Ulicho andikakinaitwa ukasuku, kwakua hakuna ata hoja moja yenye ukweli ata wewe unajua ilo.Watu wameajiriwa, mikopo imeongezeka,madaraja yamepandishwa, baadhi ya biashara kweli zimefungwa na zipo biashara zilizo funguliwa.Mambo yapi mazuri aliyoyafanya? Kushindwa kuajiri miaka minne, kushindwa kuwapa mikopo wanafunzi wa elimu, kushindwa kupandisha madaraja miaka minne, kuharibu uchumi na kusababisha biashara zifungwe nchi nzima,kuharibu uchumi na mzunguko wa fedha, kuwabambikia umaskini watanzania ambao hawakuwa nao, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha, kukiuka haki za binadamu nchini, kuvunja katiba na sheria, kuharibu mahusiano ya kimataifa na wawekezaji haya ndio mambo mazuri aliyofanya?
sasa tatizo lako nini.hatutaki mavyama ya kidikteta hapa..chama kinawaamulia wananchi mtu wa kuwaongoza..ni ujuha wa kiwango cha Kubenea jomba...wa elimu ya hapa na pale.hahahahaHuyo kwa ongea yake, sauti, na tabia ni CCM, ........ Kwa kifupi ni kuwa CCM walipanga iwe hivyo ili kutafuta ka uhalali. Wapo wengine kadha wakadha wapo mtawasikia kutoka vyama mbalimbali villivyo jitoa, watatangazwa washindi.
Waliopita bila kupingwa ni wapi sasaDodoma Area D - mtaa wa Kanisa la Rose Muhando,walipita wanagonga geti wanakuuliza 'USHAPIGA'?
Nimeonaa so hizo nyumba ziko wapiUongo eeeheee uongo upi angalia hapa. View attachment 1271650
Kwani lazima wawe Chadema, waanzishe chama chao au waungemkono juhudi za mheshimiwa kama walivyofanya wengine. Mwenyekiti wa chama alishatamka hakuna mjadala!Kweli watu wa Babati wanajielewa. Nimewasikia Channel ten taarifa ya habari wakisema kwenye katiba ya CHADEMA hakuna kifungu hata kimoja kinachosema chama kitagomea uchaguzi.
Ndio maana wao wameenda kupiga kura.
Kaja na project gawio istead ha ha ha 😁😁😁😁😁😁Jiwe kawa mdogo kama kokoto
Hata wakati wa Chama kimoja watu wengi walipiga kuraAmbacho hamjui ni kuwa watanzania walio wengi wameridhika na serikal iliyopo ndio maana wako bize na kazi tu.
Kwa heading hiyo hapo juu tunga au ongea chochote ili mradi usitukane.
Vyama vipo na hoja zipo shida demokrasia ndiyo imeminywaKwakipindi cha sasa hakuna chama cha upinzani chenye nguvu kinachoweza kuishinda CCM , Ata wakifanya kampeni mwaka mzima.
Shida iliyopo hakuna tena watu wanaoweza kujenga hoja kama alivyokua Dr Slahaa. Yaani sasaivi wapinzani hojazao ni kupinga yale anayofanya JPM au wanasubiri kiongozi wa serikali ahutubie wao watafute makosa kwenye hotuba ili uwe hoja.
Kwakipindi cha sasa hakuna chama cha upinzani chenye nguvu kinachoweza kuishinda CCM , Ata wakifanya kampeni mwaka mzima.
Shida iliyopo hakuna tena watu wanaoweza kujenga hoja kama alivyokua Dr Slahaa. Yaani sasaivi wapinzani hojazao ni kupinga yale anayofanya JPM au wanasubiri kiongozi wa serikali ahutubie wao watafute makosa kwenye hotuba ili uwe hoja.
Hakika watanzania wamedhibitisha kuwa wao siyo wajinga na malofa. Full StopKwa mara ya kwanza nimewakubali watanzania leo kwa msimamo waliouonyesha kwenye uchaguzi huu.
Sio lazima pawepo na foleni ndipo idhibitike kuwa watu walipiga kura, twambie mpaka saa 10 uliona watu wangapi wamepiga kura? huo ndo utafti. Nchi zilizoendelea ni vituo vichache sana unaweza kuona foleni, lkn kwa takwimu za nchi nzima waliojitokeza ni zaidi ya % 70 labda na sisi tumeendekea.Nilienda kituoni kufanya utafiti. Kweli inasikitisha. Turn out ndogo mno kuanzia asubuhi mpaka wanafunga. Hakuna foleni mpiga kura anajitokeza mmojammoja tena kwa kupishana madakika kibao. Muda ya mwishomwisho ni kama hakukua na wapiga kura kabisa mpaka msimamizi anauchapa usingizi.