Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kichwa maji wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa maji wewe
Mkuu acheni kulialia watanzania sijui tukoje.
Hizo changamoto zigeuze fursa. Kama unaona watu watapata tabu kwenda Mbezi luisi kwa usafiri wa asubuhi anzisha usafiri wa kuwapeleka wateja stand hata na kigari kidogo kila asubuhi.
Mbona tunachezea fursa hivyo. Shida yako ni fursa kwa wengine. Kuna watu wanataka uumwe ili wapate hela. Ningetamani uombe stand ipelekwe nje ya mji kabisa ili uchangamkie fursa.
Jitahidi kila kitu uwe unakirafsiri kwa Jicho la kifursa utaona Kuna sehemu nyingi hela tunazipotezea.
Naona watu wanachangamkia fursa kwa kujenga lodge pembeni mwa kituo, kuna mtu pale jirani amepiga kitu cha vyumba 16!kuwasaidia watu wanaotoka mbali akina Mbande ,Vikindu na wenzao, kwakweli kufa kufaana.
Anyway watu wa mbali itawa cost sana mfano Nauli ya kwenda Tanga ni 20,000/= itabidi utenge 20,000/= nyingine ya lodge na 10,000/= ya kula km una mpango wa kusafiri mapema unless umepanga kusafiri mchana.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu kupanga ni kuchaguaLengo la usafiri wa umma ni kuwasiaidia watu kurahisisha safari zao, lakini inapoweka mazingira kuwa magumu zaidi hapo hauwasaidii bali unawaumiza!
Unajua umbali uliopo kutoka mbagala mpaka mbezi Luis?! Hapo sijagusia ndani zaidi kama charambe, matitu, chamazi, mbande, kisewe, msongola, mvuti na chanika?!
Unajua umbali uliopo kutoka kongowe, kibada , mjimwema, kigamboni, mpaka mbezi Luis?!
Unajua umbali uliopo kutoka mwandege, kisemvule mpaka mbezi Luis?!
Kote huko hakuna basi la moja kwa moja mpaka mbezi stendi kuu, lazima upande madaladala mawili au matatu kufika mbezi bus terminal,
Hapo abiria anakwenda either moshi, arusha, tabora, singida, shinyanga, mwanza ,kigoma au kagera! Aamke saa tisa usiku kuwahi daladala kutoka kisemvule, asubiri ijae, bado hujagusia foleni, ashuke kariakoo au tandika, achukue daladala nyingine hadi mbezi , mtu huyu ana watoto na mizigo tele!
Hapo utakuwa umemsaidia urahisi wa safari yake au umemtwika mateso zaidi?! Serikali iliangalie hii upya kwa jicho la tatu. Wengi tulikuwa tunategemea urahisi wa kupandia stendi ndogo na ofisi ndogo za mabasi husika ya mikoani.
yapo sahihi, sisi tuna mazoea mabaya tu. Yani ndege inayoenda Musoma ikaanzie safari Tegeta kwakua Nyuki kuna Wakurya wengi na wanasafiri kwa wakati mmoja. Kwa wenzetu walioendelea haya hayapo. Boda boda na taksi watapata wapi hela ya kula? Mimi natokea Bunju kila safari lazima nipande boda inipeleke Ubungo ndo nipande basi kwenda ninapoenda. Au daladala mpaka Mwenge, halafu mpaka mawasiliano. Binadamu hatuna jema, watu tunataka Terminal ije milangoni kwetu. Mji ndo unatanuka hivyo.Kuna tatizo hapo imagine unashuka saa sita usiku na daladala hakuna na una mizigo mingi mikubwa!!!
