Naishi kwangu sipanga, lakini nauli ya kuwapa watoto kwenda shule shida watoto wangu sale za shule zimechanika wanavaa yebo wali nyama wanausikia kwa jirani kutwa ugali vamia,lakini niko kwangu sipanga[emoji14][emoji14][emoji14]Mtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.
Mkuu nilishafanya, bado naendelea na ujenzi mwingine.Tufanyeni kwa vitendo saaasa. Mm nimenunua eneo huko kigamboni juzi tu. Maeneo kibao huko mwasonga wakuu
Ukumuelewa nilivyo muelewa nikwamba bora kuimalisha uchumi kwanza kisha mengine yatafuata tena kwa wepesi,mfano mama rishi au muuza nyaya au mbeba mizigo anajibana kwa ajili ya kujenga nyumba badala ajibane kupanua wigo wa kazi yake mfano mama rishe kutwa anaungua moto bora ajibane abadilishe kazi kisha atajenga kuliko kujenga na kuhamia huku ukiendela kubeba mizigo mabiboUkitaka kuona Umuhimu wa Kujenga, Kufa alafu uache watoto wako 3 ama 4 kwenye nyumba ya Kupanga.
Hata kama unadhani ni umasikini kuanza kujenga lakini ni muhimu sana Kaka. Tafakari kwenye hilo
Hakuna Baba mwenye gari ila kuna Baba mwenye nyumba.
Ukishindwa kupanga uwezi kujenge kuna upangaji wa aina 2 kupanga nyumba yenye familia zaidi ya 10 kuoga kujisaidia kwa foleni pia kuna upangaji wa nyumba ya pekee yako wewe ulikuwa unapanga nyumba gani kati ya hizo?Nimezunguka sana nyumba za kupanga faida niliyoipata ni kukosa furaha na amani ndani ya nyumba hizo..
Sasa nipo kwangu wanangu wanazunguka ndani ya fensi Kwa furaha mtambuka...
Kupanga ni kuchagua. Over
Bora kumsomesha mtoto fani kuliko kufa na kumuachia nyumbaKusomesha watoto Vs kuwajengea nyuma. Kipi bora zaidi ikuwa umekufa?
Ukitaka kuona Umuhimu wa Kujenga, Kufa alafu uache watoto wako 3 ama 4 kwenye nyumba ya Kupanga.
Hata kama unadhani ni umasikini kuanza kujenga lakini ni muhimu sana Kaka. Tafakari kwenye hilo
Hakuna Baba mwenye gari ila kuna Baba mwenye nyumba.
Tatizo wabongo ufahamu wao mdogo jamaa akupinga kujenga mueleweni kwanzaKujenga ni muhimu hata Kama hauna Familia.
Then MAZINGIRA ya Biashara kwa nchi Kama TANZANIA sio consistentlce so unaweza kufanyiwa sabotage na serikali ukajikuta unabaki 0-0
Binafsi Napenda kujenga jumba kubwa kibaha kufika 2025 liwe limekamilika .
Sawa mkuu kila mtu na Maisha yake Duniani tunapitaTatizo wabongo ufahamu wao mdogo jamaa akupinga kujenga mueleweni kwanza
Mawazo ya kimaskini kabisa haya, hizo nyumba zinapigwa bei ili watoto wapate mitaji wafanye mambo yao.Ukitaka kuona Umuhimu wa Kujenga, Kufa alafu uache watoto wako 3 ama 4 kwenye nyumba ya Kupanga.
Hata kama unadhani ni umasikini kuanza kujenga lakini ni muhimu sana Kaka. Tafakari kwenye hilo
Hakuna Baba mwenye gari ila kuna Baba mwenye nyumba.
Hujakatazwa kujenga,ila jenga uchumi imara kwanza.Nimezunguka sana nyumba za kupanga faida niliyoipata ni kukosa furaha na amani ndani ya nyumba hizo..
Sasa nipo kwangu wanangu wanazunguka ndani ya fensi Kwa furaha mtambuka...
