Wewe labda una akili kama za huyo au wewe unatumia multiple users.
Yeye au wewe alikuwa/ulikuwa anawalaumu/unawalaumu UN hawakuwazuia Hezbullah kucross kwenda Israel , sa we akilini kwako UN watugundua vipi hizo tunnels? Ni jibu kwa njia ipi?
Israel, USA, UK. France, Germany na India wana technology kuliko hao wanajeshi waliopo pale Lebanon wa UNIFIL ambao nimkusanyiko wa wanajeshi nchi tofouti tofouti hata JWTZ wapo na wengi wao ni marafiki wa Israel, waseme tumeona tunnels? Wakati hawakuziona? Israel anasaidiwa na kila technology za USA, UK, France, Germany na India hazioni tunnels za Gaza wazione watu wenye , bunduki tu na army vehicles unless uwe kichaa tu ndio utasema UN walikuwa wana ficha siri π
Kuna tofauti kati ya kusema tunnels zipo na kusema tumeziona. Hata Israel anakiri tunnels zipo Lebanon na Gaza ndio kaziona.
Haya UN kakiri zipo kaziona? Simwambie basi amuonyeshe America na Israel hahaha, ujinga mwingine bora muwe mnauficha.
Hezbullah kakiri tunnels zipo siku nyingi sana, sa kukiri na kusema zipo sidhani ndio wengine wataziona.
UN ni tool's ya USA na mapuppets wake sio tool's ya Hezbullah, Hezbullah hawahitaji hao UN, hao walipelekwa kumsaidia Israel ili Hezbullah asisoge hapo kwenye border.
Kosa analo fanya Israel daima kuspy anga la Lebanon au drones zake kushambulia Lebanon UN wako wapi?
Acheni ujinga Israel hawezi mfanya lolote Hezbullah yeye na USA, hio akili ya USA kutisha maraifa mengine kwa Air force na Carriers zimepitwa na wakati.
Target zinangojewa kupigwa na Hezbullah ni hizo hapo wameisha fikishiwa ujumbe USA kabla ya Israel haya tuone kama watazuia zisipigwe.
View: https://youtu.be/TuwAnMNi_yE?si=s9b00yzBoFKor_kE