Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Niko hapa naangalia LIVE IDF inazisubiri hizo Bajaji za Ayatolah izitungulie mbali halafu Biden anasubiriwa amshukie Ayatolah kama Mwewe.
Huwa mnajidanganya sana na Israel, kwa kifupi Israel ni taifa la kipuuzi na halina lolote lile. Kila siku inategemea nguvu za washirika wao kama UK, USA na FRANCE. Sasa muiran kaingia mazima.
 
Zimesha achiwa
Screenshot_20240413-235805.jpg
 
Mbona mapema sana, hii itakua fake news😂

Israeli Aircraft are reported to be Intercepting One-Way “Suicide” Drones over Syrian Airspace.
 
Back
Top Bottom