Mauaji ya kimbari ya watoto wadogo yaligunduliwa shule za Kikatoliki Canada

Mauaji ya kimbari ya watoto wadogo yaligunduliwa shule za Kikatoliki Canada

1)Ipo mistari inayoamrisha mauwaji ya kimbari kwenye biblia, au biblia siyo maandiko ya dini?

2) mauwaji kanisani kwa Tanzania yapo mengi tuombe Mungu yasifikie ya Kenya juzi. Jisomee: https://www.google.com/url?sa=t&sou...QtwJ6BAgkEAI&usg=AOvVaw3Zu29QwjZhhxnSmMWpEhnp

Pia kuna kanisa Tanzania, ushahidi upo, lilikuwa linalawiti wanafunzi kwa Kimbari. Kuwafanya wansgunzi kuwa mashoga kwankimbaru, hiyo ni zaidi ya kuwauwa. Jisomee: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile
Bado narudia,maovu hayo yanatendwa na watu waovu na sio Dini!
Mimi tokea nazaliwa,sijawahi kuhubiriwa chuki Wala jambo lolote ovu kanisani!Zaidi lugha ambayo nimekuwa nayo na naisikia ni upendo!
Tukienda Kwa trend hiyo,hata misikitini yametokea mauaji mengi tu!Huko Iran,Afghan NK watu wameuwawa sana Tena serikali Kwa mgongo wa Dini!Ilaumiwe Dini Kwa mauaji hayo?Hujui kuwa Kuna makundi yanatumia maandiko kufanya mauaji ya wasioamini?Ilaumiwe Dini?Haya makundi ya kigaidi,yanayotumia jina la Allah kutekeleza mauji,tuilaumu Dini?
Umeweka habari ya katekista kuua kanisani,kwani katekista ndio Dini?Hiyo nayo Ilaumiwe Dini?
Vitendi vya ulawiti vipo,hata madrasa huko watoto wanalatiwa na walimu wao,kesi zipo nyingi!Ilaumiwe Dini?

Hii habari,I bet inavyojadiliwa huko Canada ni tofauti kabisa na sisi hapa bongo tunavyojadili!Sisi tupo kwenye gia ya udini badala ya kujadili Nini kilitokea,sababu na kwanini serikali haikuchukua hatua!
 
Bado narudia,maovu hayo yanatendwa na watu waovu na sio Dini!
Mimi tokea nazaliwa,sijawahi kuhubiriwa chuki Wala jambo lolote ovu kanisani!Zaidi lugha ambayo nimekuwa nayo na naisikia ni upendo!
Tukienda Kwa trend hiyo,hata misikitini yametokea mauaji mengi tu!Huko Iran,Afghan NK watu wameuwawa sana Tena serikali Kwa mgongo wa Dini!Ilaumiwe Dini Kwa mauaji hayo?Hujui kuwa Kuna makundi yanatumia maandiko kufanya mauaji ya wasioamini?Ilaumiwe Dini?Haya makundi ya kigaidi,yanayotumia jina la Allah kutekeleza mauji,tuilaumu Dini?

Hii habari,I bet inavyojadiliwa huko Canada ni tofauti kabisa na sisi hapa bongo tunavyojadili!Sisi tupo kwenye gia ya udini badala ya kujadili Nini kilitokea,sababu na kwanini serikali haikuchukua hatua!
Hatupo hapa kusadikishana chochote, mradi umeyaona maovu hayo yanayotokea makanisani, utajaza mwenyewe kwanini serikali haikuchukuwa hatua.
 
Hatupo hapa kusadikishana chochote, mradi umeyaona maovu hayo yanayotokea makanisani, utajaza mwenyewe kwanini serikali haikuchukuwa hatua.
Naam,nilijua tu lazima uchutame!
Ukiipenda Imani Yako,inatosha!Kuchukia Imani za wengine kutaupa tu moyo wako stress,maana hupendi ziwepo na huwezi kufanya lolote juu ya Hilo zaidi ya kuzichafua tu!
 
