Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Hatimae wayahudi wanakwishaaa!
Sasa wale wakosa rinder wa buza waabudu mfu utasikia wanawatetea wayahudi wakati yeshu aliuliwa na wayahudi
Iran inaenda kupotea kama Iraq
Inaenda kua nchi ya kawaida tu
 
Hizo ni GPS za kiraia tu. GPS ya kijeshi ya Marekani haiwezi kuwa jammed; iko katika level tofauti sana na zile za kiraia.

Ningependa Netanyahu afundishwe adabu kidogo kabla hajapewa lifline yoyote. Netanyahu ndiye aliyechangia sana kuharibu image ya Israele duniani. Ninapenda netanyahu abanwe makende sana kabla suluhun haijafikiwa. Marekani ikiingilia kati mapema, Netanyahu atapata lifleine ya haraka na atajisahau tena
Bahatibaya unayoyatamani hutayaona
 
Azuii bali ana jitahidi kuilinda Israel isiyo weza kujilinda.
Angekuwa na nia ya kweli ya kuzuia vita basi angelaani upuuzi wa Israel kama sio kuuzuia kabisa.
Kwakua Israel haina jeshi eeeh
 
Back
Top Bottom