Matokeo ya Uhuru kuzidi sana ni ujeuri

Matokeo ya Uhuru kuzidi sana ni ujeuri

Kama Kuna changamoto tushauri kistaarabu sio kejeli na majina ya hovyo hovyo

CCM imefanyiwa ustaarabu toka uhuru lakini malipo yake ni ufisadi na dharau. Bora Raia wameacha ustaarabu ili waheshimiwe.
 
Kama Kuna changamoto tushauri kistaarabu sio kejeli na majina ya hovyo hovyo

Yani mtu anakuibia halafu umshauri kistaarabu. Mimi mshahara wanting nakatwa paye asilimia 30 na TRA lakini Tena napigwa tozo 120,000 kila mwezi nikimbilie wapi?. Halafu anaibuka chawa na kutetea ujinga ili apate cheo.
 
Mimi CCM damu damu, ila Rais Samia anachukiwa kuzidi hata Dkt Kikwete. Yaani sasa hivi Rais Samia kila hotuba yake watanzania wanasonya. Yaani hili la tozo ni baya ila kuna baya zaidi la chanjo ya COVID-19 ambayo mijini wameogopa wameenda kuwatishia watu vijijini na watu wengi sana wamekufa huko vijijini tangu aanzishe kampeni yake ya chanjo. Inakuwa hivi, watu wa vijijini ni elimu duni, wahudumu wa afya wanakataa kuwapa huduma yeyote bila chanjo, hivyo wengine wanaogopa chanjo mtu anaona bora afe, wengine inabidi wachanje na hatujui madhara yake. Hivyo Rais Samia hilo nalo alijue kuwa chuki iliyopo juu yake ni mbaya sana ktk nchi hii haijawahi tokea maana yeye ndiye kazitafuta. Mfano hili
la chanjo mbona Dkt Magufuli alikuwa keshatuambia yeye alipaswa kufuata nyendo zake. Ila kwa sasa yaani ni ngumu sana Rais Samia kupata kura 2025 na kibaya sana anawadharau watu wa kanda ya ziwa na kuwabeza kwa kuonesha Dkt Magufuli alikuwa hapendwi. Asichokijua Rais Samia kuwa kanda ya ziwa siyo wana harakati na siku zote maamuzi yao huwa ya chinichini.

Huyo magufuli angekuwa anapendwa kama unavyohadaa hapa angechezea uchaguzi? Magufuli ndio rais aliyekuwa anachukiwa zaidi, na ushahidi ni idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura, hadi ikabidi apike idadi ya wapiga kura.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT

Watanzania ni watu wakulalamika Kila kitu. Hawana jema Wala shukrani kwa kweli.

Ninasikitishwa sana na matusi, kejeli na majina ya hovyo hovyo anayopewa AMIRI JESHI MKUU, Rais na Mama yetu mpendwa SAMIA hasa hili jina la kipuuzi kabisa HETI mama TOZO mara nchi yetu imepachikwa TOZONIA hawa wapuuzi wanaudhi sana.

Nimeamini Watanzania wachache hasa wajiitao upinzani wanautumia uhuru wao vibaya.

Ukiacha urais mama SAMIA ni Mtanzania anayepaswa kuheshimiwa kama Mtanzania mwingine, kumkejeli na kumtukana hovyo si sawa kabisa.

Mama SAMIA ni nguli na jabali la siasa Tanzania na AFRIKA nina amini kejeli matusi na Majina haya ya hovyo hayawezi kusababisha ashindwe kuwatumikia na kuwaletea maendeleo Watanzania, atawapuuza Wapuuzi hao.

lkn Hoja yangu ni kwamba kwa nini Watanzania baadhi yetu tunashindwa kuheshimiana tukipewa uhuru tunageuka watukanaji, waasi, na wasioheshimuna kujali utu wa wengine.

Kumbukeni uhuru ni Bora kuliko tozo ni lazima tujitolee kuijenga Tanzania yetu.

Pia tunakupongeza sana mama HATUA ZOTE zinazohusu mchakato wa SENSAYA WATU NA MAKAZI zinaendelea vizuri sana wananchi wako tayari kuhesabiwa.
ishu ni je?tozo zinatumika vzr???
 
Huyo magufuli angekuwa anapendwa kama unavyohadaa hapa angechezea uchaguzi? Magufuli ndio rais aliyekuwa anachukiwa zaidi, na ushahidi ni idadi ndogo ya watu waliojitokeza kupiga kura, hadi ikabidi apike idadi ya wapiga kura.
Uchaguzi ulichezewa kwa wabunge ila kura za Rais hazikuwa na shida. Ni sawa na uchaguzi wa 2005, Kikwete alipendwa mno ila wabunge wengi walianguka.
 
