Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

Mashaka makubwa kuhusu ujio wa ndege kubwa duniani Antonov 124 iliyotua na kuondoka KIA Desemba 22

FB_IMG_16721965097754281.jpg
 
Kwani mwamba was urusi maxmelo ajamuomba ajiunge huku tumuombe atusaidie ipiga bomu kabda haijapaa tupate hasara wote
 
Kuna ndege kubwa sana ilitua na kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro tarehe 22 December!

Ndege ile ni miongoni mwa madege makubwa matano tu duniani (MAXIMUM S AIR CARGO) inaitwa Antonov AN -225

Dege hilo kama likiamua kubeba watu basi ni wastani wa watu siyo chini ya elfu tatu na zaidi!

Lakini kwakuwa ni la mizigo basi linauwezo wa kubeba kilo laki moja na elfu hamsini na sita (156,000kg)

Gharama ya kuendesha ndege hii inazidi mara kumi na tano (~18) ya gharama za kuendesha ndege ile kubwa kabisa ya Air Tanzania ambayo inakwenda China!

Swali na wasiwasi wangu je hiyo ndege kubwa namna ile inawezaje kuja kutua KIA kwa kubeba vi nguo vya watalii?

Nguo na mabegi ambayo yanaweza kubebwa na ndege za kawaida Leo hii yabebwe kwenye hilo dubwana kubwa namna hiyo kwa faida ya nani basi kuna watu wnapesa za kuchezea!

Siku zote madege na meli kubwa huwa tunaoneshwa picha za ndani likija na likiondoka lakini hili dege sijui hata lilikuja limebeba nini na liliondoka limebeba nini mimi sijui!

Labda wataalam mtusaidie kutuambia liliondoka limebeba nini!
maana hii nisawa na mtu ageuze BUS kuwa TAX halafu tuone kawaida! hata kama jeuri ya pesa Inatia mashaka!

Ukiunganisha na dot za mwamba aliyekuwa anasherekea bezidei mbugani juzikati mashaka yanazidi.

----
UFAFANUZI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA UWANJA WA KIA

Itakuwa ni upigaji tu wa wanyamapori.mizigo gani mikubwa ije Tanzania kwa ndege.
 
Mzanzibar anauza wanyama wetu Kwa udi na uvumba Kwa waarabu
 
Hapa ni kutokana na minong'ono ndani ya nchi na wananchi wenyewe. Wabunge nao wapigwa butwaa.

Hapa Niko na mtu wangu wa Karibu, toka huko serikali kuu ndani kabisa ananambia ni connect dots. Katika safari ya Rais Samia huko Uarabuni walikubaliana kwamba, Tanzania inaweza kusafirisha wanyama hai kwenda huko.

Na mwezi huu limeonekana dege kubwa likijia wanyama hai pale KIA (picha hapo chini)

Haijulikani kama hao wanyama wameuzwa ama wametolewa sadaka.
Safari hizo zimewahusisha watoto pendwa na wazoefu wa biashara hii tangu enzi za JK na Kinana.. Makamba Jr, Nape wameingia mikataba na kukubari misaada ya Uarabuni kwenye umeme na habari.

Picha kiasi hizi hapa.
Screenshot_20221228-163908_1.jpg
Screenshot_20221228-165025_1.jpg
Screenshot_20221228-164845_1.jpg
 
Hapa ni kutokana na minong'ono ndani ya nchi na wananchi wenyewe. Wabunge nao wapigwa butwaa.

Hapa Niko na mtu wangu wa Karibu ananambie ni connect dots. Katika safari ya Rais Samia huko Uarabuni ilikualiana kwamba, Tanzania inaweza kusafirisha wanyama hai kwenye huko.

Na mwezi hii limeonekana dege kubwa likijia wanyama hai.

Haijilikani kama hao wanyama wameuzwa ama wametolewa sadaka.

Picha kiasi hizi hapa. View attachment 2461092View attachment 2461094
EEEeeenHeeeee!

Wewe bado umeganda tu kwa hayo ya wanyama, na kusahau makubwa zaidi?

Mnapoweka kiongozi asiyekuwa na uchungu wowote na nchi anayoiongoza na hali ya maisha ya wananchi wake, unategemea ni kitu gani kitatokea?

Vuta subira kidogo, utayaona mengi yakifunuliwa muda siyo mrefu kabla ya 2025.

Yatapakwa sukari juu juu, na watu wataramba kwa furaha bila ya kujua wanauzwa!
 
Back
Top Bottom