1.Sinjar MassacreUnamaanisha nini kwa neno "jihad"?
Umeisoma post namba 1? Una lipi la kusema kuhusu hayo mauaji ya kimbari yaliyogunduliwa kwenye shule za bweni za kikatoliki? Qaliua kutiwa kafara ya damu ya binadam au vipi? Au waliua kwa chuki tu? Au waliua kwa kupenda kuua.
Dah,Kwa mauaji kama haya, hiyo "dini" iliyoyafanya ni dhahiri shahiri ya kishetani.
Hilo mbona liko wazi!?
Waarabu(waliokuwa na imani ya dini ya haki-uislamu) walikuja huku Afrika (Tanganyika) kwa lengo la biashara na kueneza dini, badala ya kuwahubiria amani wakawakamata na kwenda kuwauza kama wanyama pamoja na kuuwa waliokaidi maelekezo.
Hivi neno KIMBARI linamaana gani kiswahili? Ninaposikia mauaji ya KIMBARI najua KIMBARI ni eneo yalipofanyika mauaji hayo.. Sasa hivi Habari ya Leo imenifanya nihisi KIMBARI Ina tafsiri zaidi ya ninavyofikiria. Naanza kuhisi KIMBARI ni Kama HALAIKI! [emoji848]Shule za makazi (Residential Schools) zilikuwa za mtandao wa shule za bweni ambazo ziliundwa ili kuingiza watoto wa kiasili (natives) katika utamaduni wa Kanada. Shule hizo ziliendeshwa na serikali ya Kanada na mashirika ya kidini (Kikatoliki).
Watoto hao walichukuliwa kutoka kwa familia zao na kulazimishwa kuhudhuria shule hizo ambapo waliadhibiwa kwa kuzungumza lugha yao ya asili na kutekeleza utamaduni wao. Watoto wengi waliteswa na unyanyasaji na kutelekezwa katika shule hizi.
Tume ya Ukweli na Maridhiano ya Kanada imeandika kwamba angalau watoto 4,100 walikufa walipokuwa wakisoma shule za makazi (residential schools) . Hivi majuzi, makaburi yasiyo na alama yenye mabaki ya watoto 215 yamepatikana nchini Kanada katika shule ya zamani ya makazi.
Makaburi mengine 751 ambayo hayakuwa na alama yalipatikana katika shule nyingine ya makazi. Ugunduzi huu umesababisha maombolezo mengi na wito wa uwajibikaji.
Chanzo: Why Canada is mourning the deaths of hundreds of children
====
Note: Taarifa ya July 15, 2021
Ukishasema Massacres, Genocide haiwezi kuwa jihadi hiyo.1.Sinjar Massacre
2.Hamidian Massacres/ Armenia Genocide.
3.Greek Genocide, Pontic Genocide
4.Aurangzeb/Mughal Empire Genocide
5.Amir Abdur Rahman/Emir of Afghanistan Hazara Genocide
Hizo taasisi za elimu za kikatoliki zinaendeshwa na kanisa katoliki, lini kanisa katoliki lilitowa ufafanuzi wa haya mauaji ya "residential schools ", waliohusika walichukuliwa hatua gani?Nimepitia habari na comments za humu!Mleta mada na baadhi ya wachangiaji Naona wako nje kabisa na hata lengo la mleta habari limeonekana kwenye baadhi ya comment zake!
Mauaji ni jambo ovu,waliotenda hayo mauaji wawajibike wao Kwa binafsi Yao!Kuihukumu dini Kwa matendo ya watu wendawazimu ni kukosea!Dini haiwezi kuua,Bali watu ndio hutenda hayo mauaji!
Sio maelekezo ya Dini yaliyopelekea mauaji hayo Bali ni watu waovu wametenda hayo!
Nisisitize kutoihukumu Dini Kwa matendo ya wendawazimu wachache!
Ni kweli kama mmeleta mara anavyosifia Waislam Waarabu kueanunua Babu zetu kwa shanga za viunoni!?Nimepitia habari na comments za humu!Mleta mada na baadhi ya wachangiaji Naona wako nje kabisa na hata lengo la mleta habari limeonekana kwenye baadhi ya comment zake!
Mauaji ni jambo ovu,waliotenda hayo mauaji wawajibike wao Kwa binafsi Yao!Kuihukumu dini Kwa matendo ya watu wendawazimu ni kukosea!Dini haiwezi kuua,Bali watu ndio hutenda hayo mauaji!
Sio maelekezo ya Dini yaliyopelekea mauaji hayo Bali ni watu waovu wametenda hayo!
Nisisitize kutoihukumu Dini Kwa matendo ya wendawazimu wachache!
The Kamloops school, which operated between 1890 and 1969, held up to 500 Indigenous students at any one time, many sent to live at the school hundreds of kilometres from their families. Between 1969 and 1978, it was used as a residence for students attending local day schools.Imetokea mwaka gani hii? I mean hayo mauaji yalifanyika lini?
Narudia,waliotenda hayo maovu ya mauaji ni watu!Hebu tueleze,kama ni maelekezo ya Dini,Tanzania ni wapi yamefanyika mauaji ya namna hiyo?Au Tanzania hakuna taasisi za RC zenye shule,hopsitali NK?Au maelekezo ya RC ni kuwa mauaji yafanyike Canada pekee?Hizo taasisi za elimu za kikatoliki zinaendeshwa na kanisa katoliki, lini kanisa katoliki lilitowa ufafanuzi wa haya mauaji ya "residential schools ", waliohusika walichukuliwa hatua gani?
Hapo huwezi kuliondoa kanisa katika hilo sakata.
1)Ipo mistari inayoamrisha mauwaji ya kimbari kwenye biblia, au biblia siyo maandiko ya dini?Narudia,waliotenda hayo maovu ya mauaji ni watu!Hebu tueleze,kama ni maelekezo ya Dini,Tanzania ni wapi yamefanyika mauaji ya namna hiyo?Au Tanzania hakuna taasisi za RC zenye shule,hopsitali NK?Au maelekezo ya RC ni kuwa mauaji yafanyike Canada pekee?
Lengo lako hasa ni kutumia habari ya hio kuchafua Imani ya watu wa RC Kwa manufaa Yako binafsi!
Ukiipenda Imani Yako inatosha,sio lazima uchukie Imani za wengine!Utaupa tabu tu moyo wako na kuishi bila furaha!