Mashtaka kila siku kuhusu wanawake wa humu JF, wanaume mnakera


🚮🚮🚮
 
Waulize hao hao uliokutana nao
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kivumbi leo
 
Anakuita majina yote ya kimahaba "mume,mpenzi, mkeo nitalia"

Hivi ndo huyu huwa unamzungumzia kwenye kugusanisha vikojoleo zile style unamuweka,mzee wa "de libolo"?

Tuma hiyo 5,000 Tsh mara ya mwisho aiseeh,hatutaki msiba.🤣
Nashangaa anavyojipa cheo cha mke, angekuwa ni wife wangu kumtunza ni jukumu langu asingehitaji hata kunikumbusha
 
Hivi ndo huyu huwa unamzungumzia kwenye kugusanisha vikojoleo zile style unamuweka,mzee wa "de libolo"?

Tuma hiyo 5,000 Tsh mara ya mwisho aiseeh,hatutaki msiba.
Hawa kausha damu hawaelewi tukishamaliza kuwazagamua wasitutafute tena na shida zao asubiri tena shoo nyingine. Mchakato mzima wa kumzagamua nitalipia lakini sio baada ya mzagamuo aanze kutangaza shida zake
 
Huyu manzi ni mtumishi serikalini anafanya kazi na mshahara si haba sio kwamba hana mishe

Shida ya wanawake ni moja hela zao wanazionea ubahiri sana

Za kwao kuzitumia wanazionea uchungu ila zetu ndio za kufanyia matumizi yao binafsi

Wana ile kauli yao kwamba hata awe na milioni ila akiona unamtumia hata elfu 10 yako anahisi anathaminiwa ndio pigo zao

Nilimkaushia na sikumtumia sasa hivi tumepatana, alikuwa anajidekeza eti anakaza nione kweli ana shida, hawa viumbe ni kuishi nao kwa akili sana

Ananielewa sana, ila ndio hivyo anataka aniingize kwenye mfumo wa kumhudumia, na mimi nilishaapa kwenye maisha yangu wa kumhudumia ni atakeyekuja kuwa mke wangu wa ndoa tu

Kama nikimuoa atakula vizuri tu hela za mumewe, ila kwa sasa acha twende hivi kibishi

 
Hahaha dah ka ni ivyo ulikuwa na haki ya kumnyima hela, ila yote tisa, unamlaga 0713? au kwavile ni wife to be, tope lake unalikaushia Mzee wa kupambania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…