Igweeeeeee kwa Javeline[emoji119][emoji119]Hakuna misafara ya Urusi huko Ukraine, Javeline ya muingereza imekuja kutuambia kuwa hakuna mbabe wa vifaru na misafara ya kipumbavu dhidi yake.
Heshima yake Javeline.
Vikusaidie nini ukishajua? Huwezi kujibu hoja zake pita kimya kimya uende zakoNaomba kujua umri wako na elim yako please...
Kwanini Russia asiwe na mfumo wake rasmi wa kusambaza taarifa zake? Yes RT alifurushwa kwa mabeberu yeye ni 'super power' atengeneze mfumo wake ambao hautoweza kuzuiwa na Marekani,simpleMbona Marekani na NATO ndiyo hawataki Urusi isikike mpaka wakakata hata mtandao wa RT wa Urusi ili ulimwengu usikie upande wao tu? Unachosema ni kinyume kabisa na ukweli unaojiri.
Na Warussi wa kolomije wanakaribia pia kufikawarusi weusi wa kibaigwa washa fika
Wamevurugwa mkuu,naona wengi wao wameamu kujibanza kwa ule uzi Live huko wanapeana matumaini na mi comment mirefu isiyokuwa na point[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pro Russia mna nini...
So alienda Kiev kuharibu vifaru vyake na Askari wake kufa alafu akaamua kurudi Moscow?
Mkuu bado una ule msimamo wa hii ni 'special operation' au umekubali sasa kuwa hii ni Vita?Vita siyo lele mama...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo Pilot wa Russia ni Andunje? alafu huyo aliyemkwida mbona kama Ruud Van Nistelrooy?
Mkuu tumeshafika Kyiv au tusharudi hadi Moscow[emoji3]ila BUCHA naona wanacheka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alikuwa super tall ila huo utunchi ni madhara yaliyokuja na kombora
Umenotice kitu muhimu sana Mkuu, wengi wao ni kweli kabisa ni kizazi cha BRN,wanashindana kuscreen shot mapicha kutoka twitter na kutujazia humu basi.Wapuuzi hawa watoto , au ndio like kizazi cha FFFFFFF na standardisation + BRN
Bado nipo upande wa Russia...Mkuu bado una ule msimamo wa hii ni 'special operation' au umekubali sasa kuwa hii ni Vita?
Nani kamuangusha mwenzake?.cheki wanajeshi wa ukraine kama vile kuku wanasubiri kuchinjwaMmebadilisha wimbo? Mtamlamba matako sana huyo putin lakini ndo basi tena jamaa kawaangusheni
Unaleta habari za theory na darasani hapa JFUnaweza nieleza unaelimu gani kuhusu vita. Kama sio vita diplomasia ya nje.
Unaweza nieleza ulishawai kuandikia ripoti vita gani kati ya vita zilizotokea.
Kijana huko tandale ujuaji na porojo za urusi na ukraine
Hii tukubaliane kwamba bwana mkubwa Urusi ameaibika,Sasa wamekimbilia Belarus kujipanga upya.Mwanajeshi sio raia?View attachment 2175364
Si alisema nchi itakayoingilia itakiona cha mtema kuni, imekuwaje nchi Zaid ya 30 zimeingilia na mtema kuni hajatokeaWe mpuuzi kweli mwamba pekee yake katwangana na nchi zaidi ya 30 na kaibuka kidedea
inawezekana maana hao orc wameua raia na kubaka wanawakeila BUCHA naona wanacheka
Unaleta habari za theory na darasani hapa JF
Sisi sio walimu hapa JF, Wengine sisi tunahitaji pesa
Mambo ya kuandika paper, Sijui journal, Peleka kwa mkeo