Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Udaktari si jina ni either uwe MD,BVM au PhD...na kwa maana hio CO sio daktari
Nimekupa maana ya dokta kuwa ni mtu aliyequalify kutibu watu na maana nyingine ni mtu aliyefikia levo za chuo kikuu kama ambavyo unasema.

Nikakuambia kwamba kwa maana yako wewe sio sahihi kwa Co kujiita daktari kwa sababbu hana degree.

Lakini pia nikakuambia kwa maana ya doctor kuwa ni mtu anayetibu basi CO anastahiki kujiita daktari,hili hujaweza kuliponga kwa hoja bali unababaika tu daktari,nenda kwa hoja daktari.
 
Kama hujui tofauti ya medicine na clinical,sidhani kama wewe unaweza kua sio CO
Nimekuhoji maswali unatakiwa ujibu hapa ili kutetea hoja zako,hakuna sehemu nimesema mimi ni CO au MD

hapa unazungumza na mwana JF huru katika mjadala,natafuta uhalisia wa mambo sipo hapa kukariri bali kuelewa.

Jibu maswali nilizokuuliza alafu ndio tuendelee kinyume na hapo utakuwa huna hoja daktari.
 
Mtu hawezi kuwa daktari sababu anamsaidia MD,BVM na PhD.
Mtu anakuwa daktari pia kwa kule kuqualify kwake kutibu watu na hii ni maana ambayo huwezi kupinga,na hii ndio maana ya udaktari ambayo mpaka CO anahaki ya kuitwa daktari.

Mpaka sasa hujaleta hoja yoyote inayomtoa CO katika kutibu watu.


Kwa maana hiyo umeshindwa kutetea hpja yako na msingi utabaki pale pale kwamba CO ni daktari kwa kutibu na sio daktari kwa kufika levo za shahada
 
Udaktari si jina ni either uwe MD,BVM au PhD...na kwa maana hio CO sio daktari
Hivi MCT wana ukichwaa kama wewe kuweka hizo faculty sawa kwenye ishu ya tasnia?

Mimi mchangiaji huru si MD, wala CO
 
Nimekujibu poa tu.....kua CO sio daktari,ama?
Tunaitwa Madaktari na tunaitika vizuri tu na huna kitu unaweza Fanya, sisi ndo tunaongoza Zahanati na kila kitu kinaenda sawia kabisa, vifo vingi vipo mijini ambako nyie MD mpo na vijijini vifo vinazid kupungua ndo sisi tupo huku sasa, MD za Ajuko na St Francis ndo mtutishie sisi? Nenda huko Wew, MD kitu gani siku hizi, mmejazana dispensary binafsi mnalipwa laki 3-5, ukiwa specialist siku hizi ndo Daktari, MD kawaida Sana wala usipandishe mabega, labda km ukoo wenu upo peke yako ndo uende ukawatishie huko sio kuvimba kwenye mitandao hasa JF kisa MD, acha ulimbukeni.
 
Tunaitwa Madaktari na tunaitika vizuri tu na huna kitu unaweza Fanya, sisi ndo tunaongoza Zahanati na kila kitu kinaenda sawia kabisa, vifo vingi vipo mijini ambako nyie MD mpo na vijijini vifo vinazid kupungua ndo sisi tupo huku sasa, MD za Ajuko na St Francis ndo mtutishie sisi? Nenda huko Wew, MD kitu gani siku hizi, mmejazana dispensary binafsi mnalipwa laki 3-5, ukiwa specialist siku hizi ndo Daktari, MD kawaida Sana wala usipandishe mabega, labda km ukoo wenu upo peke yako ndo uende ukawatishie huko sio kuvimba kwenye mitandao hasa JF kisa MD, acha ulimbukeni.
umeongea kwa machungu sana mganga ,pole
ila ujue tu we sio daktari
 
Tunaitwa Madaktari na tunaitika vizuri tu na huna kitu unaweza Fanya, sisi ndo tunaongoza Zahanati na kila kitu kinaenda sawia kabisa, vifo vingi vipo mijini ambako nyie MD mpo na vijijini vifo vinazid kupungua ndo sisi tupo huku sasa, MD za Ajuko na St Francis ndo mtutishie sisi? Nenda huko Wew, MD kitu gani siku hizi, mmejazana dispensary binafsi mnalipwa laki 3-5, ukiwa specialist siku hizi ndo Daktari, MD kawaida Sana wala usipandishe mabega, labda km ukoo wenu upo peke yako ndo uende ukawatishie huko sio kuvimba kwenye mitandao hasa JF kisa MD, acha ulimbukeni.

