Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Hizi ni tabia za KiTanzania, maneno mengi, kwenye uwanja wa mapambano uone mtu.Halafu cha kushangaza huo umati wote wanamuangalia tu, hakuna anayemsaidia tena. Alijua sijui wenzake wataingilia
Za mwaka gani hizi mbona zingine ni za uongo Zanzibar hakuna Maghorofa ya namna hiyo hata gari plate namba zake mbona siyo!?View attachment 1612694
Video ikionyesha wananchi wakiwarushia mawe askari visiwani Zanzibar
View attachment 1612678
Video ikiwaonyesha askari wakimshushia kipigo mwananchi kwa madai ya kuwarushia maneno
Unauliza hirizi Tanga?Hilo la kusababisha watu wafe ndio sababu ya kuwa Ccm huwa haishindi uchaguzi.?
Jiandae kuchukua haki baada ya Tar 28."HAKI huchukuliwa HAKI huwa haiombwi" Sheikh Ponda
CCM huwa wanashinda ila Maaalim huwa hakubali matokeo.Unauliza hirizi Tanga?
Wakati tunamg'oa Amini hao walikuwa Watoto na wasifikiri kuwageuzia hizo zana kwa Ndugu zao.Jiandae kuchukua haki baada ya tar28.View attachment 1612964View attachment 1612964
Vifaru vya nini sasaCcm huwa wanashinda ila Maaalim huwa hakubali matokeo.
Vyombo vya ulinzi na usalama kazini.Vifaru vya nini sasa
Uza ubongo huo maana unaumiliki kwa hasara.Ccm huwa wanashinda ila Maaalim huwa hakubali matokeo.
Visiwe vyombo vinavyomtumikia mtu ambae hakubalikiVyombo vya ulinzi na usalama kazini.
Acha hasira, ushahidi utaupata baada ya tar28Uza ubongo huo maana unaumiliki kwa hasara.
Hakubaliki watu wangejipanga barabarani kuanzia Babati mpaka Chamwino wanamsubiri?Visiwe vyombo vinavyomtumikia mtu ambae hakubaliki
Safi sana, wananchi wamechoka utawala wa kiraia wanataka masultan warudi kuwatawala na kuwanyanyasa tena huku wakiwakata mapanga na kuwatoa mautumbo wazanzibari. Subirini tu, ipo siku mtakuja vuna mnachopanda.View attachment 1612694
Video ikionyesha wananchi wakiwarushia mawe askari visiwani Zanzibar...
Tokea lini mlevi ameokoka na kuanza kuombea taifa letu?Kamanda Mbowe aliombea Taifa hili lililoangamizwa na Magufuli
Breweries ndio mlipaji kodi mkubwa wa pato la Taifa kama vipi ifungeniTokea lini mlevi ameokoka na kuanza kuombea taifa letu?
Ni ujinga na upumbafu kuwatukana wanajeshi wanaokulinda, waliwalinda wazazi wako wakati wanakutafuta kutoka kwenye maungo yao...
Sio kwa kura.Acha hasira,ushahidi utaupata baada ya tar28