Liko wapi wazi? Weka ushahidi, usilete habari za kujazwa wewe ujinga ukafikiri sote tu wakujazwa ujinga.Hilo mbona liko wazi!?
Waarabu(waliokuwa na imani ya dini ya haki-uislamu) walikuja huku Afrika (Tanganyika) kwa lengo la biashara na kueneza dini, badala ya kuwahubiria amani wakawakamata na kwenda kuwauza kama wanyama pamoja na kuuwa waliokaidi maelekezo.
Kabisa....aiseeKwa habari hii sasa tunafahamu wachungaji kama kina Mckenzie wa Kenya na Kibwetere wa Uganda wanatowa wapi ujasiri.
Ukijikita wewe inatosha!Jikite kwenye kujadili mada,hayo mengine kaanzishe Uzi wako.
Alshabab na wafuga majini leo wanajifanya watakatifu dunia hii!!!Hilo mbona liko wazi!?
Waarabu(waliokuwa na imani ya dini ya haki-uislamu) walikuja huku Afrika (Tanganyika) kwa lengo la biashara na kueneza dini, badala ya kuwahubiria amani wakawakamata na kwenda kuwauza kama wanyama pamoja na kuuwa waliokaidi maelekezo.
Huna hoja wewe.naona unaruka ruka tu na kutafuta pakuchomokea.Ukijikita wewe inatosha!
Mimi niko huru kuchangia nipendavyo..tusipangiane.
Watumwa hawakufa Zanzibar? Walifika wote hai?Unachomekea tu, Uislam haujwahi kuuwa mababu zako. Kama unao ushahidi weka, wacha fikra potofu.
Hivi Babu zetu walichukuliwa kizembe unafikiri...kulikuwa na vita ,nakutokana na teknolojia ndogo waliuawa wengi .Wafia Dini msiwe waoga kuukabili ukweli..you have nothing to loosen!Walikufa kwa ahadi zao, hawakuuliwa.
Walioua watumwa kwa Kimbari ni Argentina, nchi ya Kikatoliki, umeshajiuliza vipi Argentina mtu mweusi ni wa kutafutwa?
Machifu na watemi waliwauza watu wao kwa shanga, kaniki na vioo vya kujitazamia.Hivi Babu zetu walichukuliwa kizembe unafikiri...kulikuwa na vita ,nakutokana na teknolojia ndogo waliuawa wengi .Wafia Dini msiwe waoga kuukabili ukweli..you have nothing to loosen!
Aione pia kubwa jinga MK254Shule za makazi (Residential Schools) zilikuwa za mtandao wa shule za bweni ambazo ziliundwa ili kuingiza watoto wa kiasili (natives) katika utamaduni wa Kanada. Shule hizo ziliendeshwa na serikali ya Kanada na mashirika ya kidini (Kikatoliki).
Watoto hao walichukuliwa kutoka kwa familia zao na kulazimishwa kuhudhuria shule hizo ambapo waliadhibiwa kwa kuzungumza lugha yao ya asili na kutekeleza utamaduni wao. Watoto wengi waliteswa na unyanyasaji na kutelekezwa katika shule hizi.
Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Kanada imeandika kwamba angalau watoto 4,100 walikufa walipokuwa wakisoma shule za makazi (residential schools) . Hivi majuzi, makaburi yasiyo na alama yenye mabaki ya watoto 215 yamepatikana nchini Kanada katika shule ya zamani ya makazi.
Makaburi mengine 751 ambayo hayakuwa na alama yalipatikana katika shule nyingine ya makazi. Ugunduzi huu umesababisha maombolezo mengi na wito wa uwajibikaji.
Chanzo: Why Canada is mourning the deaths of hundreds of children
====
Note: Taarifa ya July 15, 2021
Huyo unaemtaja ni wa kanisa la Lutheran , au siyo? Nalo lina mauaji yake...Kanisa katoliki? Kina martina luther walishaana nalo karne nyingi. Hilo kanisa ni taasisi kubwa duniani na halina uadilifu katika historia yake. Ukishabikia udini itabidi dini yako unayoiamini nayo ichungunzwe kama nayo ni safi au ni chafu wakati nayo historia inaonesha haina uzuri mambo ni yaleyale ya ubaya kwa binadamu
| Mauaji ya Kanisa la Monrovia Soma zaidi: killings Lutheran church - Google Suche |
|---|
Umewahi kusoma Jihad za Tarsina, Almoravid na War Jabi huko West na North Africa kuwalazimisha Waafrika kuingia kwenye Uislamu??Liko wapi wazi? Weka ushahidi, usilete habari za kujazwa wewe ujinga ukafikiri sote tu wakujazwa ujinga.
Unamaanisha nini kwa neno "jihad"?Umewahi kusoma Jihad za Tarsina, Almoravid na War Jabi huko West na North Africa kuwalazimisha Waafrika kuingia kwenye Uislamu??
Huyo ni AI Chatgpt aliyetafsiri, habari yenyewe ipo kwa Kingereza.Inasikitisha sana hii report.
Pia ninasikitishwa sana na matumizi ya neno angalau kwenye taarifa zinazohusu hasara au idadi ya vifo. Kwa nini tusiendelee kutumia neno WAPATAO kwa kuelezea idadi?
View attachment 2614021
Nikosoe kama nakosea
Shukran mkuu kwa ufafanuziHuyo ni AI Chatgpt aliyetafsiri, habari yenyewe ipo kwa Kingereza.