Umepiga kwenye mshono......
 
mimi sio MD wala CO.. kuna profesa mmoja anasemaga MD ni walosoma muhas,cuhas na kcmc basi
..wengine ni COs waliochangamka ..narudia MD=General Practitioner GP hana tofaut na CO kazi yao ni kuandika rufaa kwenda kwa specialist... ukitaka ukuu.. MD piga specialization
 
umeongea kwa machungu sana mganga ,pole
ila ujue tu we sio daktari
Sawa, Najua. Uchungu wa nin? Nipo huku kijijin I/C wa dispensary, naletewa kuku na mahindi na wanakijiji wangu, nimewekewa pesa ya kutosha kwenye acc ya zahanat na serikali yangu pendwa, mimi kazi yangu ni kutumia pesa kuleta tija kt afya za wanakijiji hawa wa Tanzania. I'm happy to be a Clinical Officer na kufany kazi na hawa wanakijiji, by the way wananiita Daktari, vp MD wangu niwazuie?? Maana ni km unateseka hivi
 
umeongea kwa machungu sana mganga ,pole
ila ujue tu we sio daktari
Sawa, Najua. Uchungu wa nin? Nipo huku kijijin I/C wa dispensary, naletewa kuku na mahindi na wanakijiji wangu, nimewekewa pesa ya kutosha kwenye acc ya zahanat na serikali yangu pendwa, mimi kazi yangu ni kutumia pesa kuleta tija kt afya za wanakijiji hawa wa Tanzania. I'm happy to be a Clinical Officer na kufany kazi na hawa wanakijiji, by the way wananiita Daktari, vp MD wangu niwazuie?? Maana ni km unateseka hivi
 
Sawa, Najua. Uchungu wa nin? Nipo huku kijijin I/C wa dispensary, naletewa kuku na mahindi na wanakijiji wangu, nimewekewa pesa ya kutosha kwenye acc ya zahanat na serikali yangu pendwa, mimi kazi yangu ni kutumia pesa kuleta tija kt afya za wanakijiji hawa wa Tanzania. I'm happy to be a Clinical Officer na kufany kazi na hawa wanakijiji, by the way wananiita Daktari, vp MD wangu niwazuie?? Maana ni km unateseka hivi
waganga bwana , yani unajisifia kua Incharge wa dispensary yenye chumba na sebule
Piga kazi ndugu ndo uwezo wako unaishia huko , huku kwingine tuachie sisi
 
umeongea kwa machungu sana mganga ,pole
ila ujue tu we sio daktari
Tunaitwa Madaktari na tunaitika vizuri tu na huna kitu unaweza Fanya, sisi ndo tunaongoza Zahanati na kila kitu kinaenda sawia kabisa, vifo vingi vipo mijini ambako nyie MD mpo na vijijini vifo vinazid kupungua ndo sisi tupo huku sasa, MD za Ajuko na St Francis ndo mtutishie sisi? Nenda huko Wew, MD kitu gani siku hizi, mmejazana dispensary binafsi mnalipwa laki 3-5, ukiwa specialist siku hizi ndo Daktari, MD kawaida Sana wala usipandishe mabega, labda km ukoo wenu upo peke yako ndo uende ukawatishie huko sio kuvimba kwenye mitandao hasa JF kisa MD, acha ulimbukeni.
Haha sawa daktari
 
Mtu hawezi kuwa daktari sababu anamsaidia MD,BVM na PhD.........hizo mtu husomea chuo au hupewa kwa heshima[emoji16][emoji38][emoji205][emoji205][emoji205]
Kwa maana hii naweza kuwa MD kwa heshima ? kwa mujibu wako ? Bainisha hapa ni kipi hutolewa kwa heshima bila kupita darasani na ni kipi ni lazima upite darasani ndipo upewe ?.
 
Tutawaita Madaktari kwa heshima atake asitake 😁😁😁. Maana wanatutibia Bibi zetu, Mama zetu na Babu zetu huko vijijini. Hivo basi hawa maCO tuwaongezee Udaktari wa heshima pembeni. Mbali na ule udaktari tunaowaita mtaani 😁😁😁.
Disclaimer: Ukikaza Ubongo sana hapa hautaelewa. Ukiwa serious sana katika hili Utaumwa Mkazo bure tu. Kama kweli ni mgonjwa unaumwa sidhani kama utapata hata muda wa kuuliza qualifications kwamba anayekutibu ni CO/MD/PhD.

Na sisi tunasema CO ni madaktari na tunaendelea kuwaita huku mtaani mana wanatutibia vizuri wee endelea kuwaonea dongo[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom