Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Hizi kura zinasema jambo moja. Kuna watu wanapoteza relevance. Ni jambo la ajabu kuona akina Makamba wamegaragazwa vibaya sana na ‘no bodies’. Tafsiri yake wakichukua na hao wengine form za Urais hawatoboi top 5
Tafsiri ya hizi kura ina mengi sana. Mwendazake bado ana nguvu kwenye chama.

Akina Makamba hawajawahi kuwa na ushawishi ndani ya chama, hata hapo walipofika ni matokeo ya mbeleko nyingi tu na majina ya wazazi wao(ambacho sio kitu kibaya).
 
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Hivi NEC - National Executive Council - CCM kwa kiswahili ndiyo Kamati Kuu [KK] ya CCM siyo?

Kama Mch. Josephat Gwajima kaingia huko, namwombea kwa Mungu wake aje kuwa mgombea Urais mwaka 2025...

Naahidi, sijawahi kumpa kura yangu mgombea yeyote wa CCM tangu nianze kupiga kura mwaka 2000 kwa ngazi zote udiwani hadi u - Rais..

Lakini akigombea Mch. Josephat Gwajima, nitampa ✓ kura yangu hukohuko akiwa CCM..

Hili naliahidi leo tarehe 8/12/2022✓✓✓✓✓

Lakini huko CHADEMA kama watamweka Jembe ulaya Tundu Lissu achuane naye, nitapata wakati mgumu sana kuamua, lakini mwisho wa siku Mch. Josephat Gwajima ataponzwa na u - CCM na atanisamehe tu...!!
 
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Mpka mwita
 
Hivi NEC - National Executive Council - CCM kwa kiswahili ndiyo Kamati Kuu [KK] ya CCM siyo?

Kama Mch. Josephat Gwajima kaingia huko, namwombea kwa Mungu wake aje kuwa mgombea Urais mwaka 2025...

Naahidi, sijawahi kumpa kura yangu mgombea yeyote wa CCM tangu nianze kupiga kura mwaka 2000 kwa ngazi zote udiwani hadi u - Rais..

Lakini akigombea Mch. Josephat Gwajima, nitampa ✓ kura yangu hukohuko akiwa CCM..

Hili naliahidi leo tarehe 8/12/2022✓✓✓✓✓

Lakini huko CHADEMA kama watamweka Jembe ulaya Tundu Lissu achuane naye, nitapata wakati mgumu sana kuamua, lakini mwisho wa siku Mch. Josephat Gwajima ataponzwa na u - CCM na atanisamehe tu...!!
Ana degree? Nasikia lazima uwe na shahada angalau moja
 
Hivi NEC - National Executive Council - CCM kwa kiswahili ndiyo Kamati Kuu [KK] ya CCM siyo?

Kama Mch. Josephat Gwajima kaingia huko, namwombea kwa Mungu wake aje kuwa mgombea Urais mwaka 2025...

Naahidi, sijawahi kumpa kura yangu mgombea yeyote wa CCM tangu nianze kupiga kura mwaka 2000 kwa ngazi zote udiwani hadi u - Rais..

Lakini akigombea Mch. Josephat Gwajima, nitampa ✓ kura yangu hukohuko akiwa CCM..

Hili naliahidi leo tarehe 8/12/2022✓✓✓✓✓

Lakini huko CHADEMA kama watamweka Jembe ulaya Tundu Lissu achuane naye, nitapata wakati mgumu sana kuamua, lakini mwisho wa siku Mch. Josephat Gwajima ataponzwa na u - CCM na atanisamehe tu...!!
Gwajima hawezi kuwa Rais hata mwaka 3000,,
Baada ya awamu ya sita,, kuna vijana, akina mwigulu, makonda, chongolo, etc,,
Hivyo ndoto zako sahau
 
Hivi NEC - National Executive Council - CCM kwa kiswahili ndiyo Kamati Kuu [KK] ya CCM siyo?

Kama Mch. Josephat Gwajima kaingia huko, namwombea kwa Mungu wake aje kuwa mgombea Urais mwaka 2025...

Naahidi, sijawahi kumpa kura yangu mgombea yeyote wa CCM tangu nianze kupiga kura mwaka 2000 kwa ngazi zote udiwani hadi u - Rais..

Lakini akigombea Mch. Josephat Gwajima, nitampa ✓ kura yangu hukohuko akiwa CCM..

Hili naliahidi leo tarehe 8/12/2022✓✓✓✓✓

Lakini huko CHADEMA kama watamweka Jembe ulaya Tundu Lissu achuane naye, nitapata wakati mgumu sana kuamua, lakini mwisho wa siku Mch. Josephat Gwajima ataponzwa na u - CCM na atanisamehe tu...!!
Una macho sana.

Ktk list hiyo mojawapo ndiye AJAYE baada ya 2026.

Tunza hiyo. Ameeeen.
 
Back
Top Bottom