Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasikitisha moderators wameaucha uzi wenye uchochezi na udhalilishaji mkubwa kwa dini ya kiislamu umeendelea kuwepo kama wangedhalilishwa maaskofu na wachungaji hakika uzi usingekuwepo wacheni udini moderators!
Udini uko wapi hapo wakati kilichowekwa hapo ni maneno kutoka kwa viongozi rasmi wa dini ya kiislam kuhusiana na uchaguzi?

Kwa nini hampendi ukweli? Umewekewa mpaka video clip za hao viongozi wa dini ya kiislam, halafu unasema eti ni uchochezi dhidi ya dini!! Sasa mchochezi ni nani? Ni hao viongozi wa dini au sisi tuliosikia kauli zao?

JF siyo gazeti la uhuru ambalo habari ambayo chama haiitaki inatakiwa kufutwa au kuhaririwa. Hapa JF, kama hukubaliani na kilicholetwa, kikatae, kikosoe au kirekebishe kwa hoja. Kama habari iliyoletwa ni ya uwongo, mods wana haki ya kufuta, lakini kwa habari hii umewekewa mpaka ushahidi wa video, na video hizi zinazunguka kwenye magroup mengi ya whatsapp.
 
Inasikitisha moderators wameaucha uzi wenye uchochezi na udhalilishaji mkubwa kwa dini ya kiislamu umeendelea kuwepo kama wangedhalilishwa maaskofu na wachungaji hakika uzi usingekuwepo wacheni udini moderators!
Haijadhalilishwa dini ya kiislaam hapa...WAMEJIDHALILISHA WENYEWE HAYA MAZEE YASO NA HAAYA...DINI YETU IKO SAFI NA SALAMA...

UISLAAM UNATUAMRISHA KUMTII KIONGOZI WETU NA TUMKUBALI RAIS KATIKA HALI YOYOTE ILE...ILA SIO HIVI WANAVYOFANYA HAYA MAZEE YASIO NA HAAYA...DINI WAMEITUPA MBALI, WAO WAMEIOKOTA DUNIA.
 
Kwa wale tu wenye Akili za kuona mbali
Je mumeshagundua nini kuhusu Uzi huu ???!
Uchaguzi umekaribia kwahiyo sisi wenye uwezo wa kudadavua mambo tunaanza kupata mashaka kwamba ukiona nyuzi zinapandishwa humu zenye muelekeo wa Udini na kisha kukaanza malumbano ya kidini nia ya waleta nyuzi siku zote inakuwa ni moja tu !
Ni ile ile principal ya tangu Enzi na Enzi
“DIVIDE THEM AND RULE “
Waleta nyuzi za namna hii huwa wana ajenda zao za Siri !

Waliosomea Cuba 🇨🇺 wanaweza wakaelewa hii maneno imekaaje !
Hiyo yaweza kua ni starting point ya kuupima upepo ili tanga likae sawa kwa ajili ya kuanza safari 😳🙄!

Muwe mukitumia common sense sometimes !

Au nasema uongo ndugu zanguni !!! 🤣🙏 🙄 !?
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Ingawa hilo haliwezekani, kama uchangiaji moja alivyosema wamemtapeli, lakini suala hili Kwa sababu limesemwa na Kiongozi wa miongoni mwao na kuwataka wengine wafanye hivyo, basi inakuwa ni kwamba watu hao , wanatakiwa kuchagua huyo ambaye Kiongozi wao kasema achaguliwe
 
Udini uko wapi hapo wakati kilichowekwa hapo ni maneno kutoka kwa viongozi rasmi wa dini ya kiislam kuhusiana na uchaguzi?

Kwa nini hampendi ukweli? Umewekewa mpaka video clip za hao viongozi wa dini ya kiislam, halafu unasema eti ni uchochezi dhidi ya dini!! Sasa mchochezi ni nani? Ni hao viongozi wa dini au sisi tuliosikia kauli zao?

JF siyo gazeti la uhuru ambalo habari ambayo chama haiitaki inatakiwa kufutwa au kuhaririwa. Hapa JF, kama hukubaliani na kilicholetwa, kikatae au kirekebishe kwa hoja. Kama habari iliyoletwa ni ya uwongo, mods wana haki ya kufuta, lakini kwa habari hii umewekewa mlaka ushahidi wa video, na video hizi zinazunguka kwenye magroup mengi ya whatsapp.
Watawanye Uwatawale 😳🙄 !
 
Ungekua na elimu ungejua kua msingi wa kwanza wa uislam, ni kuamini “HAKUNA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUA ALLAH NA MUHAMMAD NI MTUME WAKE”

Shahada hiyo kwa Allah inajulikana kama Tauhidi,
Tauhidi ni
1. Kujua Mungu ni mmoja
2. Ibada zote na dua kua kwake yeye na si kitu kingine
3. Sifa zote kwake yeye.

Anything else other than that ni Ushirikina.

Chuki ikizidi inaondoa akili. Pumbafu wewe
Who is Allah!?
 
Malaria Sugu kabla huja ritadi wakati kama huu ungeshatoa mwongozo kwa kutumia rejea toka Koran tukufu lakini sasa umejikita kupambana na Lissu tu na kumpamba Mbowe. Kweli rushwa hupofusha.
Nimeumia sana mbinu alizotumia Lissu dhidi ya mbowe. Japo 2 ni makafiri lkn haikupendeza
 
Back
Top Bottom