britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #101
HeeMrusi mwenzangu huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeMrusi mwenzangu huyu
Daah vita mbaya sana, imagine wangapi wameuawawa namna hii? Sababu eti kujionyesha ubabeMwanajeshi sio raia?View attachment 2175364
naona utoto mwingiVikusaidie nini ukishajua? Huwezi kujibu hoja zake pita kimya kimya uende zako
Huyo britanicca anaishi Russia anajua anachosema ni muda mrefu Sana anaishi ulayaHizo takwimu umepata wapi wakati official figure raia waliokufa 1,437 wewe unatoa 5000+ lakini pia hujatoa vyanzo vya taafifa zako ni kipi. Acheni propaganda ya vita visivyokuhusu.
badala yake Fikiria namna ya kupambana na gharama za maisha zilizopanda namna gani utasaidia familia na jamii yako.
Kitendo cha Russia kutaka kumwondoa madarakani raisi WA Ukraine ni kazi kubwa Sana hata kama Ukraine itabakia magofu bado Russia atasumbuka Sana..Wakati Russia inashinda vita kwenye uwanja wa Mapambano,Ukraine inashinda vita kwenye vyombo vya Habari vya Magharibi!
Asikwambie mtu Ukraine imeharibiwa vibaya sana kiasi kwamba itachukua muda mrefu kurudi katika hali yake ya kawaida! Tusidanganywe na habari za Uongo za Vyombo vya Nchi za Magharibi.
Hakuna kitu kama hicho si ajabu anaishi kwa mpalange lakini anajifanya anaishi nje. Mimi naishi scandinavia nafahamu propganda zilizopo.Huyo britanicca anaishi Russia anajua anachosema ni muda mrefu Sana anaishi ulaya
MKUU Niko Russia mwaka 7, nilitoka tu last year Kwenda Pyangyong kwa week kadhaa Na Kurejea Russia ,Hakuna kitu kama hicho si ajabu anaishi kwa mpalange lakini anajifanya anaishi nje. Mimi naishi scandinavia nafahamu propganda zilizopo.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vita. Jikumbushe walisema sadam ana kitu gani na propaganda zilizofanywa na mwisho wa siku wamekiri kitu gani.
Hivyo hivyo kwa Gaddaf na vita zingine za west. Sasa ukiziamini ndio matokeo yake.
Mwaka mmoja na nusu walisema hivyo kwa maduro leo hii wanataka awauzie mafuta na wanamwita rafiki.
hahahahaaaaa hapo kwanz nichekeSi alisema nchi itakayoingilia itakiona cha mtema kuni, imekuwaje nchi Zaid ya 30 zimeingilia na mtema kuni hajatokea
sasa kupendana na mkeo kunamsaidia nn Urusi ?Sasa mimi kuitaji kwako pesa kuna nihusu nini. Ndio shida ya kua mjinga. Mimi na mke wangu tunapendana sana
ebu jikite kweny mada , Urusi anapumulia mashineHakuna kitu kama hicho si ajabu anaishi kwa mpalange lakini anajifanya anaishi nje. Mimi naishi scandinavia nafahamu propganda zilizopo.
Kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vita. Jikumbushe walisema sadam ana kitu gani na propaganda zilizofanywa na mwisho wa siku wamekiri kitu gani.
Hivyo hivyo kwa Gaddaf na vita zingine za west. Sasa ukiziamini ndio matokeo yake.
Mwaka mmoja na nusu walisema hivyo kwa maduro leo hii wanataka awauzie mafuta na wanamwita rafiki.
sasa kupendana na mkeo kunamsaidia nn Urusi ?
Labda sielewi maana ya kushinda vitani. Yaani UN amekaa kwa ajili yake, kila sehemu amepeleka msiba, anapiga wanajeshi wako wanasepa anaigia anawala dada zao tigo na kuwafukia wazima. Halafu unasema amepigwa sana. Maana yake nini. Watu wamekuwa wakimbizi zaidi ya 5mil.Urusi kwa ujuha walioufanya wametuacha pabaya sana dunia hii, siku zote tuliwategemea uwepo wao kama wababe wa Marekani, ili kuwe na balance of power duniani, wangeendelea kuficha udhaifu wao tuendelee kuwaogopa, sasa wameshonyesha walivyo hovyo, Marekani ameachwa pekee yake kama mmiliki wa dunia, hata Waarabu waliokua wanamtegemea Urusi, kwenye hili wamepiga kimya kwa mshtuko.
Allience nimuhimu duniani sisi wacomunisti Hilo linatukost ifeke hatua tukubali beberu aitwe beberuUrusi vs mataifa zaidi ya 30
Mngemuacha peke yake hata saa 72 zisingeisha.
Ukiachana na kuharibiwa tu DOM BAS sio tena eneo la UKRAINE haribifu lakwanza hilikwa akili zako uhalibifu wa mali za nchi mwenyeji ww vita ndo kushindwa vita ? au unahisi vita ingrpiganwa Urusi vitu visingeharibika?
Tupo ODESA kaka MKUUMkuu tumeshafika Kyiv au tusharudi hadi Moscow[emoji3]
Mwanamke gani alobakwa acheni PROPAGANDAinawezekana maana hao orc wameua raia na kubaka wanawake
Akwahio na kitendo cha kuishia njiani kwa majeshi ya US na NATO pale SYRIA bila kumfurumusha Assad ndio kinachodhihirisha kwamba wamefeli ama walifeli!!!??Kitendo cha wanajeshi wa urusi kuishia njiani bila kimchomoa Zelesky ndio kinachodhihirisha kufeli kwa operation yao.
Labda sielewi maana ya kushinda vitani. Yaani UN amekaa kwa ajili yake, kila sehemu amepeleka msiba, anapiga wanajeshi wako wanasepa anaigia anawala dada zao tigo na kuwafukia wazima. Halafu unasema amepigwa sana. Maana yake nini. Watu wamekuwa wakimbizi zaidi ya 5mil.
Ulitaka aue wote na aondoke hakuna hata jengo. Ndio useme ameshinda.