Hii ni namba ngapi? Mwana mimi natazama dana IDx ya 171Kiukweli Dstv wana channels zinazo kufanya uketi kwenye kochi ushangae .... Binafsi huwa napenda sana ile Discovery3 HD inazungumzia kesi na matukio ya mauaji tu yaan wao ni kesi tu kwenda mbele
Eh sorry ndio.iyoniyo discovery ID sorry nilikosea ,Hii ni namba ngapi? Mwana mimi natazama dana IDx ya 171
Dp kali sana aiseeNilitamani sana nilete kisa hiki wiki iliyopita. Nimetumiwa hicho kitu wiki iliyopita. Kuna mdada mzungu anajidai yuko Australia,anaitwa SOPHIE EDWARD,anadai eti emenielewa. Akanielezea habari zake kwamba ana mtoto mmoja. Anasema yeye ni doctor huko na anasafiri nchi nyingi pia. Akatuma na picha zake nyingi akiwa hospital na zingine na wenzie wazungu (nafikiri hizo walidukua mahala). Alijieleza mengi. Nikamuuliza namba yangu umeitoa wapi?. Akasema Facebook Nikamwambia mimi situmii Facebook. Nikamuuliza unataka nini sasa kwangu?
Namba yake ni +229 55 26 56 10.
Kitu cha kwanza nikawaita vijana wangu dukani nikawaonyesha kinachoendelea kutoka kwa yule mzungu. Nikawaambia kitakachofuata ni utaperi huu. Nimewaonyesha ili mjue,siku mkadhani mmepata kumbe mnaandaliwa kupigwa.
Basi tukawasiriana na yule mdada siku kama 3,siku ya 4 asubuhi akaniambia amepewa zawadi na wenzie kanisani kutoka Haiti zawadi akanipigia picha Cheni za gold pc 2 zina ile msalaba. Computer moja,TV kubwa 1,Kamara na saa 3 za gold. Akaniambia,yeye ksbb yuko busy kuna waumini wenzie wanaenda Senegal wanaenda na hivyo vitu ili akanitumie kupitia Senegal. Akanitumia namba ya simu ya huyo sister atakaenitumia. Jina anaitwa Sister Stella Dennis. Akanitumia na picha ya huyo sister mzungu,ni wale masister kabisa wa kiroma. (Nikawaambia wadogo hapa ndio lengo lao linakaribia)
Siku ya 5 asubuhi niko mazoezi yule mwenye mizigo yangu sasa akanitumia picha kupitia what's up eti yuko DHL anatuma mizigo,yuko na masister wengine wawili wa kiroma.
Picha ilipokuja kuungua ni pale huyo sister ananiambia kutuma huo mzigo ni dollar 600,kwa hiyo yeye ana hela kidogo hapo,mimi nitume dollar 300 ili kukamilisha muamala wa utumaji. Nikamwambia nikipata nitawatumia. Akasema ni jambo la haraka ksbb wanatakiwa warudi Australia then wana safari ya Haiti. Nikamjibu hiyo hela sina. Nitawarudishia hela yenu vitu vikifika.
Akaja yule Sophie ananiambia yule sister ni wa heshima sana kwa hiyo ili tusimsumbue fanya leo kumtumia hiyo hela au kesho asubuhi. Nikamjibu wewe mimi sio wa kirahisi hivyo. Halafu najua kabisa nawasiriana na mwanaume. Hasa hasa from Nigeria au Ghana au Kenya.
Baadae akatoa picha ya mdada alievalia kidoctor aliyokuwa ameiweka kwenye what'sup yake. Baada ya masaa mawili ile namba ingine nayo ikatolewa ile picha ya sister wa kiroma.
