Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣HapanaNi vizuri mtu akikufahamu in opposite way,Hapo atakuwa anajua nina njaa kali sana Tayana-wog eti shoga yangu🤣🤣
wanataka usipende pesa, upende nini sasa?Ila sie peke yake,hata Kuna wakaka wananishambuliga sana kwamba mi maskini,napenda sana pesa Sina Mapenzi ya dhati...nacheka kizungu😅
Jmn jmn🤣🤣jmnNami nashangaa au anahisi wewe maskini?
Na iweje aku tag kwa post hiyo na si mwingine?
Tayana-wog uje kujibu
Hapana maana yangu ilikuwa uje uone yanayojiri sio kwamba unahusika jomoniii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Tayana Mimi nimehusika vipi kwenye hiyo comment ya kupenda pesa na kukosa mapenzi ya dhati?
Nitakuita kwenye kikao cha dharura cha familiaHapana maana yangu ilikuwa uje uone yanayojiri sio kwamba unahusika jomoniii 🤣🤣🤣
Sorry km hujapendaaaa
Usininue shoga yangu...siko hata serious kwenye hili.Hapana maana yangu ilikuwa uje uone yanayojiri sio kwamba unahusika jomoniii 🤣🤣🤣
Sorry km hujapendaaaa
JamaniIla sie peke yake,hata Kuna wakaka wananishambuliga sana kwamba mi maskini,napenda sana pesa Sina Mapenzi ya dhati...nacheka kizungu😅
🤣👍I'm gud usiwazeUsininue shoga yangu...siko hata serious kwenye hili.
🤣🤣🤣🤣Nitakuita kwenye kikao cha dharura cha familia
🤣🤣Nishamjibu
Me an you we are cool...Hii isikufanye tukaacha kuniita bureJamani
Nisamehe Mimi
Hata sikua na maana hiyo,nilitaka uone yanayojiri na akili za watu wa aina hii km wale wanaowaita Malaya kisa mtu ana iphone,au kavaanguo yenye print .....😊😊si vingenevyo
very sorry shougaaa
Mlivyo waongo ssHilo ni swali muhimu lkn linakutaka uwe smart kujibu
Wala nakuita kabisa usiwazeMe an you we are cool...Hii isikufanye tukaacha kuniita bure
Mzungu sana👍👍Wala nakuita kabisa usiwaze
NGoja nikupe siri kaka yako;Mlivyo waongo ss
Utasikia yaani hayo macho,Hilo tako,huo mguu ,hiko kiuno, mara unavyoongea,mara hizo nywele
Wizi mtupu.....
Kumbe anaangalia vitu vyako ambavyo we unavipenda
Umewezwa mapema hii?Mzungu sana👍👍
Sababu NAMPENDA🤦🤦🤦Umewezwa mapema hii?
Kumbe mwepesi tu?😂
Tukana uone🤣🤣Sababu NAMPENDA🤦🤦🤦
Upendo una Nguvu Nguvu sana,angekuwa deshideshi Leo angejuta🤣
Basi sawaa 🤣Ng
NGoja nikupe siri kaka yako;
Hadi nimtake binti ujue amenivutia sana sana, hivyo kama nimekutokea ujue sio nataka mzigo bila sababu...una kitu.
Unaweza usiwe na na tako au mengineyo but ukawa na usemi mtamu, unaakili za kuniteka au hata vilips, so nitakwambia ukweli kuwa hizo lips mama mimi hoi😂😂😂