Hii nchi uhuru umezidi sasa.
Screenshot_20220822-114733.jpg
 
Acha kutumia uhuru vibaya mkuu ukuku wake Nini Sasa, maana hats Mimi sipendi kabisa kuitana Majina ya kuudhi
Pole sana. lakini NAWE watakiwa kuacha kutetea ujinga uaoharibu maisha ya waTz. Anayoendelea kututendea Mama hayastahili kwa binadamu. Maisha bora kwa kila mtanzania ni haki ya kila mtanzania kuipata HAPAHAPA Tanzania. KAWAAMBIE hao matozoman wenzio waache kutuambia eti tuhamie Burundi. .
 
Nawasalimu kwa jina la JMT
Watanzania ni watu wakulalamika Kila kitu. Hawana jema Wala shukrani kwa kweli.

Ninasikitishwa sana na matusi, kejeli na majina ya hovyo hovyo anayopewa AMIRI JESHI MKUU, Rais na Mama yetu mpendwa SAMIA hasa hili jina la kipuuzi kabisa HETI mama TOZO mara nchi yetu imepachikwa TOZONIA hawa wapuuzi wanaudhi sana.

Nimeamini watanzania wachache hasa wajiitao upinzani wanautumia uhuru wao vibaya.
Ukiacha urais mama SAMIA ni mtanzania anayepaswa kuheshimiwa kama mtanzania mwingine, kumkejeli na kumtukana hovyo si sawa kabisa.
Mama SAMIA ni nguli na jabali la siasa Tanzania na AFRIKA nina amini kejeli matusi na Majina haya ya hovyo hayawezi kusababisha ashindwe kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watanzania, atawapuuza Wapuuzi hao.
lkn Hoja yangu ni kwamba kwa Nini watanzania baadhi yetu tunashindwa kuheshimiana tukipewa uhuru tunageuka watukanaji, waasi, na wasioheshimuna kujali utu wa wengine.

Kumbukeni uhuru ni Bora kuliko tozo ni lazima tujitolee kuijenga Tanzania yetu.

Pia tunakupongeza sana mama HATUA ZOTE zinazohusu mchakato wa SENSAYA WATU NA MAKAZI zinaendelea vizuri sana wananchi wako tayari kuhesabiwa.
Mkuu ukiona anayekukimbiza anaanza kumwaga matusi basi ujue ameshashindwa mbio, we ongeza spidi tu. Mama analijua hilo ndo maana anajipigia mwendo tu.....naamini baada ya muda, kama uhai upo, haswa wa hawa wamchukiao kwa sababu zao za kishetani, watapiga magoti kuomba msamaha kwz Mungu.

Ni agenda yao kuu ya kumdhalilisha waliyonayo tangu mwanzo, inapitia tu vipindi tofauti. Hatua iliyofikia sasa ya matusi ni kipindi cha mwisho kabla hawajashukuru kuwa nae. Nikupitishe kidogo;
1. Ye ni remote tu, kiongozi ni JK,
2. Anavaa maushungi tu kama yupo uswahilini (wakiiattack imani yake),
3. Hakuna mradi wowote atakaoukamilisha aliouanzisha JPM (imemshinda),..
4. (Alipoikamilisha baadhi) Kwani yeye ameanzisha miradi gani mipya mbona anatembea na ile ile ya JPM?!!!!
5. Anachagua Waislamu wenzake tu,..
6. Anaipendelea Zanzibar tu,...
7. Mali anawapa wajomba zake wa Oman,...
8. Anapambana na JPM badala ya maendeleo ya nchi,....
9. Hawapendi wateule wa JPM,....
10. JNHP power imemshinda, haiwezi.....haiendelezwi (kabla hatujaonyeshwa ukweli wa kinachoendelea kuwa 67% tayari),..
11. Anasafiri nje tu hapa kwetu atasafiri lini?!!!,
12. (Alipofanya ziara ya ndani) Anazunguka tu ndani humu badala ya kuwaacha wasaidizi wake wafanye kazi hiyo ya kuzunguka humu ndani
13. N.k....

Relax tu mkuu, ndo wameumbwa hivyo!!

Kiufupi sijapata kuona raisi aliyepata shida ya mashambulizi kama huyu. Lakini pia, ni Mama mmoja jasiri sana......tena jembe haswa ndo maana vidume vipo nyuma ya keyboard humu vinatukanatukana tu kama hatua yao ya mwisho baada ya kushindwa kumzuia asiingie ikulu n.k.
 
Uchaguzi ulichezewa kwa wabunge ila kura za Rais hazikuwa na shida. Ni sawa na uchaguzi wa 2005, Kikwete alipendwa mno ila wabunge wengi walianguka.

Kwa taarifa yako wapiga kura hawakufika 10m, ila yeye alitangazwa kwa kura 12m+, hapo unatoa wapi nguvu ya kusema kuwa uchaguzi wa urais haukuchezewa? Kama aliweza kuchezea wa wabunge, angeshindwa nini kuchezea za urais?
 
Uchaguzi ulichezewa kwa wabunge ila kura za Rais hazikuwa na shida. Ni sawa na uchaguzi wa 2005, Kikwete alipendwa mno ila wabunge wengi walianguka.
Hiv hii ilikuwaga ni editing ?
1661157729374.png
 
Back
Top Bottom