Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
-
- #41
ndio lakini elon ana miradi mingi sana michache ninayoijua me ni kama TESLA , SPACE X , TWITTER ss unadhan mtu moja anaweza kufukilia mambo yote ayo kwa wakati moja kama mimi ni mtunzi na muandishi wa riwaya na tamthilia kuna mda nashindwa kufikiria mpaka inapelkea story za wahusika wawil kutaka kufanan .Pia inategemea, kama muda mwingi utautumia pekee yako katika kufanya utafiti na kutafakari, lazima uje na wazo lenye tija
swali zuri ila ili swali nadhani ni vizuri akikujibu platinum member wenyewe kama unamjua platinum member moja mtagSamahani naweza jua faida za kuwa JF platinum member
Platinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu
ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
ni kama unavyosikia mtu kapewa cheo cha heshima baada ya mchango wake kuleta mafanikio chanya eneo fulani.nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu
ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
hahhaaaaaaaaaaa uwiiii aisee Matola umetisha kumbe wakiona hilo neno watoto wanajisongesha aiseeee.Platinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.
Ile idea ya Bronze member, gold member na silver member waliondoa imebaki Platinum member tu.
Kuna vihera vya ufisadi nitapata siku si nyingi nitawawezesha na Mimi nirudishwe Platinum member, inasaidia sana kutongozea vitoto vya MMU.
Kuwa na timu imara ni muhimu, na hiyo timu unaiunda wewe; ukiwa na watu sahihi na mifumo mizuri, lazima ufike mbali.ndio lakini elon ana miradi mingi sana michache ninayoijua me ni kama TESLA , SPACE X , TWITTER ss unadhan mtu moja anaweza kufukilia mambo yote ayo kwa wakati moja kama mimi ni mtunzi na muandishi wa riwaya na tamthilia kuna mda nashindwa kufikiria mpaka inapelkea story za wahusika wawil kutaka kufanan .
πππ nakubal nakubal mkuu lakini nakukumbusha ukimwi upoPlatinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.
Ile idea ya Bronze member, gold member na silver member waliondoa imebaki Platinum member tu.
Kuna vihera vya ufisadi nitapata siku si nyingi nitawawezesha na Mimi nirudishwe Platinum member, inasaidia sana kutongozea vitoto vya MMU.
sure c.e.oKuwa na timu imara ni muhimu, na hiyo timu unaiunda wewe; ukiwa na watu sahihi na mifumo mizuri, lazima ufike mbali.
utaratibu wa kuwa platinum member ukoje na ada yake ni kiasi gani?Wewe ndio umelijuwa hilo leo, mbona JF Platinum members wanalipia?
na verification badge mumeipata baada ya kutimiza sifa zipi hapa JF
Soma hapa mkuuWakuu,
Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified.
Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi wa kina.
Kwa wanaotaka kuwa verified, utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:
Utabonyeza (ukiwa kwenye web browser) sehemu imeandikwa Account, kisha fuata utaratibu huu:
View attachment 1897917
Utabonyeza "Request Verification Badge". Utaweza kuona sehemu inakuja na eneo la kuweka ujumbe wa kuwasiliana nasi ukiambatanisha na copy ya ID inayothibitisha majina unayotaka yawe verified ni yako
View attachment 1897898
Ukishatuma request, vumilia kidogo kwani itakuwa processed na ikiwa ina changamoto progress itaonekana kwako baada ya sisi kuwasiliana nawe kuhusu ombi lako.
Profile yako au ya mdau mwingine, ukipeleka cursor itaonyesha maandishi haya (mfano):
View attachment 1898044
ILANI:
1) Kwa waliokuwa verified awali, huna ulazima wa kufanya mchakato huu, lakini ikikupendeza kujaribu - UNAKARIBISHWA
2) Unaweza kuwa verified ukiwa na ID yako ya JF (not a real name) endapo tutajiridhisha kuwa ID ni mtu tunayefahamiana naye na maudhui ya akaunti yake hayashushi hadhi ya badge husika; mfano wa waliokuwa verified kwa IDs kawaida ni Bujibuji na Madame B.
Wanachama ambao ni VERIFIED wataonekana hapa: Verified Members
NB: Napokea requests nyingi za kubadili majina, tafadhali fanya hivyo mwenyewe kwa kutembelea https://www.jamiiforums.com/account/username
Asante
Kwani nimekwambia Mimi anataka kuwa mlinzi wa dunia?πππ nakubal nakubal mkuu lakini nakukumbusha ukimwi upo
aya shujaa wetu kuna pagusa utakufa vibaya ππKwani nimekwambia Mimi anataka kuwa mlinzi wa dunia?
Wewe unadhani Msukuma ni mjinga kulipa dollar 5000 apate kuitwa Dr?hahhaaaaaaaaaaa uwiiii aisee Matola umetisha kumbe wakiona hilo neno watoto wanajisongesha aiseeee.
πππ ili muanze kumchunaAje atuonyeshe balance yake ya bank
hahhaaaaaaaaaa sio mjinga anafanya hivyo ili apate anachokitakaWewe unadhani Msukuma ni mjinga kulipa dollar 5000 apate kuitwa Dr?