Watasema una udini wakati hata siku hizi taarifa za viongozi wa Catholic kulawiti na kubaka watoto zikiwa tele hapa Tz.
Shule za makazi (Residential Schools) zilikuwa za mtandao wa shule za bweni ambazo ziliundwa ili kuingiza watoto wa kiasili (natives) katika utamaduni wa Kanada. Shule hizo ziliendeshwa na serikali ya Kanada na mashirika ya kidini (Kikatoliki).

Watoto hao walichukuliwa kutoka kwa familia zao na kulazimishwa kuhudhuria shule hizo ambapo waliadhibiwa kwa kuzungumza lugha yao ya asili na kutekeleza utamaduni wao. Watoto wengi waliteswa na unyanyasaji na kutelekezwa katika shule hizi.

Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Kanada imeandika kwamba angalau watoto 4,100 walikufa walipokuwa wakisoma shule za makazi (residential schools) . Hivi majuzi, makaburi yasiyo na alama yenye mabaki ya watoto 215 yamepatikana nchini Kanada katika shule ya zamani ya makazi.

Makaburi mengine 751 ambayo hayakuwa na alama yalipatikana katika shule nyingine ya makazi. Ugunduzi huu umesababisha maombolezo mengi na wito wa uwajibikaji.

Chanzo: Why Canada is mourning the deaths of hundreds of children

====

Note: Taarifa ya July 15, 2021

Alshabab na wafuga majini leo wanajifanya watakatifu dunia hii!!!
Umewasahau Boko Haram na ISS.
 
1.Sinjar Massacre
2.Hamidian Massacres/ Armenia Genocide.
3.Greek Genocide, Pontic Genocide
4.Aurangzeb/Mughal Empire Genocide
5.Amir Abdur Rahman/Emir of Afghanistan Hazara Genocide
6.Utekeji na mauaji ya wanafunzi kunakofanywa na Boko Haram
7.Mashambulizi ya shule za wanawake yanayofanywa na Taliban
8.ISIS Massacres
 
Ila huo ukatili sana walifanya na nchi nyingine walinyanganya mabinti wasio na ndoa.. watoto wakafa au kuwapa wengine walipewa wasiozaa or watunzao bila kuweka kumbukumbu.. ma sista walisaidia kuwalea na kuona au kushiriki katika haya.. nachowapendea wazungu na roho zao za ajabu wame elimika na wamafifua makabuti ya majanga bila wasi na kuchukua hatua za kuwaadhibu wahusika hata kama ni wafu.. majina yanapewa ubaya wanaostahiki wa unyama.

Bi. Faiza usinikosoe Swahili yangwu 🤣
 
Hujajibu hoja ya ufugaji majini

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Uislam haufundishi ufugaji majinni wala mapepo.


Unaonesha umesomeshwa ujinga kuhusu Uislam na wewe huo ujinga umekuingia.

Uislam ni mwepesi sana, ni mfumo kamili wa maisha wa kujisalimisha kwa Muumba wetu.

Hakuna zaidi ya wewe mwenyewe kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu na kuwa na ukaribu nae wa moja kwa moja.
 
Uislam haufundishi ufugaji majinni wala mapepo.


Unaonesha umesomeshwa ujinga kuhusu Uislam na wewe huo ujinga umekuingia.

Uislam ni mwepesi sana, ni mfumo kamili wa maisha wa kujisalimisha kwa Muumba wetu.

Hakuna zaidi ya wewe mwenyewe kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu na kuwa na ukaribu nae wa moja kwa moja.
Nilitaka ujae vizuri namna hii, hizo taasisi za kikatoliki ulizozitaja zilienda kinyume na mafundisho kama vile hawa mashehe wanaofuga majini huku. Mwanzoni niliamini uganga ni nguzo muhimu ya dini, asante kwa ufafanuzi wako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nilitaka ujae vizuri namna hii, hizo taasisi za kikatoliki ulizozitaja zilienda kinyume na mafundisho kama vile hawa mashehe wanaofuga majini huku. Mwanzoni niliamini uganga ni nguzo muhimu ya dini, asante kwa ufafanuzi wako.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unachokitetea ni nini, kuwa hayo mauaji hayakutokea?

