Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Unawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
 
BBC wanasema wameonekana wakiwa na afya njema, hata mchubuko hawana. wamekaa nusu mwaka. huo ndio uislam na waislam wanavyowafanyia wasiokuwa waislam. wakiristo wakiwateka waislam basi hapo wakitoka masikio hawana au macho
Uislam ni kuwaulia ndugu zao na kuwafanya mateka ili uje ujibrand kwamba unajua kuwahudumia mateka?
Nikisema huna akili nitakuwa nakosea?
Kwa tulivyoona kwenye huu mgogoro wala hatuhitaji propaganda zako ni kwamba uislam ni dini isiyojali maisha ya watu zaidi ya 37,000 na wengine wanaoendelea kuuliwa.Tungeuona uislam wa maana kama wangeliwaachia mateka mapema na kuzuia mauaji ya maelfu ya watu.
 
Afu America kakiri kuwasaidia Israel kwenye hio Operation, afu ndio eti anadai Hamasi akubali Biden Peace Plan 😄
 
Unawezaje kumtenga mhayudi na wazungu?Bila myahudi dunia kusingekuwa mahali pazuri kuanzia kwenye uzalishaji,matibabu,uchumi na teknolojia.Wazungu wanamhitaji myahudi kuliko myahudi anavyowahitaji wao!
We nenda zako huko Israel bila Anerica na Europe angeisha kufa zamani.
 
Usimtaje yesu ukiwaongelea hao mashetani Israel
 
Hamas ni wapumbavu,badala waachie mateka mambo yaishe, wanawatoa sadaka wapalestina wasio na hatia
 
Maalim mbona povu la kleesoft lime kutoka hiviii
 
Hamas ni wapumbavu,badala waachie mateka mambo yaishe, wanawatoa sadaka wapalestina wasio na hatia
Kuna mwaka Messi aliktaa kucheza na timu ya Israel , hao wanaua watoto kila siku wala hamna uhusiano na Hmas....Hamas watoto wa juzi wameukuta mgogoro
 
Hiyo ndio maana halisi ya iDF being the BEST army in the world.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…