Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .


Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda

Happy birthday mama


USSRView attachment 2886197

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Yeye alipata Division Gani Form four?
 
Nilikuwa moja ya shule za hapo mjini Tabora nikiwa mbele yako mwaka mmoja.
Tabu kabisa! Utanipandisha presha. Ulikuwa wapi: Uyui, Kazima au Milambo. Rafiki yangu mmoja aliyekuwa Milambo wakati huo alishafariki akiwa hakimu Mkazi ila alikuwa na potential ya kuwa jaji. Marafiki zangu wa Kazima na Uyui walikuwa na wa kupiga starehe zaidi ya shule.
 
Tabu kabisa! Utanipandisha presha. Ulikuwa wapi: Uyui, Kazima au Milambo. Rafiki yangu mmoja aliyekuwa Milambo wakati huo alishafariki akiwa hakimu Mkazi ila alikuwa na potential ya kuwa jaji. Marafiki zangu wa Kazima na Uyui walikuwa na wa kupiga starehe zaidi ya shule.
Nilikuwa Uyui kwa bwana Patel.
 
Tabora boys ni shule ya vipaji maalumu leadership school ukiingia Tabora boys sio lelemama shule zote vipaji maalumu waweza enda ila kwenda Tabora boys unatakiwa kuwa na akili hasa sio utani sababu ni leadership school

Selection ya mtoto kujiunga na Tabora boys sio ya kitoto
Viongozi waliotoka Tabora boys ni kama wakina nani?
 
Viongozi waliotoka Tabora boys ni kama wakina nani?
Julius K Nyerere, Rashid M. Kawawa, Charles Makongoro Nyerere, Jenerali Ulimwengu, Lt Gen Yakubu Mohammed. ........
 
Kwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
Kuna mwanangu mzenji tulikua mishe mishe akaniomba niangalie matokeo ya mwanae huko Zenji salaleee dogo kala mswaki full ziro ziro hana hata d moja cha ajabu yule jamaa wala hakustuka sanaa akaendelea tu na mambo yake
 
Haya mambo tunayaanzaga wenyewe, halafu wahusika ‘wakifix’ tuanze kulalamika kama enzi zile Chato kuwa kinara.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
huu uzembe wanafunzi 31 unafelisha wote....hatua kali zichukuliwe
 
..anaweza ku-fix hilo tatizo lakini sio kufanya kufuru kama alivyokuwa akifanya Magufuli.

..lakini ni aibu kwa shule hiyo kuwa na matokeo mabaya wakati Samia amekuwa kwenye uongozi muda mrefu.

..hapo ndipo utakapojua kwamba viongozi wetu hawana uchungu na wananchi wao.
Uchungu kila mtu awe nao kwa familia yake.

Kama unasubiri mwanasiasa ajali familia yako utasubiri mpaka kiama.
 
Uchungu kila mtu awe nao kwa familia yake.

Kama unasubiri mwanasiasa ajali familia yako utasubiri mpaka kiama.

..hawa viongozi wameshamaliza uchungu wa familia zao. Wana kila sababu ya kumaliza machungu ya waliowachagua.
 
Back
Top Bottom