Mauaji ya kimbari ya watoto wadogo yaligunduliwa shule za Kikatoliki Canada

Mauaji ya kimbari ya watoto wadogo yaligunduliwa shule za Kikatoliki Canada

Hiyo habari imeletwa na BBC,wewe unaitumia kwa lengo tofauti na upotoshaji mkubwa!Mpaka umeiita ni Dini ya kishetani!
Hapo ndipo lengo lako lilipo!
Lakini pia kwenye taarifa hiyo inasema Bado vyanzo vya vifo havijajulikana na sababu havijajulikana!Vifo vimetokea kati ya 1890 to 1970,ndani ya miaka 80,makaburi yanakuja kugundulika miaka 40 baadae!Wewe uliepewa taarifa unaishia kuuita Dini ya kishetani!

Nje kidogo ya mada:Naelewa kwanini serikali ya Canada iliamua kuanzisha hizo shule na kupeleka watoto kutoka asili tofauti tofauti na kushirikiana na RC katika Hilo!
Hawana tofauti sana na alichokuja kufanya Nyerere Ili kutufanya tuwe wamoja na ukabila kutotamalaki!Kuchanganya wanafunzi kutoka maeneo tofauti!
Juzi tu huko India,Hao Indegous people wameuwa watu takribani 50 Kwa Imani zao za asili!
Pengine Canada isingekuwa hii ya Leo kama hatua hizo zisingechukuliwa!
Yeah hii taarifa Bado Ina utata mkubwa sana ni mwaka wa Tano najaribu kuifuatilia

Na nazani unaweza kumrekebisha maana mwenzetu hata maana ya neno "kimbari"Hana ufahamu nalo
 
Yeah hii taarifa Bado Ina utata mkubwa sana ni mwaka wa Tano najaribu kuifuatilia

Na nazani unaweza kumrekebisha maana mwenzetu hata maana ya neno "kimbari"Hana ufahamu nalo
Wewe kuwa na ufahamu nalo inatosha," message sent and delivered ".

 
Wewe kuwa na ufahamu nalo inatosha," message sent and delivered ".

View attachment 2615752
Yeah nimeipenda video Ambayo umei upload hapa Kumbe ujinga uko pande zote mbele Hata nyie kumbe Kuna upumbavu wa mtu kujifunga mabomu na kujilipua ili aende peponi

Hata kwenye ukristo hakuna andiko ndani ya biblia yenye verses zaidi ya Elfu 32 linalosema mfunge Hadi mfe hio ni personal ignorance hapa Haina uhusiano na Imani flani na napenda biblia maana inasema “My people are destroyed for lack of knowledge: because thou hast rejected knowledge, I will also reject thee,


So punguza chuki dhidi ya Imani za watu maana mwisho wa haya unayoyafanya ni matusi na kejeli
 
Yeah nimeipenda video Ambayo umei upload hapa Kumbe ujinga uko pande zote mbele Hata nyie kumbe Kuna upumbavu wa mtu kujifunga mabomu na kujilipua ili aende peponi

Hata kwenye ukristo hakuna andiko ndani ya biblia yenye verses zaidi ya Elfu 32 linalosema mfunge Hadi mfe hio ni personal ignorance hapa Haina uhusiano na Imani flani na napenda biblia maana inasema “My people are destroyed for lack of knowledge: because thou hast rejected knowledge, I will also reject thee,


So punguza chuki dhidi ya Imani za watu maana mwisho wa haya unayoyafanya ni matusi na kejeli
Wajinga ndiyo waliwao.
 
Wajinga ndiyo waliwao.
Hilo ndio lengo lako hasa kuwaona watu wa Imani nyingine wajinga na waliopotea!
Umeshaeleweka!
Unatamani Dunia nzima wawe waislamu lakini Hilo halitatokea na mpaka unaaga Dunia,ukristo utakuwepo!
Endelea kuteseka tu,sisi tunazidi kuipenda na kuishika Imani yetu!
 
Hilo ndio lengo lako hasa kuwaona watu wa Imani nyingine wajinga na waliopotea!
Umeshaeleweka!
Unatamani Dunia nzima wawe waislamu lakini Hilo halitatokea na mpaka unaaga Dunia,ukristo utakuwepo!
Endelea kuteseka tu,sisi tunazidi kuipenda na kuishika Imani yetu!
Kuwa Muislam ni faida kubwa sana kwako, Usiuogope.

unafahamu maana ya neno Uislam?
 
