Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Hiyo ni report ya upande mmoja!
Lakini kama ndege 100 zimepenya anga ya Iran na kufanya zinavyotaka basi Iran itegemee mashambulizi zaidi ya mara kwa mara!
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Afu kuna kobaz wanasema hakuna madhara ndege 100 tena za maangamizi 😁😁😁😁 nacheka kama mazuri. Hawa watoto wa yakobo hawana show mbovu ndio maana wakijibu jua ni jibu kweli.
 
Jamn leo hii Israel ni ya kukosa picha za mazara kama kawaida yao
Ndege 100 ni nyingi mnoo kama hakuna mazara yaliyotokea ni aibu kubwa xnaa kwa IDF
Kunywa alkasusu madhara yataoneshwa tu na hata yasipo oneshwa muda utaamua
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Iran 🇮🇷 inasema mashambulizi ya ndege za IDF yameacha uharibifu.


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850086808908071355?t=VdKilvwe4DtjvV9pctSITg&s=19
 
Iran wanazuia ballistic missiles kwa anti aircraft guns. Yani wanawatafuta majambazi wenye silaha za moto kwa mikuki
Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.

Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Without the video of the 100 IDF fighter jets, this post is useless
 
Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.

Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?

air defence ya iran imepiga kazi kubwa sana leo. Mazayuni walikuwa wanataka wapate ushindi mkubwa ili iwe somo ila wameishia kutia aibu
 
Kwa msaada wa Marekani na nato kuuwa watoto na wamama ndicho anachoweza, kupambana na wanaume ni kituko 😂
Watoto wa magaidi wanatumia ndokisingizio..
Mitoto Gani unajua kutumia bunduki visu mabomu
Kama nawao niwanaume waache kujificha chini ya aridhi kama panya buku..dadeki wacha watandikwe mpaka Akili itakapo kaa sawa wakisha jua.. Israel ni sawa na mtego wapanya unanasa wadlsio kuwemo na walio...
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

haya mzayuni kautaka sasa ngoja tupanndishe kikoi tumpatie mshedede mtoto mchelemchele wa kiyahudi
 
Back
Top Bottom