DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kama ulichoandika ni kweli na ukaendelea hivyo kwa muda mrefu, lazima utakuwa tajiri...Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,
Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.
Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Ndio naanza kuapply, mwezi huu nafanya research kati ya kupika na kula hotelini kwa mtu mmoja gharama yake ikoje?Njia nzuri ya kusave hela nunua kila kitu uweke ndani ,
Kaa mbali na wanawake, pombe
Kula vizuri Fanya mazoezi
Toa sadaka kwa wazazi Kama wapo
Tafuta passive income Kama kununua na kuuza hasa siku za weekend
Kuhusu bajeti yangu kwa siku huwa haitabiriki ila Mara nyingi siwezi kuzidi 50k maana sina familia.
Kitu kingine ukinunua chakula ukaweka ndani inasaidia Sana hasa kwa vijana tunaojiafuta maana chakula kinaleta utulivu wa kukufanya uwaze mambo mengine positive na sio kila siku kuwaza chakula.
usiusingizie mkoa wewe ndo umeamua kuishi hivyoKodi kwa mwezi nalipa 300k ingawa nahamisha kodi ya nyumba yangu ya Dar naweka huku.
Sijawahi kwenda club mzee, palinishinda watu wanatumia pesa kama hakuna kesho.Kama ulichoandika ni kweli na ukaendelea hivyo kwa muda mrefu, lazima utakuwa tajiri...
Maana hujasema hela unayotumia bar, au ile unayovihonga vitoto vya uswahilini kule kawe Ukwamani.
Kikubwa ni kutengeneza utulivu.Ndio naanza kuapply, mwezi huu nafanya research kati ya kupika na kula hotelini kwa mtu mmoja gharama yake ikoje?
Safi sana.Kikubwa ni kutengeneza utulivu.
Kodi
Chakula
Sadaka
Hivi vitu vitatu ukiviweka sawa , utaongeza Sana utulivu wa kuwaza kwa kina.
Safi sana mwamba, hakunaga faida kule.Sijawahi kwenda club mzee, palinishinda watu wanatumia pesa kama hakuna kesho.
Mimi ni fukara jamaa yangu lakini wewe inabidi wadau wakusaidie, unaweza kukauka.Matamizi yangu
Nauri kwenda na kurudi 1500 Tzs
Asubui sili
Mahana nakula 500 Tzs
Usiku nakula 1000 Tzs au Nadundia
Bando 300 Tzs (1000 siku tatu)
Jumla 3500 Tzs au 2500 Tzs
NB: mwenye connection ya kazi ofisi aniunganishe maana haya sio matumizi kabisa nakonda nabaki mifupa
Kwa Arusha nyumba nzuri hua za hizo bei mkuu, tofauti na huko changanyikeniusiusingizie mkoa wewe ndo umeamua kuishi hivyo
arusha sio ghali kiasi hicho
labda kama ana familiaKwa Arusha nyumba nzuri hua za hizo bei mkuu, tofauti na huko changanyikeni
Wewe ni mlalahoi tu. Hujafikia kuwa mlalahai.Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,
Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.
Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Shukurani aisee, nawapenda watu kama nyie kwa ajili ya kuchochea hali iliyopo moyoni mwangu.Wewe ni mlalahoi tu. Hujafikia kuwa mlalahai.
Kaza buti.
Migebuka hiyo!Upo kigoma?
Nipunguze nini mkuu, na niongeze nini? Kwa salary hiyo inabidi nisave shingapi?Kwa maoni yangu ni una matumizi mabovu na mengi yasiyo ya lazima na kwa hayo maelezo hapo, ni dhahiri mengi umeyaficha!!
Mshahara wa 500k unatumia 10k per day aisee, shukuru Mungu kamnyweso hutumii
Wacha tu mtu unaweza kufuru MunguMimi ni fukara jamaa yangu lakini wewe inabidi wadau wakusaidie, unaweza kukauka.
Nimefurahi kuona nyumba unayopanga hamlipii umeme wala maji,Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,
Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.
Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.