Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

Mauaji ya Karume 1972: Je, muuaji aliwahi kukamatwa na kushitakiwa?

Ila hii isiwe kama sbb ya ku back up kuhusu Lissu kupigwa risasi, na kujenga sbb za kijinga kusema hata waliompiga Lissu wanaweza wasikmatwe...

Crime is a crime.. Na kila crime is very very different..!!

So waliompiga Lissu risasi wasakwe kokote kule
Mwaka wa ngapi huu hawajakamatwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jay One,
By the way, kwa vile la Lissu limeingizwa hapa, naona nami nichangie kwa kusema na kwa kuhusisha maneno ya Mh. Ndugai, Spika alivyosema Bungeni hivi karibuni kuwa nyumba aliyokuwa akiishi Wakili Lissu pale Dodoma haikuwa yake, bali ilikuwa ya Mh. Mbowe!

Na nyinyi wenzangu mlisikia hilo kutoka kwa Mh.Ndugai au nililisikia mimi tu? Kama ni kweli na mimi binafsi naamini ni kweli hayo aliyosema Mh.Ndugai, basi nimepata maswali mengi kuhusu hilo na suala la kupigwa risasi Wakili Lissu kwenye eneo husika. Wachambuzi hebu lidadavueni hili.
 
Ila hii isiwe kama sbb ya ku back up kuhusu Lissu kupigwa risasi, na kujenga sbb za kijinga kusema hata waliompiga Lissu wanaweza wasikmatwe...

Crime is a crime.. Na kila crime is very very different..!!

So waliompiga Lissu risasi wasakwe kokote kule
Unasaka vipi watu unaowajuwa??
 
Huwa wanasubiri kura za maoni huko ccm ndio wanaanza kusingiziana ,usisahau SalimAhmed Salim 2005 wakati wa kura za maoni kugombea urais ccm alisingiziwa kuwa yeye ndio alimuua Karume .
Hahaa.....ndio maana naamini kabisa ccm ni chama Cha kigaidi na kishetani. Wakiamua wanasema ww sio raia alafu wakikuengua uchaguzi ukipita ww unakua raia mwema kabisa
 
Ila hii isiwe kama sbb ya ku back up kuhusu Lissu kupigwa risasi, na kujenga sbb za kijinga kusema hata waliompiga Lissu wanaweza wasikmatwe...

Crime is a crime.. Na kila crime is very very different..!!

So waliompiga Lissu risasi wasakwe kokote kule
Umamuamuru nani.
 
askari wa kikosi cha ulinzi wa raisi ajulikanae kwa jina la hijja sinai alimtandika Hamood risasi hii ni baada ya mwamba aloitawala Zanzibar kwa mkono wa chuma kulazwa chini na risasi nane za kamanda alofuzu mafunzo yake kutoka Cuba Hamood
mengine muulize Pasckal
 
kwa uchache natia neno

hamoud..huyu ni kijana aliyefuzu mafuzo ya ukomandoo CUBA,kijana huyu amekulia katika imaya ya serikali baba ake akiwa ni moja ya wajumbe wa baraza la wawakilishi.miaka kadhaa nyuma kabla hajaamua kujiunga na mafunzo ya jeshi..

serikali ya mapinduzi ya znz chini ya abeid aman karume inaandaa mikakat ya kuzorotesha na kuua washukiwa wanaotaka kuipindua serikali hii..hapo kuna wanasiasa waliwekwa vizuizini na kutungiwa mashitaka ya uongo pamoja na kuteswa sana kwenye mahakama ambayo hakuna kujitetea...miongoni mwa waanga la hili ni baba ake hamoud ambaye yy alfariki kizuizini...kiufupi tu hamoud alishaapa zaidi ya mara moja kwamba atamuua mzee.

itaendelea...
 
Nimekuwa nikipata habari kuwa jabali la siasa za Zanzibar aliuliwa na Askari jeshi nje ya makao makuu ya chama cha ASP majira ya jioni tarehe 07/04/1972 alipokuwa akicheza bao. Mauaji yake yalifanyika kwa njia ya kupigwa Risasi.

Ni upi wasifu wa askari huyu muuaji wa shujaa huyu na je alikamatwa na kushitakiwa? Alifungwa au alinyongwa?
Soma kitabu hiki kina A to Z
IMG_20200409_073452_568.jpg
 
Mkuu kitabu safi hiki,kilipelekea kupata hii ID name yangu licha ya kuwa nimeshafika sehemu tajwa ya ID ila mchango wake kwenye Uhuru wa Zanzibar uliniongezea maarifa!
Kipumbwi Tanga, inasemekana ndio vibarua wa Mkonge waliweka kambi hapo, kusubiri usafiri wa kuwapeleka Unguja.
 
Anza na Mohamed Saidi, yupo humu JF pia ana blog yake.

Kisha Youtube kuna Video 2.

1. Ali Muhsin Al Barwan :::
2. Amani Thani ::::

Ili kubalance History
Angalia ni hii Ya Baraka Shamte ziko vipande 9 ::::

Nimekuwa nikipata habari kuwa jabali la siasa za Zanzibar aliuliwa na Askari jeshi nje ya makao makuu ya chama cha ASP majira ya jioni tarehe 07/04/1972 alipokuwa akicheza bao. Mauaji yake yalifanyika kwa njia ya kupigwa Risasi.

Ni upi wasifu wa askari huyu muuaji wa shujaa huyu na je alikamatwa na kushitakiwa? Alifungwa au alinyongwa?
 
Back
Top Bottom