No-+229 55 26 56 10
Yes. Ndio huyu huyu. Bahati mbaya picha zake zingine nusu uchi nyingi nimefuta baada ya kuona giza tuDp kali sana aisee
View attachment 2182720
Banged abroad huwa kinanisisimua sana Mkuu zaidi nmefurahishwa na Wana jf kama wewe unanifanya nizidi kupaamini mahali hapa kwa kutupa mafunzo yenye vivids na zaidi nafarijika kumbe huwa tunaungana wana jf wengi mida ile kufwatilia madini kama yaleSaa nne usiku, halafu kinafuata banged abroad yani vyote vizuri sana na utajifunza mengi
Mimi mdau mkubwa sana ikifka saa nne niko kwenye TV labda niwe mbali na homeBanged abroad huwa kinanisisimua sana Mkuu zaidi nmefurahishwa na Wana jf kama wewe unanifanya nizidi kupaamini mahali hapa kwa kutupa mafunzo yenye vivids na zaidi nafarijika kumbe huwa tunaungana wana jf wengi mida ile kufwatilia madini kama yale
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hizi story unaweza ukakaa ndani siku nzima....aisee kuna binadamu katili sana kama ted bundyKiukweli Dstv wana channels zinazo kufanya uketi kwenye kochi ushangae .... Binafsi huwa napenda sana ile Discovery3 HD inazungumzia kesi na matukio ya mauaji tu yaan wao ni kesi tu kwenda mbele
Hii program imenifundisha uhuru ni kitu muhimu sana.....yaani wote walokuwa banged up abroad wanakwambia biggest lesson learned ni kuwa ur freedom is everything.Banged abroad huwa kinanisisimua sana Mkuu zaidi nmefurahishwa na Wana jf kama wewe unanifanya nizidi kupaamini mahali hapa kwa kutupa mafunzo yenye vivids na zaidi nafarijika kumbe huwa tunaungana wana jf wengi mida ile kufwatilia madini kama yale
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hata mim nishawahi fanyiwa kama hii mzigo ukafika zanzibar 😂😂😂 naambiwa nitume laki 6 na mwanaume kapewa namba yangu nikamuambia kaka chukua eti hiyo mizigo itakusaidia 😂😂😂Nilitamani sana nilete kisa hiki wiki iliyopita. Nimetumiwa hicho kitu wiki iliyopita. Kuna mdada mzungu anajidai yuko Australia,anaitwa SOPHIE EDWARD,anadai eti emenielewa. Akanielezea habari zake kwamba ana mtoto mmoja. Anasema yeye ni doctor huko na anasafiri nchi nyingi pia. Akatuma na picha zake nyingi akiwa hospital na zingine na wenzie wazungu (nafikiri hizo walidukua mahala). Alijieleza mengi. Nikamuuliza namba yangu umeitoa wapi?. Akasema Facebook Nikamwambia mimi situmii Facebook. Nikamuuliza unataka nini sasa kwangu?
Namba yake ni +229 55 26 56 10.
Kitu cha kwanza nikawaita vijana wangu dukani nikawaonyesha kinachoendelea kutoka kwa yule mzungu. Nikawaambia kitakachofuata ni utaperi huu. Nimewaonyesha ili mjue,siku mkadhani mmepata kumbe mnaandaliwa kupigwa.
Basi tukawasiriana na yule mdada siku kama 3,siku ya 4 asubuhi akaniambia amepewa zawadi na wenzie kanisani kutoka Haiti zawadi akanipigia picha Cheni za gold pc 2 zina ile msalaba. Computer moja,TV kubwa 1,Kamara na saa 3 za gold. Akaniambia,yeye ksbb yuko busy kuna waumini wenzie wanaenda Senegal wanaenda na hivyo vitu ili akanitumie kupitia Senegal. Akanitumia namba ya simu ya huyo sister atakaenitumia. Jina anaitwa Sister Stella Dennis. Akanitumia na picha ya huyo sister mzungu,ni wale masister kabisa wa kiroma. (Nikawaambia wadogo hapa ndio lengo lao linakaribia)
Siku ya 5 asubuhi niko mazoezi yule mwenye mizigo yangu sasa akanitumia picha kupitia what's up eti yuko DHL anatuma mizigo,yuko na masister wengine wawili wa kiroma.
Picha ilipokuja kuungua ni pale huyo sister ananiambia kutuma huo mzigo ni dollar 600,kwa hiyo yeye ana hela kidogo hapo,mimi nitume dollar 300 ili kukamilisha muamala wa utumaji. Nikamwambia nikipata nitawatumia. Akasema ni jambo la haraka ksbb wanatakiwa warudi Australia then wana safari ya Haiti. Nikamjibu hiyo hela sina. Nitawarudishia hela yenu vitu vikifika.
Akaja yule Sophie ananiambia yule sister ni wa heshima sana kwa hiyo ili tusimsumbue fanya leo kumtumia hiyo hela au kesho asubuhi. Nikamjibu wewe mimi sio wa kirahisi hivyo. Halafu najua kabisa nawasiriana na mwanaume. Hasa hasa from Nigeria au Ghana au Kenya.
Baadae akatoa picha ya mdada alievalia kidoctor aliyokuwa ameiweka kwenye what'sup yake. Baada ya masaa mawili ile namba ingine nayo ikatolewa ile picha ya sister wa kiroma.
No-+229 55 26 56 10
Kwenye hili nakuunga mkono asilimia 100% kuna mtu namfahamu alipgwa milion zaidi ya milion 20 kwa kitu hiki hiki ulichosema.Mpopo uwa anawekeza. Akiona anaweza pata million 60 kutoka kwako, basi atawekeza hata 20.
Mfano atakununulia gari akuspoil. Hata kama hiyo pesa huna cash lakini anajua kuwa unaweza chukua mkopo atafanya hivyo.
Baadae atakuja na proposal ambayo huwezi ikataa ukizingatia ushamwamini
Watu kama hawa pitia madalali.Huyu nae yupo insta. Ana tako, sura, shepu.. si mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]
nimetest kama kweli anauza K maana sio kwa mirusho ile kwenye video zake..
nimemwambia nina dola mia nataka mzigo..
kaomba 20k
maji nimeyaomba, sijui niyanywe[emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2182443View attachment 2182444
Duuh mchizi alinogewa, miaka miwili yote aiseeKuna mbongo mmoja 2017 alidakwa Airport TZ Dar, alikuwa akiuza airplane online tickets kwa zaidi ya miaka miwili.
