johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wenyeviti wa serikali za mitaa waliochaguliwa jana katika manispaa ya Bukoba wameapishwa leo chini ya usimamizi wa mkuu wa mkoa wa Kagera.
Imeelezwa pia Chadema na Cuf wamefanikiwa kupata ushindi katika vitongoji sita wilayani Muleba katika mkoa huo wa Kagera na hivyo kuizuia CCM kupata ushindi wa 100%
Source TBC habari!
Imeelezwa pia Chadema na Cuf wamefanikiwa kupata ushindi katika vitongoji sita wilayani Muleba katika mkoa huo wa Kagera na hivyo kuizuia CCM kupata ushindi wa 100%
Source TBC habari!