Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

IDF kwenye page yao wanasema kuwa drone swarms zimerushwa kutokea ndani ya Iran kuelekea kwao.

Huko Iraq ndege za Marekani na washirika wake ziko angani kujaribu zuia mashambulizi yanayoelekea Israel.

Zaidi ya ndege 70 ziko angani kuwonda hizo drone
 
Back
Top Bottom