Ndu wa kweru
JF-Expert Member
- Nov 18, 2021
- 445
- 1,120
Vitu vikapandiana ghafla.Pambana kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa changu kibovu😜Huwa nikisoma comment zako kama hizi nacheka sana.
Najiuliza huyu mdau anawaza nini anapo andika haya makitu.
Nina afya tele nashukuru.Hahahahaha acha wapeleke Moto, Yana mwisho! Naam Rafiki, naipokea Salam kwa mikono miwili kabisa! Naamini u buheri wa Afya, tusitupane sana
Mtumeee..[emoji3064][emoji15]Ni nature yenu wala usijali...ongeza pisi nyingine Acha uoga kijana
[emoji23][emoji23][emoji23]Amezimia jamani,mpepeeni aamke amalizie story
Hapana ni mcheshi sana.Kichwa changu kibovu😜
Siwezi kushangaa mwanafunzi wa CBE kuwa kiwembe hivyoNawasalimu wana Jamiiforums. Kwa kulinda faragha yangu kuna baadhi ya taarifa zitazisema direct.
Nilihitimu mwaka 2018 Diploma ya Ugavi na manunuzi CBE Tawi la Dodoma, kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira, ndugu walinifanyia mpango wa kazi za viwandani mikoa ya kaskazini kwa lengo la kujishikiza na kupata pesa za kufanyia maombi ya kazi ya kile nilichokisomea.
Nilifika mkoa X na kuanza kazi hiyo ya kiwandani huku nikiishi kwa ndugu, mshahara ulikuwa Tsh. 314,000. Japo kazi ilikuwa na ups and downs lakini niliweza kuhama Kwa ndugu kwenda kupanga chumba na kuanza rasmi maisha ya kujitegemea.
Kuanza kujitegemea ndio chanzo Cha majuto yangu ya leo. Kama kijana wa kiume nikaanza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti ule uhuru wa kujitegemea nikashindwa kujicontrol nikaipa ngono kipaumbele na nikawa kama mtu aliyeridhika kwa kuona maisha nishayapatia kwa kuwa na geto lenye kitanda, Flat tv na subwoofer.
Kuna jirani ambaye alihamia nilipokuwa nimepanga akiwa na mtoto wake, tukaanza mazoea na mwisho wa siku tukawa na mahusiano. Tukawa free kiasi kwamba room yangu akawa anaingia anytime. Kwa ufupi akajisogeza tukawa tunaishi pamoja. Hili jambo liliwafikia ndugu zangu pamoja na wazazi, wakalipinga vikali sana.
Sijui ni ujinga au utoto sikuwasikiliza, nikaendelea kuishi naye mpaka akapata ujauzito na ikumbukwe alikuwa na mtoto ambaye alikuwa chini ya miaka miwili, na kwa wakati huo huo kuna binti tena wa pembeni nikawa nimempa ujauzito.
Ndani ya muda mfupi nikajikuta ninaishi na mwanamke mwenye mtoto mdogo ambaye ana ujauzito wangu na pia nina mwanamke wa pembeni ana ujauzito wangu. Kwahiyo nikajikuta nina wajibu wa kuhudumia mwanamke ambaye hata kwao sipajui maisha yakaanza kuwa magumu nikawa mtu wa madeni stress juu ya stress.
Kutokana na vitisho vya watu kwamba unaishi na mwanamke mjamzito ambaye hupajui hata kwao siku akija kupata matatizo utawajibika, nikalazimika kwenda kujitambulisha kwa mwanamke bila ya kupenda.
Ndiyo Ukweli WenyewePambana mkuu
Mkuu nasubiri muendelezo nipo pale siti ya nyuma kabisa nikiwa na popcorn zangu...Nawasalimu wana Jamiiforums. Kwa kulinda faragha yangu kuna baadhi ya taarifa zitazisema direct.
Nilihitimu mwaka 2018 Diploma ya Ugavi na manunuzi CBE Tawi la Dodoma, kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira, ndugu walinifanyia mpango wa kazi za viwandani mikoa ya kaskazini kwa lengo la kujishikiza na kupata pesa za kufanyia maombi ya kazi ya kile nilichokisomea.
Nilifika mkoa X na kuanza kazi hiyo ya kiwandani huku nikiishi kwa ndugu, mshahara ulikuwa Tsh. 314,000. Japo kazi ilikuwa na ups and downs lakini niliweza kuhama Kwa ndugu kwenda kupanga chumba na kuanza rasmi maisha ya kujitegemea.
Kuanza kujitegemea ndio chanzo Cha majuto yangu ya leo. Kama kijana wa kiume nikaanza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti ule uhuru wa kujitegemea nikashindwa kujicontrol nikaipa ngono kipaumbele na nikawa kama mtu aliyeridhika kwa kuona maisha nishayapatia kwa kuwa na geto lenye kitanda, Flat tv na subwoofer.