Kuwa Muislam ni faida kubwa sana kwako, Usiuogope.

unafahamu maana ya neno Uislam?
Sihitaji kujua maana nimetosheka tele na Imani yangu!
Ukristo wangu una faida zaidi kwangu maana umenifanya niwe na tabia njema,niishi vizuri na majirani zangu!
Sasa nitafute Nini Tena?
Naishi vizuri na waislamu, wakristo wenzangu na hata wale wasio na Dini!
Hilo kwangu linatosha sana!
 
Walikufa kwa ahadi zao, hawakuuliwa.

Walioua watumwa kwa Kimbari ni Argentina, nchi ya Kikatoliki, umeshajiuliza vipi Argentina mtu mweusi ni wa kutafutwa?
Katoliki hauwawezi wewe bibi.
Hiyo habari ya Canada uliyoibuka nayo tumekuacha kwanza uendelee kujifaragua nayo.
Ukishamaliza wewe tustue tu tuje kujumuika.
Halafu sisi kitu kikiwa cha hovyo wala hatuhangaiki kujitetea, inapohitajika tuna appologise, na isipoeleweka tunatolea ufafanuzi ukigoma kuelewa basi tutaanga kama tu apologize au tupotezee.
Sisi siyo viazi. Tupo timamu sana
 
Hata mini inenishangaza, nikifikiri wauwaji wanakuwa wachungaji feki qanaotafuta kafara za utajiri kama Mckenzie na wengineo, kumbe hata taasisi za kanisa jatoliki nazo zimo, tena zimeanza mauwaji zamani sana. Inatisha.
Ushaanza kuvuta bangi sasa kanisa jatoliki ni nini?
 
Katoliki hauwawezi wewe bibi.
Hiyo habari ya Canada uliyoibuka nayo tumekuacha kwanza uendelee kujifaragua nayo.
Ukishamaliza wewe tustue tu tuje kujumuika.
Halafu sisi kitu kikiwa cha hovyo wala hatuhangaiki kujitetea, inapohitajika tuna appologise, na isipoeleweka tunatolea ufafanuzi ukigoma kuelewa basi tutaanga kama tu apologize au tupotezee.
Sisi siyo viazi. Tupo timamu sana
Wajibu BBC walioleta hiyo habari, unawaogopa?
 
Wajibu BBC walioleta hiyo habari, unawaogopa?
BBC wameleta habari, huo ni wajibu wao, wameutenda vyema. Ingawa mimi naweza kusema una mapungufu sababu habari yenyewe ni zaidi ya hivyo walivyoileta, labda kama waliwahi kuilleta habari nyingine za aina hii miaka ya nyuma.
Uliye kiherehere ndiyo ndiye ninayekufuatilia na kukuambia kuwa nitakuja kukupangua hadi ni kuwowe pamoja na chamoto za umri baina yenu. Kwa sasa endelea kuji mwayamwaya huju nikiangalia kiwiliwili chako kinavyosawajika kabla sijaingia kati.
 
BBC wameleta habari, huo ni wajibu wao, wameutenda vyema. Ingawa mimi naweza kusema una mapungufu sababu habari yenyewe ni zaidi ya hivyo walivyoileta, labda kama waliwahi kuilleta habari nyingine za aina hii miaka ya nyuma.
Uliye kiherehere ndiyo ndiye ninayekufuatilia na kukuambia kuwa nitakuja kukupangua hadi ni kuwowe pamoja na chamoto za umri baina yenu. Kwa sasa endelea kuji mwayamwaya huju nikiangalia kiwiliwili chako kinavyosawajika kabla sijaingia kati.
Inauma eeh? Ukikuwa utaacha. Kasome post #5
 
Ushaanza kuvuta bangi sasa kanisa jatoliki ni nini?
Shule ya Makazi ya Fort Albany, pia inajulikana kama St. Anne's, ilikuwa nyumbani kwa baadhi ya mifano ya kuhuzunisha ya unyanyasaji dhidi ya watoto wa Asilia nchini Kanada.
 
Shule ya Makazi ya Fort Albany, pia inajulikana kama St. Anne's, ilikuwa nyumbani kwa baadhi ya mifano ya kuhuzunisha ya unyanyasaji dhidi ya watoto wa Asilia nchini Kanada.
Nimekuuliza kanisa jatoliki ni nini?
 
Back
Top Bottom