Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Matrillioni ya pesa yanayokusanywa na makampuni ya Bima kupitia mawakala wao ni za serikali au ni za nani?

Kodi hii ikianza kuwasilishwa serikalini itatusaidia kuacha kukopa kama mataahira
 
 
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
1664170411570.jpg
 
Kodi hii ikianza kuwasilishwa serikalini itatusaidia kuacha kukopa kama mataahira
Kwa hili nakuunga mkono mkuu, unapolipia bima yoyote ile ni Kwa faida yako wewe mlipa bima pamoja na kampuni ya bima,Tena kwa makubaliano sio kulazimishana, unapolazimishwa kulipa bima tayari hiyo ni Kodi kama tunavyolazimishwa kulipa Kodi nyingine

Vinginevyo Hali ikiendelea hivi tutugundua Kuna mkono wa vigogo wakubwa wa serikali kwenye haya makampuni ya bima,
 
Kwa hili nakuunga mkono mkuu, unapolipia bima yoyote ile ni Kwa faida yako wewe mlipa bima pamoja na kampuni ya bima,Tena kwa makubaliano sio kulazimishana, unapolazimishwa kulipa bima tayari hiyo ni Kodi kama tunavyolazimishwa kulipa Kodi nyingine

Vinginevyo Hali ikiendelea hivi tutugundua Kuna mkono wa vigogo wakubwa wa serikali kwenye haya makampuni ya bima,
Exactly, hii kodi ya ‘thirdparty’ kuna vigogo kama akija Joseph Mungai ndio wamekamata hapo, wanavuna tu wasichopanda, hii ni kodi ya serikali na ifikishwe serikalini!
 
 
Sasa kwanini serikali ishurutishe raia kuchangia watu binafsi matrilion kila mwaka ilihali yenyewe inakosa hata pesa ya kuboresha miundombinu ya barabara?

Ni kwanini hii pesa ya bima isiende serikalini ili ikasaidie kuboresha huduma za kijamii, na kama mtu akihitaji kulipwa bima afuatilie moja kwa moja serikalini kupitia mawakala wa bima waliopo kila kona? Kwanini tulazimishwe na polisi kuchangia watu binafsi matrilioni kila mwaka?! Why?! Trillion 3 kila mwaka tunalizimishwa kuwalipa, kwnai nchi yao hii?
Kwani bima inalipwa kwa lengo la kuboresha miundo mbinu ?
 
Kwani bima inalipwa kwa lengo la kuboresha miundo mbinu ?
Miundo mbinu ni mfano tu, ila hoja ni kwamba kwanini pesa ambayo tunashurutishwa kulipa na matrafiki polosi iende mifukoni mwa watu binafsi badala ya kupelekwa serikalini, na hao wakusanyaji wapewe comission tu kwa kazi yao ya kukusanya kodi ya serikali? Na kama thirdparty atakuwa na madai basi atalipwa na serikali kwa kupitia shirika la bima la taifa. Eitherway, thirdparty wanaodai ni wachache sana ukilinganisha na pesa inayokusanywa, hivyo hii ni kama kodi tu, na inapaswa kuwasilishwa serikalini kama kodi zingine.
 
Serikali haiwezi kufanya biashara na haina ubavu wa kuhudumia aina zote za bima kwa watu wote.

Bima ni biashara kama zingine ambazo faida lazima iwe inaonekana.

Kulazimisha kukata bima ni kukukinga wewe na hasara ya majanga usiyotegemea.

Sawa na vile unalazimishwa kufunga mkanda kwenye gari, kufuata sheria zote za barabarani.

Serikali inafaidika vile hamfi hovyo.
Bima ya 3rd party wanalipa client anapopata ajali?
 
 
 
Hii kodi ya third party watu wanajichotea tu, kodi halali kabisa ya serikali hii
 
Back
Top Bottom