Kuna jirani ambaye alihamia nilipokuwa nimepanga akiwa na mtoto wake, tukaanza mazoea na mwisho wa siku tukawa na mahusiano. Tukawa free kiasi kwamba room yangu akawa anaingia anytime. Kwa ufupi akajisogeza tukawa tunaishi pamoja. Hili jambo liliwafikia ndugu zangu pamoja na wazazi, wakalipinga vikali sana.
Sijui ni ujinga au utoto sikuwasikiliza, nikaendelea kuishi naye mpaka akapata ujauzito na ikumbukwe alikuwa na mtoto ambaye alikuwa chini ya miaka miwili, na kwa wakati huo huo kuna binti tena wa pembeni nikawa nimempa ujauzito.
Ndani ya muda mfupi nikajikuta ninaishi na mwanamke mwenye mtoto mdogo ambaye ana ujauzito wangu na pia nina mwanamke wa pembeni ana ujauzito wangu. Kwahiyo nikajikuta nina wajibu wa kuhudumia mwanamke ambaye hata kwao sipajui maisha yakaanza kuwa magumu nikawa mtu wa madeni stress juu ya stress.
Kutokana na vitisho vya watu kwamba unaishi na mwanamke mjamzito ambaye hupajui hata kwao siku akija kupata matatizo utawajibika, nikalazimika kwenda kujitambulisha kwa mwanamke bila ya kupenda.
Apatiwe Msaada,kipato chake,maisha aliyochagua anaweza kukata roho[emoji23][emoji23][emoji23]
😅 umesahau na wanawake wawili,atakonda hadi kikojoleo huyu kijanaKwahiyo tayari una watoto watatu na mshahara was kibarua 340,000???
Kwani kuna cha ajabu hapo kaka?Mtumeee..[emoji3064][emoji15]
Umepanda marage unavuna marageNawasalimu wana Jamiiforums. Kwa kulinda faragha yangu kuna baadhi ya taarifa zitazisema direct.
Nilihitimu mwaka 2018 Diploma ya Ugavi na manunuzi CBE Tawi la Dodoma, kutokana na ugumu wa upatikanaji wa ajira, ndugu walinifanyia mpango wa kazi za viwandani mikoa ya kaskazini kwa lengo la kujishikiza na kupata pesa za kufanyia maombi ya kazi ya kile nilichokisomea.
Nilifika mkoa X na kuanza kazi hiyo ya kiwandani huku nikiishi kwa ndugu, mshahara ulikuwa Tsh. 314,000. Japo kazi ilikuwa na ups and downs lakini niliweza kuhama Kwa ndugu kwenda kupanga chumba na kuanza rasmi maisha ya kujitegemea.
Kuanza kujitegemea ndio chanzo Cha majuto yangu ya leo. Kama kijana wa kiume nikaanza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake tofauti ule uhuru wa kujitegemea nikashindwa kujicontrol nikaipa ngono kipaumbele na nikawa kama mtu aliyeridhika kwa kuona maisha nishayapatia kwa kuwa na geto lenye kitanda, Flat tv na subwoofer.
Kuna jirani ambaye alihamia nilipokuwa nimepanga akiwa na mtoto wake, tukaanza mazoea na mwisho wa siku tukawa na mahusiano. Tukawa free kiasi kwamba room yangu akawa anaingia anytime. Kwa ufupi akajisogeza tukawa tunaishi pamoja. Hili jambo liliwafikia ndugu zangu pamoja na wazazi, wakalipinga vikali sana.
Sijui ni ujinga au utoto sikuwasikiliza, nikaendelea kuishi naye mpaka akapata ujauzito na ikumbukwe alikuwa na mtoto ambaye alikuwa chini ya miaka miwili, na kwa wakati huo huo kuna binti tena wa pembeni nikawa nimempa ujauzito.
Ndani ya muda mfupi nikajikuta ninaishi na mwanamke mwenye mtoto mdogo ambaye ana ujauzito wangu na pia nina mwanamke wa pembeni ana ujauzito wangu. Kwahiyo nikajikuta nina wajibu wa kuhudumia mwanamke ambaye hata kwao sipajui maisha yakaanza kuwa magumu nikawa mtu wa madeni stress juu ya stress.
Kutokana na vitisho vya watu kwamba unaishi na mwanamke mjamzito ambaye hupajui hata kwao siku akija kupata matatizo utawajibika, nikalazimika kwenda kujitambulisha kwa mwanamke bila ya kupenda.
Unampoteza!!!Ni nature yenu wala usijali...ongeza pisi nyingine Acha uoga kijana