Mashabiki wa Urusi wanavyoswitch habari ziende wanavyotaka wao na wasikilize wanachotaka wao (walidharau Mwiba mguu waanza kuoza)

Huyo britanicca anaishi Russia anajua anachosema ni muda mrefu Sana anaishi ulaya
 
Kitendo cha Russia kutaka kumwondoa madarakani raisi WA Ukraine ni kazi kubwa Sana hata kama Ukraine itabakia magofu bado Russia atasumbuka Sana..
Kama Russia ameona Bora afanye usajili Kwa vikundi vya mamluki ujue hapo kuna ugumu mkubwa vitani.
 
Huyo britanicca anaishi Russia anajua anachosema ni muda mrefu Sana anaishi ulaya
Hakuna kitu kama hicho si ajabu anaishi kwa mpalange lakini anajifanya anaishi nje. Mimi naishi scandinavia nafahamu propganda zilizopo.

Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vita. Jikumbushe walisema sadam ana kitu gani na propaganda zilizofanywa na mwisho wa siku wamekiri kitu gani.

Hivyo hivyo kwa Gaddaf na vita zingine za west. Sasa ukiziamini ndio matokeo yake.

Mwaka mmoja na nusu walisema hivyo kwa maduro leo hii wanataka awauzie mafuta na wanamwita rafiki.
 
MKUU Niko Russia mwaka 7, nilitoka tu last year Kwenda Pyangyong kwa week kadhaa Na Kurejea Russia ,


 
ebu jikite kweny mada , Urusi anapumulia mashine
 
Urusi wamepigwa vibaya, ndio maana saa hii UN Imekaa kuwahurumia kwa jinsi jeshi la Ukraine lilivyokuwa na nguvu huwalinda raia na mali zao
 
Labda sielewi maana ya kushinda vitani. Yaani UN amekaa kwa ajili yake, kila sehemu amepeleka msiba, anapiga wanajeshi wako wanasepa anaigia anawala dada zao tigo na kuwafukia wazima. Halafu unasema amepigwa sana. Maana yake nini. Watu wamekuwa wakimbizi zaidi ya 5mil.
Ulitaka aue wote na aondoke hakuna hata jengo. Ndio useme ameshinda.
 
kwa akili zako uhalibifu wa mali za nchi mwenyeji ww vita ndo kushindwa vita ? au unahisi vita ingrpiganwa Urusi vitu visingeharibika?
Ukiachana na kuharibiwa tu DOM BAS sio tena eneo la UKRAINE haribifu lakwanza hili
Na hapa walipofikia ODESA na uwanda mzima ule wapwani unaopakana na CRIMEA hautakua tena mali ya UKRAINE
Hii OP ilikua kimkakati zaidi kuharibiwa nchi kwenye mapigano nikawaida ila kumegwa sehemu zahio nchi nakuunganishwa ama nakufanywa kua kama taifa linalojitegemea ndio tatizo
Kiufupi yanayomtokea ama yatakayomtokea UKRAINE kwenye hii OP kama yalomkuta GEORGIA mwaka 2008 baada yakumalizwa mapigano watu wakasepa na OSETIA na ABKHAZIA kama sijakosea
Huyu nae kwenye hii OP kuanza wameanza na DONESTK na LUHANSK na bado wanaendelea na ODESSA wanaendelea na KHARKIV wanaendelea na MAURIOPOL
Kiufupi UKRAINE haitakua tena kwenye ile shape yake iliokua nayo miezi miwili ama mitatu kabla ya hii OP nahii ndio main target
 
Kitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Akwahio na kitendo cha kuishia njiani kwa majeshi ya US na NATO pale SYRIA bila kumfurumusha Assad ndio kinachodhihirisha kwamba wamefeli ama walifeli!!!??
 

Putin alimpa rais wa Ukraine masaa 24 ajisalimishe, aweke silaha chini la sivyo atamuondolea mbali na kusimika utawala mpya Kiev, alichokutana nacho, amepoteza mara mia zaidi na amekunja mkia anageuza, na anafuatwa huko huko....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…