Tuache unafik, ivi kitugani cha msingi Utakacho kwenda kuwaambia wananchi ili wasi ichague CCM kwa sasa?Sasa kinachowafanya muwazuie mikutano ya kisiasa ya n'je ya ndani kwa miaka minne ni nini we Pandawandigwa?.
Ina wezekana hawa hawakujua kwamba shughuli ilisha malizikia kwenye ngazi ya uteuzi. Kinacho fuata ni matumizi mengine mabaya ya maneno ya mungu kwa kisingizio cha kuapa.Wasimamizi wa uchaguzi wakisubiri wapiga kura katika kituo cha Maumba kilichopo mtaa wa Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam leo. Picha na Ericky Boniphace #MwananchiUpdatesView attachment 1271246
Unamsifia Slaa baada ya kufika bei ?!. Alipokuwa Cdm mlimnena hovyo iweje leo ?!Kwakipindi cha sasa hakuna chama cha upinzani chenye nguvu kinachoweza kuishinda CCM , Ata wakifanya kampeni mwaka mzima.
Shida iliyopo hakuna tena watu wanaoweza kujenga hoja kama alivyokua Dr Slahaa. Yaani sasaivi wapinzani hojazao ni kupinga yale anayofanya JPM au wanasubiri kiongozi wa serikali ahutubie wao watafute makosa kwenye hotuba ili uwe hoja.
Mim sio CCM ila Yapo Mambo mengi Mazuri anayo fanya JPM na baadhi ya Mawaziri yananifurahisha. Naomba unitajie chama chochote cha upinzani kinachofanya kazizake za siasa kama taasisi? Uwezi kuwashinda CCM kwa ubabaishaji.Mkuu jifurahishe nafsi japo ukweli unaujua vzr lakini umeamua mnafiki ili umfurahishe mtakatifu wenu jiwe
Kwa akill na uzoefu wao CCM imeshinda 101%. Mimi nasubiri mrejesho wa Jafo.
Unajua kabla ya kwenda Chadema Dr Slaa alikua chama gani?Unamsifia Slaa baada ya kufika bei ?!. Alipokuwa Cdm mlimnena hovyo iweje leo ?!
Mbona wamegoma kujitokeza kwa wingi kwenye uchaguzi huu ili kuwaunga mkono hata ccm wenzenu hawapo.Tuache unafik, ivi kitugani cha msingi Utakacho kwenda kuwaambia wananchi ili wasi ichague CCM kwa sasa?
Huko mbali sana mkuu kwenye udiwani au ubunge tuNgoja tuone kama hao chadema watapita bila kupingwa kwenye nafasi ya rais
Kama hawatojifunza the time will tell.CCM hawajapata kujifunza wala hawatajifunza....
SIKIO LA KUFA....
Kwakipindi cha sasa hakuna chama cha upinzani chenye nguvu kinachoweza kuishinda CCM , Ata wakifanya kampeni mwaka mzima.
Shida iliyopo hakuna tena watu wanaoweza kujenga hoja kama alivyokua Dr Slahaa. Yaani sasaivi wapinzani hojazao ni kupinga yale anayofanya JPM au wanasubiri kiongozi wa serikali ahutubie wao watafute makosa kwenye hotuba ili uwe hoja.
Mkuu wala hukupaswa kuhangaika nae huyo... wengi wa aina yake vichwa huwa vimetengana na ubongo...Uongo eeeheee uongo upi angalia hapa. View attachment 1271650
Mambo yapi mazuri aliyoyafanya? Kushindwa kuajiri miaka minne, kushindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu, kushindwa kupandisha madaraja miaka minne, kuharibu uchumi na kusababisha biashara zifungwe nchi nzima,kuharibu uchumi na mzunguko wa fedha, kuwabambikia umaskini watanzania ambao hawakuwa nao, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, kukiuka haki za binadamu nchini, kuvunja katiba na sheria, kuharibu mahusiano ya kimataifa na wawekezaji haya ndio mambo mazuri aliyofanya?Mim sio CCM ila Yapo Mambo mengi Mazuri anayo fanya JPM na baadhi ya Mawaziri yananifurahisha. Naomba unitajie chama chochote cha upinzani kinachofanya kazizake za siasa kama taasisi? Uwezi kuwashinda CCM kwa ubabaishaji.
Upinzani uku Tanzania bara ndio ulitakiwa uwe umejifunza kwa CUF Zanzibar, kama hawakujifunza matokeo ya kususia uchaguzi kwa CUF Zanzibar hawawezi kujifunza lolote katika siasa.Kama hawatojifunza the time will tell.
Kabisa mkuu, watu tunaishi nao mitaani kila kinachofanyika kinajulikana na teknolojia haidanganyi.Mkuu wala hukupaswa kuhangaika nae huyo... wengi wa aina yake vichwa huwa vimetengana na ubongo...
Hata huku kwetu wamepita nyumba kwa nyumba kuomba wananchi waende wanakuuliza kama hujaenda nini shida? Raia tumewakaanga balaa uso wa mbuzi hakuna kwenda.Dodoma Area D - mtaa wa Kanisa la Rose Muhando,walipita wanagonga geti wanakuuliza 'USHAPIGA'?