Masikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....
Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...
Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?
Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....
Leo kwa mara ya kwanza naunga mkono mada yako, maskini akipata milioni moja tu anawaza kujenga..mwisho wa siku anajenga kitu cha hovyo.
Yani watu wajenge kwenye viwanja vya 10 kwa 10 eti kisa kesho watakuwa MatajiriMasikini wa Leo ni Tajiri wa Kesho na Vice Versa....
Ofcourse naturally mtu unajenga sehemu kulingana na kipato kama hauna pesa utawezaje kununua kiwanja Prime Area, Na Cost of Living sehemu hiyo itakufanya uondoke tu...
Swali linakuja kama leo ni tajiri kesho ukiwa masikini ufukuzwe ?
Jibu ni hapana ila naturally cost of living ya sehemu husika itakufanya mwenyewe ujichuje (Na huko ndio tunakoelekea na hizi Kodi / Tozo usishangae wazawa wengi wakakimbia miji). Ila kwa nchi iliyopangika na mipango mizuri sio kila mtu unajijengea Developers wanajenga wengine ni kuchukua Mortgages....
Naam sio masikini tu hata matajiri, developers wanajenga kulingana na Mipango Miji..., sio sehemu ya nyumba za chini wewe unajenga ghorofa lako hence kuchungulia watu wakiwa garden kwa chini au kuzuia upepo mwanana uliokuwa unawaburudisha majirani (Mipango iwepo sehemu za maghorofa ni ghorofa na sehemu za nyumba za kawaida ni kawaida....Hiyo ndio akili.
Sio kila Jambo unapaswa ufanye.
HahahhahahahahhahahahUnafikiri kuzimu ya matajiri na Masikini ni ileile Mkuu?
Umesoma nilichoandika mpaka mwisho ?, Point ni kwamba hata tajiri wa leo kesho anaweza akawa masikini hence maintenance ya hio nyumba kumshinda ila naturally cost na gharama ya sehemu husika itamfanya mtu kuhama / kuondoka. Point kubwa haifai kila mtu ajijengee wawepo developers wanafuata mipango miji...Yani watu wajenge kwenye viwanja vya 10 kwa 10 eti kisa kesho watakuwa Matajiri
Ndio maana waafrica hatuendelei kwa Imani za kipumbavu!
Ile Tandika , Manzese, Mabibo , Vingunguti , Mpaka Buza unadhani zitakuwa lini kwenye mipango ya kueleweka ! ... Kote huko watu walijenga kwa kufuata hiyo Imani yako kuwa Ni masikini wa leo na kesho watakuwa Matajiri !
Amini masikini ni matajiri na matajiri ni masikini pia.
kiufupi sijawahi kumuona masikini katika hii dunia.
kwahiyo huu uzi ni upuuzi mtupu.
Hahahhahahahahhahahah
Kuzimu ya maskini na matajiri ni tofauti kwa kweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Samahani Mkuu
Huyu jamaa anajikutaga anajua sana, halfu mweupe tuAndiko lina upumbavu mkuu na halina hekima hata kidogo.
Acha ngano na magugu vikue pamoja. Hivyo vijumba unavyoviona uchafu vitaondoka vyenyewe miaka kadhaa ijayo.
Masikini Wana roho mbaya Sana na wachawi piaHeri uwe maskini mwenye hekima na busara. Tajiri asiye na akili, hekima na busara km wewe ni bure kabisa.
Weka kigezo cha maskini. Kwa maana siyo wote wenye nyumba mbovu ni masikini.Habari Wakuu!
Kama kichwa kinavyoeleza hapo, ingawaje Masikini naye mtu japokuwa hana kitu lakini hatuwezi kuukataa ukweli kuwa Masikini ndio mashetani yanayoishi na kuonekana live kwa macho yetu wenyewe.
Kuna watu hapa watasema nawasema vibaya MASIKINI, wengine watasema najisikia, nawadharau na kuwatolea maneno makali hao Masikini. Lakini nataka kusema hapa mimi mwenyewe ni masikini, hivi mambo niyasemayo hapa yananihusu hata Mimi.
Sisi masikini ni mashetani tunaoishi live katika macho ya nyama.
Tatizo la miji kuwa michafu, na watu kujenga pasipo mpangilio linasababishwa na Masikini. Unajua masikini ni mashetani hivyo hawanaga mipangilio, wapo rafu wanajenga hovyo hovyo.
Kama ingekuwa amri yangu, masikini leo hii wasingepewa ruhusa/kibali kujenga kwenye miji na majiji makubwa. Wakaishi huko porini huko kwenye mashamba wakalime.
Serikali kama inataka miji ijengwe kwa mpangilio mzuri basi lazima litolewe tamko kuwa Masikini hawatapewa kibali cha kujenga mijini, na mtu yeyote anayetaka kujenga nyumba mjini anapaswa awe na kiasi cha pesa kisichopungua milioni 50.
Masikini wawekewe sheria kali zitakazowabana ili wasilete ushetani wao Duniani.
Kama wanataka kuishi mjini basi serikali ijenge nyumba za kupanga, au mashirika na makampuni ndio yafanye kazi hiyo kujenga Apartments ili hao masikini wapange.
Matajiri sina neno nao, nafahamu wao wanamuwakilisha Mungu kwani Mungu ni tajiri, ndio maana matajiri hujenga na kuweka mambo/vitu vyao katika mpangilio mzuri.
Miji yote iliyotekwa na masikini lazima iwe michafu inayonuka, vijumba vimejengwa hovyo hovyo Kama takataka.
Masikini wajengewe miji Yao huko nje kabisa ya miji au maporini huko wakae wenyewe, au Kama wanataka kuishi mjini basi wapangishe nyumba zilizojengwa na serikali au matajiri.
Sitaki kuzungumzua habari ya machinga jinsi wanavyovuruga miji na kusababisha uchafu wakaapo barabarani.
Niishie hapa Masikini wenzangu wasije nipiga mawe, najua wataniona lakini ukweli nimewapa, wengine watanichukia lakini hilo halinipi shida kwani mashetani ni kawaida Yao kuwa na chuki.
Mashetani yakikupenda jua ni Kwa unafiki na yanakitu yanakihitaji kutoka kwako.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dodoma
Kama Magu na sukuma gangMasikini hafai kupewa hata nafasi ya uongozi Kama urais au waziri,
Wanakuwaga na roho mbaya na chuki mno kwa kila mtu