Khalifab
Member
- Jul 6, 2012
- 38
- 2
ole na exam brther...nashkuru kwa kutufumbua na kutupatia vitu vizur tena free of charge..kuna shida moja nahis sijaelewa,,ni kwamba tayar nimeshapata set up ya U TORRENT na BIT TORRENT na tayar inakuwa imekwishafunguka moja kati ya hizi prograM TATIZO LANGU SASA mfano nahitaji ku download brother,nashindwa kuweka kile kitu ambacho nakihititaji,,,,,,,, mfano muvie na vitu vingine
pia sielewi maana ya LINK na Jinsi ya ku copy LINK na kudownload ili kitoke kitu like muvie plz plz NISAIDIE THIRD EYE........ khalifab@rocketmail.com