Kupanga ni kuchagua. Over
Ondoa mawazo ya kufa,Kusomesha watoto Vs kuwajengea nyuma. Kipi bora zaidi ikuwa umekufa?
Hizi mentality za kimaskini sijui ni nani aliye turithisha. Kila mtu anawaza nyumba pekee,Nyumba ni muhimu sana we
Wanauza sio wapate mitaji, wanauza wasovu maisha ya kugombania gombana kila siku kwa kukaa pamoja.Mawazo ya kimaskini kabisa haya, hizo nyumba zinapigwa bei ili watoto wapate mitaji wafanye mambo yao.
Manyanyaso ya nyumba ya kupanga ni kwa kapuku,siyo kwa mwenye hela,wewe unaye bangaiza kulipa kodi ya afu 50 kwa mwezi ni tofaut na yule anaye lipa laki 3 kwa mwezi. Pia tambua kuwa siyo kila aliye panga hana uwezo wa kujenga..ni malengo na vipaumbeleKatika maisha ya mwanada Nyumba ni hitaji la muhimu sana.
Waliosoma Manslow Theory of Human Needs wanafanamu vizuri.
Mtu unaenda kufanya kazi mbali na Nyumbani kwako. Manyanyaso ya nyumba za kupanga yanafahamika.
Ni bora ujenge hata chumba kimoja chako uanzie maisha, huku ukiendelea kujenga kidogo kidogo.
Tulioanzia nyumba za kupanga tunazifahamu kadhia zake.
Jengeni,sisi tutapanga.Wanaoponda kujenga mbona hatuwaoni kuishi chini ya miti au mapangoni, tunaona wamepanga au wapo home na hizo nyumba nawao wasingeJenga Kama wao wanaosema kujenga ni uoga wa maisha wangekaa mapangoni labda.
UmenisomaUkumuelewa nilivyo muelewa nikwamba bora kuimalisha uchumi kwanza kisha mengine yatafuata tena kwa wepesi,mfano mama rishi au muuza nyaya au mbeba mizigo anajibana kwa ajili ya kujenga nyumba badala ajibane kupanua wigo wa kazi yake mfano mama rishe kutwa anaungua moto bora ajibane abadilishe kazi kisha atajenga kuliko kujenga na kuhamia huku ukiendela kubeba mizigo mabibo
Hata akiweka UTT ndani ya miaka mitano hyo pesa inakuwa nyingi. Tatizo wabongo ni wavivu wa kutafuta maarifa. Kila mtu anawaza kujenga tu. Hakuna anaye waza hata kuwekeza,ni nyumba tu.Wabongo aka waturutumbi wao wanachojua uwa ni kujenga nyumba tu ndio investment, kumbe ni akili za kimaskini walizonazo. Kujenga nyumba ni investment ikiwa tu hio nyumba ni ya kupangisha sio kuishi otherwise ni liability, utumie milioni 100 uisimike tu hapo ardhini huku unapiga miayo kila siku mwishowe ufe kwa diabetes shauri ya kufakamia vyakula vya ng'ombe i.e ugali wa mahindi na maharage π π π . waturutumbi aka wabongo uwa hawawazi kua hio pesa ya kujenga wangeweka fixed deposits au wangenunua bonds BOT ni investment nzuri kuliko kujenga kibanda huko kigamboni. US baby. π π π π
Pangeni, sisi tunajengaJengeni,sisi tutapanga.
Watu Hawa ndio wakudai katiba Mpya AiseeMtu unajibana wee Ili ujenge nyumba ya kuishi, ukimaliza unaanza kuishi kwenye hiyo nyumba kwa tabu nyingi. Ingekuwa na maana kama kungekuwa na maisha bila kifo, umasikini uliouchochea kwa kujenga ungepambana nao kwa kuwa muda upo tu. Kama we masikini pambana uweze kipato cha uhakika ambacho ndio kitawezesha mengine ikiwamo ujenzi.