Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Nina hakika Samia na timu yake wanayajadili haya matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ni nywele, kwahiyo hakuna wasukuma, waha, wanyamwezi na wengineo makabila ya kanda ya ziwa waislamu?Wala hauna sababu ya kampeni anza hivi kabila lenye watu wengi tanzania ni wasukuma wanacover mikoa karibu mitano, halafu kabila linalofuata kwa idadi ya watu ni waha hawa ni sababu ya kuzaliana sana , haya njoo makabila ya mikoa mingine utanipa jibu ya uislamu na ukristo wako kwa sample ndogo hiyo
Hata mie naona hampendi ugomvi😄😂🤣Hatupendi ugomvi.
Na huu ndio ukweli mchungu,Uko sahihi
Waziri mwenye akili nyingi kupita wote ni Simbachawene.Hata mimi ninamkubali huyu waziri.
Unaota ww.Hizi kura zinasema jambo moja. Kuna watu wanapoteza relevance. Ni jambo la ajabu kuona akina Makamba wamegaragazwa vibaya sana na ‘no bodies’. Tafsiri yake wakichukua na hao wengine form za Urais hawatoboi top 5
Huyu Mahenda ndo mwenye kiwanda cha Qwihaya .Lazima mpunga umetembea sana.Any way kanda ya ziwa wametisha.
Suburi kwa sababu kati ya wajumbe 40 uwiano utakuwa 24:16LEO HAZISIKIKI KELELE ZA UDINI 🙂 🙂 🙂
Kwani hawa wameteuliwa?,hujui kama wamepigiwa kura?,au hujui tofauti kati ya kuteuliwa na kupigiwa kura?Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislamTuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini. Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu. Kama huu uchaguzi umefanyika kumridhisha Rais basi watu...www.jamiiforums.com
Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani
Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani
Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Hazisikiki sababa watu hawakuchujwa kwa misingi ya udini. Pitia najina yote miatatu na ushee yaliyopigiwa kura utaona wamo wa dini zote. Watu huwa wanalamika sio katika kuchagiliwa bali mchujo ambapo executive huanua nani aruhusiwe kugombea na nani asiruhusiwe. Kwenye mchujo inatakiwa wapitishwe wa dini zote na kisha wapiga kura waamue wenyewe.LEO HAZISIKIKI KELELE ZA UDINI 🙂 🙂 🙂
Weka na najina ya Zanzibar basi jabla hujalaumuWalivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislamTuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini. Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu. Kama huu uchaguzi umefanyika kumridhisha Rais basi watu...www.jamiiforums.com
Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani
Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani
Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Unadhani wanagaiwa matako na wangapi? Waliopo hata matako hawana, na wenye nayo hata hawapo huko, it takes alot....maisha sio rahisi hivyo.😂😂😂
Huo ndio ukweli. Ccm ipo hivyohivyo miaka na miaka. Narudia tena, ccm ni kwa ajili ya wafuatao
1. Wakubwa
2. Watoto wa wakubwa
3. Watu wenye connection na wakubwa
4. Watu wenye HELA wenye connection na wakubwa.
Zaidi ya hapo pambana na hali yako.
NB: binti kiziwi kama una tako kubwa laini, hebu gawa TAKO kwa mkubwa, uone kama haupati uteuzi au viti maalum 2025 😂😂 au cheo chochote 😂😂😂
Ndio.. Huyo loyal kid wa "geshi" ametoa pesa ya kutosha na kupitiliza.Ametembeza mpunga mwingi kumzidi Mzee wa tozo?
Udini Mara nyingi huwa nasema unaletwa na majitu ya RC na kipumbavu mingine..Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislamTuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini. Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu. Kama huu uchaguzi umefanyika kumridhisha Rais basi watu...www.jamiiforums.com
Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani
Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani
Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428