Matukio ya kufurahisha ya Walevi wa Pombe!

hutaki kunitafuta jaman
najiuliza nimekukosa nini hata sipati majibu

nitafute basi bby wangu
Itabidi tutafutane love, fanya kunisogezea zile namba tena mwaya mana mpaka najistukia mwenzio lol
 
Tatizo umezidi uchoyo we mwanamke unataka vitamu ule peke yako... Na sikuhizi hakuna wa peke ako wacha roho mbaya uende mbinguni
duuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?
 
duuuh kwa pale nisamehe tu jaman siwez kushare, nikihis tu naibiwa mm napata kama malaria nikienda kupima niko fresh kila sekta. sasa najiuliza nikija jua kabisa kuna kitu nitakuwa salama kweli?
Ha haa, haya basi nielekeze alipo nikamsalimie tu, naahidi hata nikidokoa nitafuta mdomo wala hutojua kabisa
 


mm ht unibembeleze vp sitakunywa tena magic moment!ila una kichwa cha panzi !niliwah kunywa magic moment sikumbuk kbs nilifikaje hom!nakumbuka nilifikia room kulala !iko siku ntamuask dada wa kazi aisee ile kitu SIO!POLE SANA!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] CHAMDEKOOOOO.... Hujatulia wallah
Teh mtulize mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…