bablai2020
Senior Member
- Sep 5, 2020
- 149
- 373
Sheria tamu sanaa..hapo imekula kwao..waache huo uhuniNi ngumu kupprove connection ya yeye kukosa kazi na hiyo deduction ya kimakosa, maana angeweza kuomba tena mkopo wa airtime na akawasiliana na mteja
Nyie ndio mnakubakinkuibiwa kizembe aiseee .sheria tamu sanaKuacha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa deni la shs.500/= ambalo angeweza kufidiwa baadae kama hivi ni mediocre na ni kuitukana mahakama, kwamba mahakama haina kazi za kufanya.
Yaweza isijengewe hoja ila inatosha kufikirisha. Alijihakikishiaje kwamba ni lazima atapata 200M
Huo ni mtizamo wako. Chanzo!Kuacha kazi ya milioni 200 kwa kuogopa deni la shs.500/= ambalo angeweza kufidiwa baadae kama hivi ni mediocre na ni kuitukana mahakama, kwamba mahakama haina kazi za kufanya.
Appel π∆ apealImeshatenguliwa kwenye appel na Judge Mello
Hongera, imara, waaah.Hii habari wewe kama sio watatu basi ni wanne kuiweka hapa.
Mwamba kakomaaHahaha
Huo ndo uanaume..sio kila kitu unamwachia MunguMwamba kakomaa
Kabisa mkuuHuo ndo uanaume..sio kila kitu unamwachia Mungu
Hahahaha Tigo wananijua mbona? Last time waliokolewa na TCRA ila kumbe ningekata rufaa na Mimi! Nilitaka 50,000,000 kwa kukatwa sh. 250Elli Mshana mambo yako haya😀
Yule alivuta mpunga aka_muteSijui Yale mashtaka yetu ya yule mwanasheria humu somebody Yakub yalifikia wapi
Alikua anatupa updates sana
Wapare hamfai aiseHahahaha Tigo wananijua mbona? Last time waliokolewa na TCRA ila kumbe ningekata rufaa na Mimi! Nilitaka 50,000,000 kwa kukatwa sh. 250
Ukiwa na kesi wewe nambie tu! Ndio fani yetu hio! Nadhani tigo wameniblock kwenye offer zao na kila kitu chao.Wapare hamfai aise
Waliona umewachosha .....Ukiwa na kesi wewe nambie tu! Ndio fani yetu hio! Nadhani tigo wameniblock kwenye offer zao na kila kitu chao.