Fanya makadirio apoKaka dunia hii imejaa uongo mkubwa sanaaa.
View: https://www.instagram.com/reel/DBk_jfFsew4/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
View: https://www.instagram.com/reel/DBk_T5usMmi/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
Story za Mchamba wima HizoHiyo ni report ya upande mmoja!
Lakini kama ndege 100 zimepenya anga ya Iran na kufanya zinavyotaka basi Iran itegemee mashambulizi zaidi ya mara kwa mara!
Iran wanazuia ballistic missiles kwa anti aircraft guns. Yani wanawatafuta majambazi wenye silaha za moto kwa mikuki
Afu kuna kobaz wanasema hakuna madhara ndege 100 tena za maangamizi ๐๐๐๐ nacheka kama mazuri. Hawa watoto wa yakobo hawana show mbovu ndio maana wakijibu jua ni jibu kweli.Jeshi la Israel ๐ฎ๐ฑ lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran ๐ฎ๐ท na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19
Pipa na MfunikoIran wanazuia ballistic missiles kwa anti aircraft guns. Yani wanawatafuta majambazi wenye silaha za moto kwa mikuki
Kunywa alkasusu madhara yataoneshwa tu na hata yasipo oneshwa muda utaamuaJamn leo hii Israel ni ya kukosa picha za mazara kama kawaida yao
Ndege 100 ni nyingi mnoo kama hakuna mazara yaliyotokea ni aibu kubwa xnaa kwa IDF
Iran ๐ฎ๐ท inasema mashambulizi ya ndege za IDF yameacha uharibifu.Jeshi la Israel ๐ฎ๐ฑ lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran ๐ฎ๐ท na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19
Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.Iran wanazuia ballistic missiles kwa anti aircraft guns. Yani wanawatafuta majambazi wenye silaha za moto kwa mikuki
Ile midoli hata hapo Ukraine imefeli sana....Yale machumachuma ya Urusi Chapa S-300&400, hayakuwepo?
Without the video of the 100 IDF fighter jets, this post is uselessJeshi la Israel ๐ฎ๐ฑ lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran ๐ฎ๐ท na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19
Without the video of the 100 IDF fighter jets, this post is useless
Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.
Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?
Aamke..auwawe kwani ye boyaNdege 100๐๐๐๐ mbona sasa mpaka sahizi ayatollah kalala anaamshwa hataki anasema wanamsumbua
Watoto wa magaidi wanatumia ndokisingizio..Kwa msaada wa Marekani na nato kuuwa watoto na wamama ndicho anachoweza, kupambana na wanaume ni kituko ๐
Mbona za makobazi hazina makelele kama za sisi wayahudi wa kujipendekezaHapo Israeli alikuwa. Anasukutua kwanza bado hajaanza kutafuna hizo kobasi na Lile lemba labwana Ayatoli lazima liungue kama sinawar
Hilo nikama onyo tu.. Iran kama akijibu Atapigwa show kamiliMbona za makobazi hazina makelele kama za sisi wayahudi wa kujipendekeza
View: https://www.instagram.com/reel/DBkn1wTOUnL/?igsh=MTdoOGlkMm5zN216cA==
#YNWA
#YANGA_BIN
haya mzayuni kautaka sasa ngoja tupanndishe kikoi tumpatie mshedede mtoto mchelemchele wa kiyahudiJeshi la Israel ๐ฎ๐ฑ lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran ๐ฎ๐ท na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19