Sijawahi kumuona au kumsikia Sheikh anaefuga majinni. Sijakuelewa ulichotaka nijae, nijae nini haswa?

Umekiona chanzo cha habari kwenye post namba 1?
 
Kitukuu cha Mudi again!!
Waislamm huwa hatubadili majina kamanwakristi, Issa wanamwita Jesus, hata akitokea leo hii ukimwita "Jesus" hakuelewi.

..Fanya adabu kidogo,usiwe mjinga.
 
Dunia uwanja wa fujo wakati unaona dini yako ndio bora na kweli. Wengine hawataki hata kuisikia wanaona ya magaidi na wafuga majini.
BBC wameleta hiyo habari, unalielewa hilo?

Kuna tataizo lipi binadam akiutafuta ukweli wa dini ipi ni ya kweli?
 
Naam,nilijua tu lazima uchutame!
Ukiipenda Imani Yako,inatosha!Kuchukia Imani za wengine kutaupa tu moyo wako stress,maana hupendi ziwepo na huwezi kufanya lolote juu ya Hilo zaidi ya kuzichafua tu!
Hauna sabbau ya kutumia lugha za maudhi. Kws kugha uliyoanza kuitumia unaonesha umeghadhibika.

Hayo mauaji ya kimbari kwanini kila siku yapo makanisani?

Jiulize tu, kwanini mauaji ya kimbari yatokee makanisani tu?
 
Hauna sabbau ya kutumia lugha za maudhi. Kws kugha uliyoanza kuitumia unaonesha umeghadhibika.

Hayo mauaji ya kimbari kwanini kila siku yapo makanisani?

Jiulize tu, kwanini mauaji ya kimbari yatokee makanisani tu?
Una uhakika mauaji ya kimbari yanatokea/yametokea kanisani tu?
Punguza chuki dhidi ya ukristo!
Halafu Nina mashaka na uelewa na wako wa neno kimbari!
 
BBC wameleta hiyo habari, unalielewa hilo?

Kuna tataizo lipi binadam akiutafuta ukweli wa dini ipi ni ya kweli?
Hiyo habari imeletwa na BBC,wewe unaitumia kwa lengo tofauti na upotoshaji mkubwa!Mpaka umeiita ni Dini ya kishetani!
Hapo ndipo lengo lako lilipo!
Lakini pia kwenye taarifa hiyo inasema Bado vyanzo vya vifo havijajulikana na sababu havijajulikana!Vifo vimetokea kati ya 1890 to 1970,ndani ya miaka 80,makaburi yanakuja kugundulika miaka 40 baadae!Wewe uliepewa taarifa unaishia kuuita Dini ya kishetani!

Nje kidogo ya mada:Naelewa kwanini serikali ya Canada iliamua kuanzisha hizo shule na kupeleka watoto kutoka asili tofauti tofauti na kushirikiana na RC katika Hilo!
Hawana tofauti sana na alichokuja kufanya Nyerere Ili kutufanya tuwe wamoja na ukabila kutotamalaki!Kuchanganya wanafunzi kutoka maeneo tofauti!
Juzi tu huko India,Hao Indegous people wameuwa watu takribani 50 Kwa Imani zao za asili!
Pengine Canada isingekuwa hii ya Leo kama hatua hizo zisingechukuliwa!
 
BBC wameleta hiyo habari, unalielewa hilo?

Kuna tataizo lipi binadam akiutafuta ukweli wa dini ipi ni ya kweli?
BBC hao hao sii ndio kila siku wanaripoti mauaji yanayo fanywa na waislam alshabab ili wakapewe mabikra 72 au umesahau
 
Taliban
Islamic state
boko haram
Al Shabaab
Al Qaeda
maoest
fulani
Ant balaka
Hayo yote ni magenge ya Islamic yanayotekeleza mauaji kila siku kwa mgongo wa dini
 
Back
Top Bottom