imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Tuko Bize kuwatisha Raia zetu kwa kuvunja Matofali na kuwaambia wasivae Gwanda.Mkuu serikali nyingi za kiafrika zinawaza uchaguzi tu, So sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko Bize kuwatisha Raia zetu kwa kuvunja Matofali na kuwaambia wasivae Gwanda.Mkuu serikali nyingi za kiafrika zinawaza uchaguzi tu, So sad.
🇺🇸🇳🇱🇨🇳🇹🇯ifike mahala lazima tuheshimiane tusileteane ubabe wa kishamba zama hizi.Huu mtanange nimeusubiria kwa muda mrefu sana maana ndo vita ya mbali achana na ile ya Iraq na Marekani
Hao China wenyewe wameipata hivi karibuni tena kwa msaada wa Russia sembuse Sisi kajamba nani😂Hapo ndo uzuri wa Early Warning System ambayo Tz sidhani kama tunayo
[emoji23][emoji23]hawa chawaBREAKING: Jordan says it is ready to shoot down any drones that violate its airspace
Ngoja tuone na defense ya Israel tukate mzizi wa fitina. Aiseee bora kesho ni jumapiliIla Ukraine imeonesha kuwa Russia si mzuri kwa defense
Naona shoga ume pata mshtuko hii ngoma ya wanaume .inabidi ukalaleBinti kama wewe tu
Hizo ni GPS za kiraia tu. GPS ya kijeshi ya Marekani haiwezi kuwa jammed; iko katika level tofauti sana na zile za kiraia.Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo
Iran anatushia tu hawezi jaribu
Vitisho tu vya Irani. HaiweziRais wa Marekani, Biden akatiza likizo yake huko Delaware na kurudi Ikulu kujadili kinachoendelea mashariki ya kati, inaaminika usiku wa leo Iran atalipiza kisasi na tayari kaweka sawa makombora zaidi ya 100 na ndege nyuki zisizo na idadi