kaamua kukwepesha mjadala