Nilishukuru Mungu kuiotea option ya Additional kipindi nilipokuwa O- level, la sivyo Advanced Mathematics, Physics na Upande wa Chemistry kwenye baadhi ga Derivation ningedhalilika.Alafu mgote ile projectile yake kama hujui trig vizuri uwezi toboa..
Ndo mana wana wa kusoma biology walikua wanahenyeka sana na yale maswala ya prove (#:$&-$-$-37#) is Time of flight....
Alafu unakutana na parabolic equation ya mgote zipo zaidi ya saba ππππππππ
Ndo maana nakupendaga kwa kumwaga nondo.Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.
Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.
Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
braza unajua kuwa hu mwaka dv1 na dv2 hazikufika hata elfu5?Kuanzia 2010 ndio balaa lilipoanzia hapo 2013 kidogo machungu walikua wamepunguziwa kwa hio matokeo hayakua mabaya kivile ila 2010-2012 angalia matokeo ya form 6 utadata
Nipo standard 7 failure mmoja hapa anajibu comment kwa kuwaita wenzie vilaza wakati yeye hata form 1 anaisikia kwenye bomba la kutolea mvuke wa chooniDaah mlikuwa vilaza aisee.
Hii paper si kama ya history tu!Hii ni paper ya Physics ya mwaka 2012
Foo kama mshangazi wangu πππππππππUlipata DIVISHENI ngapi?
Umeniangusha sana yaani hata SPHERE OF VOLUME umeshindwa?Foo kama mshangazi wangu πππππππππ
Vipi certificate ya Home cooking and husband care inaendeleaje hapo CUcoM?Hakuna mtihani mgumu nyie mlikosa rasilimali wakati wenu.
Sema ndo hivyo mnapenda kujilinganisha na wa sasa ili mjisikie vizuri kuhusu hali zenu.
Halikuwa kosa lenu, uwezeshaji wa elimu nchini kwenu ulikuwa mbovu, hata mpaka sasa kwenye shule za serikali.
Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...Nilishukuru Mungu kuiotea option ya Additional kipindi nilipokuwa O- level, la sivyo Advanced Mathematics, Physics na Upande wa Chemistry kwenye baadhi ga Derivation ningedhalilika.
Mnaanza ku-derive mapema sana mwalimu anakuambia hii (1 +x)^-2 tunaweza kui-expand vizuri tu!
Japo Additional ilikuwa ikitunyoosha lakini ilinisaidia sana advance
SawaChai
Weeeh ile haiishii pale ....Umeniangusha sana yaani hata SPHERE OF VOLUME umeshindwa?
BravoooAsilimia kubwa tuliomaliza mwaka huo tumetusua mtaani
Hii ni ukweli mkuu wala sio uwongo asilimia kubwa wametusua aiseeeAsilimia kubwa tuliomaliza mwaka huo tumetusua mtaani
Nakumbuka miaka yetu ni vitabu tu , past papers ni kwa manati sana ila mtu bado unapasua tu.Nipo standard 7 failure mmoja hapa anajibu comment kwa kuwaita wenzie vilaza wakati yeye hata form 1 anaisikia kwenye bomba la kutolea mvuke wa chooni
Kuna kijana alinifuata nimuelekeze Topic ya Differentiation, tupo mwanzoni kabisa katika kufanya maswali ya First principle ikafika sehemu ya kutafuta f'(x) ya equation hii f(x)=sin x, tumeenda nikamuambia bwana hee, tukifika hapa tutatumia concept ya small angle...alibaki ananotazama tu..maskini kijana hata Trig hakuwa amesoma, ndio kwanza alikuwa ana miezi 3 tangu ajiunge na Advance.Oaa kuna hii moja unaikuta kwenye heat na gravitation...
Kuna mzigo unashuka alafu unafika sehemu inabidi u expand by nini sijuiii kmmke oaa weee mi nilikua selewi an
Nilikua nasema siku wakitoa swali la derivation watajua wenyewe .
Na derivation za hovyo zipo kwa ile topic ya rigid body..
Chem... Na bios mi ilikua kama mishangazi tuu nilikua naipiga mpaka naipanda kabisa... Hili atakuja kusema zaidi DIVISHENI FOO
Ila physics kila siku ilikua inataka kunizalilizsha bila ya kukaza aaaah ππππ
ππππ Mimi kusema kweli nilisoma phys for funny tuuu...Kuna kijana alinifuata nimuelekeze Topic ya Differentiation, tupo mwanzoni kabisa katika kufanya maswali ya First principle ikafika sehemu ya kutafuta f'(x) ya equation hii f(x)=sin x, tumeenda nikamuambia bwana hee, tukifika hapa tutatumia concept ya small angle...alibaki ananotazama tu..maskini kijana hata Trig hakuwa amesoma, ndio kwanza alikuwa ana miezi 3 tangu ajiunge na Advance.
Elimu ya Advance kwenye hizi PCM, PGM, na PCB mambo yapo inter-woven, unatumia concept ya Math ya mbele huko na hapo ndo unaanza kusoma Physics au Chemistry mapema sana.
No hatukurudia ni matokeo ndo yalikuja version two.Mabroo ndo mlirudiaga paper? Naona sekii hapo ππ mliburuza kweli kweli sasa vipi ka lemara, sinoni, kaloleni?
Naskia mlipewa option lakini ya kurudia paper? Au ni tetesi tu?
Hapo unakutana na mdau wako ambaye anakuambia "Hii Roger Muncaster nimemaliza, nikimaliza T.Duncan mwezi wa tatu naamia kwenye Nelkon", unajicheki unakuja kugundua wewe ni ng'oππππ Mimi kusema kweli nilisoma phys for funny tuuu...
Nilikua nikishika dancan angu safi nachek mapicha picha..
Ukija maswali mi yangu ya conceptual tuu napita hv..
Hizo trig na differ wala skusumbuka nazo mi nilikua na vipengere vyangu...
Ile life acha tuu aiseeee π π π π
Bard la njombe lile unaweza sema unaonewa hvi dadek