Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Hii vita ni kali, mafahari wawili, tuone yupi zaidi
 
Yote kwa yote, mi naona anaeenda kuaibika ni USA. Vita ni vita si ukumbi wa disco,ila hakika kuna kitu kimelengwa. Kuna watu wamechoka dhalau
 
Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo

Iran anatushia tu hawezi jaribu
Biden alikuwa anajua kuwa Iran huwa haitishii nyau!! Alikuwa ana uhakika kuwa Iran lazima utafanya kwelii. Zipo nchi mbili tu ambazo huwa haitishii nyau: Iran na Korea ya Kaskazini. Wazee wa kutishia nyau lakini hawafanyi kitu ni CHINA na Urusi. Ndio maana Marekani haziogopi kivile!
 

Attachments

  • Screenshot_20240415-132359.png
    Screenshot_20240415-132359.png
    81.3 KB · Views: 2
Biden alikuwa anajua kuwa Iran huwa haitishii nyau!! Alikuwa ana uhakika kuwa Iran lazima utafanya kwelii. Zipo nchi mbili tu ambazo huwa haitishii nyau: Iran na Korea ya Kaskazini. Wazee wa kutishia nyau lakini hawafanyi kitu ni CHINA na Urusi. Ndio maana Marekani haziogopi kivile!
IMG_20240415_152350.jpg
 
Hiyo inaweza kuwa Iran ametoa kama warning kwa Mzayuni kwamba anaweza muda wowote kufanya chochote akiendeleza chokochoko zake lakini kusema anapangiwaje silaha za kutumia huo ni uwongo.

Vita yoyote haihitajiki kumbembeleza adui wewe ni kutandika tu mpaka adui aje kujipanga wewe umemaliza sasa kwa scenario hii unadhani Israel akirudisha atambembeleza?huyo akili hana anapiga kumaliza hapigi kuremba so hata wanaopambana nae inabidi wakipata chance wamvuruge hasa.
Jeshi linapigana hovyo hovyo haliwezikuwa jeshj bora ...mfano mrusi angeshambulia kil kitu kinachokatiza hapo mbele si angeshaamaliza vita
 
Back
Top Bottom