Wenye mabasi kushusha ofisi zao ilikuwa ni huduma nzuri ya kumsaidia abiria
Kinachotakiwa kitamkwe ni kuwa basi zote zipitie stendi kuu kuanzia safari au kumaliza safari ziwe na abiria au la lazima zipitie ila kusema marufuku kuwa na abiria haliko sawa
Pili kuua hivyo vituo vingine vilivyokuwepo ni kuua ajira za mamia ya watu waliokuwa wakipata riziki zao kupitia hizo stendi ndogo kuanzia maduka teksi bodaboda bajaj wabeba mizigo mama lishe nk zingeachwa tu kama sehemu ya Transit kama ilivyo ndege tu kuwa stendi kuu ubungo stendi ndogo temeke Au mbagala au tegeta au kariakoo au ofisi juu ya basi nk ili kuondoa usumbufu kwa abiria .Sipati picha mtu anaishi mbagala anaenda mtwara aende mbezi kupandia gari kule wakati mfano mwenye gari ana ofisi kuu hapo hapo mbagala na basi linaanzia hapo kwenda mbezi kubeba abiria!!!!
Chukulia mfano basi zima wamekata tiketi watani zangu wamakonde wanaoishi mbagala wanaenda kwao basi linaanzia hapo hapo mbagala ofisi kuu ya basi .Kwa hiyo hao makonde wanatakiwa wapande daladala kwenda mbezi na hilo basi liende tupu hadi mbezi lipakie hao makonde kwenda nao mtwara!!! ni kituko badi watakalopanda liko mbeke yao tupu na wao wako kwenye daladala kwenda mbezi
Haya maamuzi mengine hayako sahihi
Ilo li barabara la mbezi to kibaha sijui kama umelionaKulikuwa hakuna foleni kama sasa, it was easy to move from one point to another... sasa na hizi foleni mabasi yote yanayoingia Dar yaje Mbezi, foleni zitakuwa balaa! Nawza kitu kama hicho....
Nadhani ni mbezi high to machimbo to mpigi magoe to bunju via pande. Inapigwa mkeka ile aliongelea mtemvu pale akimuomba raisi.Kuna njia pale kibamba ccm nasikia ina pigwa mkeka inatokea tgt sijui bunju, ila kama ujuavyo makampuni mengi ya mabasi yamefungua ofisi zao so usiwe na wasi wasi, kama zaman stand ilikuwa kisutu na watu walikuwa wanatoka mbagala hadi kisutu
Hivi mtu wa mbezi luis, tegeta, kibaha, bunju ilikua akitaka kwenda mtwara ni mpaka aje mbagala?Lengo la usafiri wa umma ni kuwasiaidia watu kurahisisha safari zao, lakini inapoweka mazingira kuwa magumu zaidi hapo hauwasaidii bali unawaumiza!
Unajua umbali uliopo kutoka mbagala mpaka mbezi Luis?! Hapo sijagusia ndani zaidi kama charambe, matitu, chamazi, mbande, kisewe, msongola, mvuti na chanika?!
Unajua umbali uliopo kutoka kongowe, kibada , mjimwema, kigamboni, mpaka mbezi Luis?!
Unajua umbali uliopo kutoka mwandege, kisemvule mpaka mbezi Luis?!
Kote huko hakuna basi la moja kwa moja mpaka mbezi stendi kuu, lazima upande madaladala mawili au matatu kufika mbezi bus terminal,
Hapo abiria anakwenda either moshi, arusha, tabora, singida, shinyanga, mwanza ,kigoma au kagera! Aamke saa tisa usiku kuwahi daladala kutoka kisemvule, asubiri ijae, bado hujagusia foleni, ashuke kariakoo au tandika, achukue daladala nyingine hadi mbezi , mtu huyu ana watoto na mizigo tele!
Hapo utakuwa umemsaidia urahisi wa safari yake au umemtwika mateso zaidi?! Serikali iliangalie hii upya kwa jicho la tatu. Wengi tulikuwa tunategemea urahisi wa kupandia stendi ndogo na ofisi ndogo za mabasi husika ya mikoani.
