Ni kweli tena ukikusanya ushuzi wa wanachama wa ccm wote ni sawa na bomu la nyuklia linaloweza kusambaratisha kisiwa cha kizimkazi choteHivi ukijamba alafu nikaja na kiberiti nikawasha moto kunauwezekano ukalipuka? Maana naskia ukijamba ni umetoa gesi.
Mi nitafaidika na nnThread itapata sifa nzuri hakika
Iq yako ndogo hivi unajua USA,German,Norway,Sweeden, Australia zinazalisha ziada ya umeme hata kuuza nje(export) lkn kwa nyakati na maeneo tofauti ya nchi hizo hununua umeme kutoka nje(import)pale gharama ya kutumia umeme wa ndani ni ghali kuliko kununua nje. TZ yenye ziada ya umeme sio ajabu kununua njeUmeme wa Bwawa la mwalimu, Julius Nyerere unatutosha na tuna ziada ya kuuza nje ya nchi, ghafla tutanunua umeme Toka Ethiopia!Tueleweje?
Fanya hivi weka klabu ya mpira iwe moja tu kwenye NBS hakuna timu nyengine hiwe hiyo tuNini umuhimu wa kuwa na mfumo wa vyama vingi?
Hayo ni matokeo sio sababu....ameuliza sababuNdio kwa kiasi fulani. Mfano Kuna mtu anaweza kumkubali mtu asiye mwerevu Katika mambo?
Sasa wewe ndio ziro Brain,hujajibu Swali Wala huna data na maelezo ya kutosha!Iq yako ndogo hivi unajua USA,German,Norway,Sweeden, Australia zinazalisha ziada ya umeme hata kuuza nje(export) lkn kwa nyakati na maeneo tofauti ya nchi hizo hununua umeme kutoka nje(import)pale gharama ya kutumia umeme wa ndani ni ghali kuliko kununua nje. TZ yenye ziada ya umeme sio ajabu kununua nje
Binadamu ana weza kutokuogopeka kwa binadamu mwenzake sababu anajua jema na baya.sio wanyama hatari ambao ushawajua hawafahamu jema wala baya.Je wajua tunaishi na nyoka wengi tu ndani ya manyumba yetu na mbu wengi sanana binadamu wengi sana na ndio wanyama wanaongoza kumuua binadamu
Upo sahihi genius wetu. Sijui kwanini watu hawapendi juhudi za nchi yao.Iq yako ndogo hivi unajua USA,German,Norway,Sweeden, Australia zinazalisha ziada ya umeme hata kuuza nje(export) lkn kwa nyakati na maeneo tofauti ya nchi hizo hununua umeme kutoka nje(import)pale gharama ya kutumia umeme wa ndani ni ghali kuliko kununua nje. TZ yenye ziada ya umeme sio ajabu kununua nje
Ndio nina njaa sana shida ipo wapi ?Faida sio lazima iwe hela. Una njaa sana?
Mbona bara la ulaya walikuwa wapagan wakiabudu miungu kama zeus, artemis, athena kuna wale norse god kina thor, loki, freya, odin ila sasa asilimia kubwa ni wakristu na ukristu umeanzia jerusalem ambapo kijiografia hawapo bara la ulaya, na ulaya ipo vizuri kiuchumiJe umeshawahi kujiuliza ni kwa nini bara linaongoza kubandili mila ya kuabudu ndio bara masikini, kuliko mabara yote?.
Sasa wewe ndio ziro Brain,hujajibu Swali Wala huna data na maelezo ya kutosha!
Nimekupa jibu na mifano .Sasa wewe ndio ziro Brain,hujajibu Swali Wala huna data na maelezo ya kutosha!
Je wajua kuwa ukichanganya gilisi na kachumbali, kisha ukaweka wali na mkia wa punda ukaweka maji ya limao kisha ukajipata matakoni na kuanza kukimbia, unaweza kujikuta umeruka juu, kisha kujikuta umejamba, halafu ukaanza kushangaa tu!Je wajua tunaishi na nyoka wengi tu ndani ya manyumba yetu na mbu wengi sanana binadamu wengi sana na ndio wanyama wanaongoza kumuua binadamu
Kama vile kuchagua menu ya vyakula!Nini umuhimu wa kuwa na mfumo wa vyama vingi?
Hayupo sahihi ni ziro brain hajajibu Swali katoa maelezo yasiyojitosheleza,nawewe Mtoa mada,hebu isome heading Yako na ulichounga mkono!Upo sahihi genius wetu. Sijui kwanini watu hawapendi juhudi za nchi yao.
Mimi huyu au?Mjuni Lwambo anazeeka na kurudi utotoni kiakili je hii hali ya kawaida au ?