Kampuni ya X Air kuja kustuka inasemekana tayari alishakuwa kaisababishia hasara zaidi ya B 40.
Sasa sijui alikuwa ana-duplicate vipi zile tiketi za ndege bila hata ya kampuni husika kugundua.
Matapeli wana mbinu nyingi sana za akili.
Daaa hata YOUTUBE zipo video zikioneshq chain nzima aisee nimependa sana hiki kipindiKuna kipindi kiko NatGeo channel 181 DSTV na pia Azam wanayo siko surr ni channel namba ngapi.
Hiki kipindi ni mwanadada anakuwa anafuatilia biashara flani haramu to the source anazungumza na clients na wauzaji au wale victims, na watendaji wa uharamia.
Ashahoji wauzaji madawa wa mexico, wezi wa magari US, clinic haramu za kuongeza makalio US yani anaenda to the source na akiwa anawahoji wanakuwa wamevaa masks japo wauza madawa hawavai masks wengi wao huko mexico.
Sasa wiki hii alikuwa nafuatilia hawa scammers wa mtandaoni wanao scam watu kupitia kujifanya wanawake au wanaume kupitia dating sites.
Hivyo alisafiri mpaka Ghana ambapo biashara hii imeshamiri. Anasema inaanza Nigeria then Ghana.
Aisee ni biashara kubwa sana na sio rahisi rahisi. Kumbe wana script za nini waandike na nini waseme, unakuta ni kikundi, wana wataalamu wa graphics, wana mtaalamu wa IT yani crew.
Na kuna boss ambaye wanawaita finisher. Huyu yeye ndiye anakuwa anatafuta potential clients akishawapata anawasukumia sasa hawa wa chini wa deal naye ela ikitumwa naipokea boss hawa wa chini wanapewa % kidogo.
Wanakwambia zamani ilikuwa rahisi kuwascam watu kwasababu mambo ya video call yalikuwa hayapo now ngumu. So, mtaalamu wa IT unakuta ametengeneza system anatumia video ambazo wanasema nazo wanazinunua yule mtu akiwa anachat na mtu via dating site anaona huyo mtu kwa video anatype so anaamini kweli ni mtu really kumbe ni video imesetiwa.
Wakioiga calls za kawaida wanaongea wnaume ila wana tune sauti kuwa za kike, ila kuna muda wanainvolve na wanawake.
Kilichonishangaza zaidi wanatumia pia black magic. Mtu wakiona hatoi pesa, wanaprint picha yake inapelekwa kwa mganga anaifannyia mambo, wanadai ela inatoka hata mtu aambiwe anataka dollar 20000.
Pia wengine wana guilty consciousness kuna mmoja anadai alimscam mwanamama mmoja pesa akajiua, mwingine anasema alimscam mwanamama ela ya nyumba.
Wanadai wanaume ni rahisi kuwascam kuliko wanawake.
Pia akatoka hapo akawahoji victims, na imegundulika wanawake ndio wakiibiwa hujiweka wazi wanaume hata.
Sema kuna watu wa kuwatrack. So kuna mmoja alikuwa anataka kumscam mwanamama kumbe mwanamama ashamshtukia, so akaendelea playa dumb. Jamaa alikuwa kaweka picha ya mwanajeshi wa US anadai yuko middle east so akamwomba amtumie dola 4000 via bitcoin.
Mwanamama alikuwa ashamwandaa jamaa ea kuwatrack, akamdanganya ametuna yule jamaa alikuwa amemtumia link flani amtumie huyo scammer yule scammet alipoclick tu ile link jamaa akadaka location yake kuwa yuko ghana accra.
Hao scammer wanakwambia kuna watu wakubw Ghana ndo viongozi wa hiyo kitu na ukijaribu kuwafuatilia you can end up dead.
Cha muhimu kuwa makini usije ukalambwa wewe maana cha wizi usije shikwa utajutaKuna mke wa mtu nitampiga muda sio mrefu ,nishamwambia mm ni unemployed na Sina Hela ila amekomaa tu kuniganda kosa nna maneno matamu na ya kumfariji ukizingatia ana mgogoro wa ndoa na mmewe,nikipiga lako 5 natembea
Ahahaaaaa....! WaNigeria hao. Ila huyu Get Rich anajua mengi huyuHata mim nishawahi fanyiwa kama hii mzigo ukafika zanzibar [emoji23][emoji23][emoji23] naambiwa nitume laki 6 na mwanaume kapewa namba yangu nikamuambia kaka chukua eti hiyo mizigo itakusaidia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mpaka dakika hii nachat na dada tapeli na sina haja ya kuficha namba zake.Ahahaaaaa....! WaNigeria hao. Ila huyu Get Rich anajua mengi huyu