Nchi ngumu sana hii
SawaMkuu hebu fikiria watu wenye hali duni, sio kila mtu ana uwezo wa kugharamia nauli ya mlolongo wote huo wa kupanda daladala mbili au tatu kabla hajafika bus terminal,
Tuache kufanya biashara kwenye roho za watanzania, matatizo ya watanzania msigeuze mtaji wa kujitajirisha, kazi ya serikali ni kuweka mazingira mazuri ya kurahisha maisha ya wananchi wake na sio kuwaongezea mizigo yao!
Nashindwa kuelewa ile slogan ya "serikali ya wanyonge!"
Zile ni siasa tu mbona hata mnyika alikuwa anapigia kelele sanaa, lkn ndio barabara hiyo bila shakaNadhani ni mbezi high to machimbo to mpigi magoe to bunju via pande. Inapigwa mkeka ile aliongelea mtemvu pale akimuomba raisi.
Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Tunapoongea maswala kama haya tuwe tunaangalia na muda jamani! Kumbuka hizo treni huwa zinaondoka mchana au jioni ilihali mabasi mengi yanaondoka alfajiri au asubuhi!Mbona stesheni ya reli ipo moja Dar na wote hupandia pale haijalishi unakaa mbezi, Bunju, kimara, mbagala au kigamboni
Otherwise kituo kitakua ni mateso kwa watokeao Kongowe ya Mbagala, Kigamboni na maeneo yale, kwa sababu watalazimika kulala stendi ili kuwahi mabasi yaendayo njia za Morogoro na Bagamoyo.Hiyo haina shida. Mradi waruhusiwe kupakia na kushusha abiria kwa vituo vyao mwisho wa siku.
Wananchi wa Dar, mtavurugwa hadi mtapata akili. Hadi mtambue kuwa box la kura Lina dhamani ganiKuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Ndo hivyo mkuu mijitu ya nchi hii haiwazi bali inatopokw tuuYani basi linalala yard kwangu na abiria wa karibu wanakuja kupandia hapo nalo ni kosa.....
Akili zetu watanzania huwa si za ku solve tatizoHako kautaratibu kapo mikoa yote iliyijenga stendi Mpya. Kuna siku Nimeenda Iringa nako ni hivyo hivyo. Basi linaendana mjini na lina ofisi kubwa tu, lakini haliruhusiwi kwenda na abiria,mnashuka nje ya mji then mnapanda dalala.
You have logicKuna tatizo hapo imagine unashuka saa sita usiku na daladala hakuna na una mizigo mingi mikubwa!!!
Wenye mabasi kushusha ofisi zao ilikuwa ni huduma nzuri ya kumsaidia abiria
Kinachotakiwa kitamkwe ni kuwa basi zote zipitie stendi kuu kuanzia safari au kumaliza safari ziwe na abiria au la lazima zipitie ila kusema marufuku kuwa na abiria haliko sawa
Pili kuua hivyo vituo vingine vilivyokuwepo ni kuua ajira za mamia ya watu waliokuwa wakipata riziki zao kupitia hizo stendi ndogo kuanzia maduka teksi bodaboda bajaj wabeba mizigo mama lishe nk zingeachwa tu kama sehemu ya Transit kama ilivyo ndege tu kuwa stendi kuu ubungo stendi ndogo temeke Au mbagala au tegeta au kariakoo au ofisi juu ya basi nk ili kuondoa usumbufu kwa abiria .Sipati picha mtu anaishi mbagala anaenda mtwara aende mbezi kupandia gari kule wakati mfano mwenye gari ana ofisi kuu hapo hapo mbagala na basi linaanzia hapo kwenda mbezi kubeba abiria!!!!
Chukulia mfano basi zima wamekata tiketi watani zangu wamakonde wanaoishi mbagala wanaenda kwao basi linaanzia hapo hapo mbagala ofisi kuu ya basi .Kwa hiyo hao makonde wanatakiwa wapande daladala kwenda mbezi na hilo basi liende tupu hadi mbezi lipakie hao makonde kwenda nao mtwara!!! ni kituko badi watakalopanda liko mbeke yao tupu na wao wako kwenye daladala kwenda mbezi
Haya maamuzi mengine hayako sahihi