Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Wala hauna sababu ya kampeni anza hivi kabila lenye watu wengi tanzania ni wasukuma wanacover mikoa karibu mitano, halafu kabila linalofuata kwa idadi ya watu ni waha hawa ni sababu ya kuzaliana sana , haya njoo makabila ya mikoa mingine utanipa jibu ya uislamu na ukristo wako kwa sample ndogo hiyo
Akili ni nywele, kwahiyo hakuna wasukuma, waha, wanyamwezi na wengineo makabila ya kanda ya ziwa waislamu?
Shuleni mlienda kusomea upadre?
Kwamba makbila hayo yooote woooote ni nasara?
Njoo huku uone wamasai walivyosilimu na kusilimisha jamii yao
Endelea kuminyana
 
Hizi kura zinasema jambo moja. Kuna watu wanapoteza relevance. Ni jambo la ajabu kuona akina Makamba wamegaragazwa vibaya sana na ‘no bodies’. Tafsiri yake wakichukua na hao wengine form za Urais hawatoboi top 5
Unaota ww.
 
Bashungwa mwenendo wake utamuweka kwenye hatari ya kusakamwa na wataka Urais. Seems ni kijana aliyeandaliwa muda mrefu. Unfortunately usikute hata yeye anashangaa lakini possibly ni product ya church na mfumo.
 
Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislam

Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani

Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani

Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Kwani hawa wameteuliwa?,hujui kama wamepigiwa kura?,au hujui tofauti kati ya kuteuliwa na kupigiwa kura?
 
LEO HAZISIKIKI KELELE ZA UDINI 🙂 🙂 🙂
Hazisikiki sababa watu hawakuchujwa kwa misingi ya udini. Pitia najina yote miatatu na ushee yaliyopigiwa kura utaona wamo wa dini zote. Watu huwa wanalamika sio katika kuchagiliwa bali mchujo ambapo executive huanua nani aruhusiwe kugombea na nani asiruhusiwe. Kwenye mchujo inatakiwa wapitishwe wa dini zote na kisha wapiga kura waamue wenyewe.
 
Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislam

Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani

Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani

Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Weka na najina ya Zanzibar basi jabla hujalaumu
 
😂😂😂
Huo ndio ukweli. Ccm ipo hivyohivyo miaka na miaka. Narudia tena, ccm ni kwa ajili ya wafuatao
1. Wakubwa
2. Watoto wa wakubwa
3. Watu wenye connection na wakubwa
4. Watu wenye HELA wenye connection na wakubwa.


Zaidi ya hapo pambana na hali yako.


NB: binti kiziwi kama una tako kubwa laini, hebu gawa TAKO kwa mkubwa, uone kama haupati uteuzi au viti maalum 2025 😂😂 au cheo chochote 😂😂😂
Unadhani wanagaiwa matako na wangapi? Waliopo hata matako hawana, na wenye nayo hata hawapo huko, it takes alot....maisha sio rahisi hivyo.

Hata hivyo hilo tako sina 🤣
 
Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislam

Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani

Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani

Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Udini Mara nyingi huwa nasema unaletwa na majitu ya RC na kipumbavu mingine..

Yaani upigwe kwenye kura uje kusingizia udini,binafsi siwezi mchagua mtu kwa kuleta huo upuuzi wake,dini zenu zinanisaidia Nini Mimi.
 
Back
Top Bottom