Mauaji ya kutisha yafanyika Wilayani Mwanga. Rais tafadhali ingilia kati uisaidie hii familia

Baada ya mama kupata vitisho wao kama familia walichukua uamuzi upi ili kuhakikisha usalama wake unazingatiwa? Chanzo Cha ugomvi ni Nini haswa?
 
Baada ya mama kupata vitisho wao kama familia walichukua uamuzi upi ili kuhakikisha usalama wake unazingatiwa? Chanzo Cha ugomvi ni Nini haswa?
Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
CC: Dkt. Gwajima D
 
Au kuna mambo ya kishirikina nyuma.ya hayo mauwaji!!?
 
I concur with you Mkuu. Just imagine, despite the fact that have shared the numbers here, no one has just even dare to call the victims[emoji848]
Mkuu nakuhaidi litafanyiwa kazi na wahusika,ni swala la muda tu utaona!!
 
Mkuu nakuhaidi litafanyiwa kazi na wahusika,ni swala la muda tu utaona!!
Asante Sana Mkuu. Ila mpaka Sasa hivi nasikitika kukujulisha kwamba wahanga hawajapigiwa simu yoyote na kwa maagizo ya CID wilaya wanatakiwa wazike kesho, angali hata primary investigation result hawajapatiwa! Can someone please assist them🤔!!!! Mama Samia please do something 🙏🏾
 
Mashauri na hiyo family wana ugomvi wa nini?
 
Duu hii mbaya
 
Hakuna binadamu mwenye akili timamu atatunza hasira Kwa muda mrefu kulingana na maelezo ya Mleta mada na baadae kutimiza azma yake kikamilifu, ni LAZIMA nyuma kuna sababu za msingi...

Kama ni uchawi hata ingekuwa ndugu yangu acha auwawe, hv unajua mambo anayofanya mchawi wewe?

Makanisa Misikiti mchawi ataingia mule na kufanya kufuru, mchawi haoni shida kufanya mapenzi na mwanae wa kumzaa acheni kutetea mambo ya ajabu...

Usilazimishe watu kuamini unachoeleza unajuaje hata diwani alikuwa Muhanga?
 
Namba za wahanga ni: 0766430284 0689512555 & 0672740412
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…