JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Amesema amenunua mkononi kwa mtu hapa Tz mwaka 2021.
Simply wewe kaendeshe Toyota Allex au Runx ukitoka hapo ingia kwenye VW Golf.Huo utamu ni upi kama inataka ilelewe kama bibi harusi?
Gari inataka iwe inakaa ndani kama tv ama? Kwamba inatoka mara moja moja sio?
Yaani late 80's mjerumani alikuwa ameshaanza kunyanyasa sokoni kwenye suspension.Kitaalamu hii tunaiitaje?View attachment 2422649
We unaujua mfuko wake in out?Stev Nyerere anapata wapi hela ya kutunza LC 300?
Mkuu hilo sio swali nililokua nimeuliza.Simply wewe kaendeshe Toyota Allex au Runx ukitoka hapo ingia kwenye VW Golf.
Kama usipoona utofauti basi kuna tatizo mahali.
Ni kweli kabisa, gari ni utunzaji.Kuna gari namba C na zipo njema kuliko namba E.
Suala ni utunzaji na kupenda kitu chako.
Mwingine kununua kitu chochote OG ni kawaida achilia mbali spare parts.
[emoji1][emoji1][emoji1]Unaniuliza mimi?
Mtafute yeye ndo umuulize hayo maswali.
vipi hizo gari ulizotaja tukiziweka na discovery, vw au range hizo spare zake utagusa?Nunua Prado au LC300 halafu nenda Toyota Tanzania kanunue spare OG ya gari yako.
Kaulize bei ya shockups OG za harrier tako la nyani pale Toyota Tanzania. Halafu ntakwambia bei ya shockups za BMW X3.
Utarudi na chupi mkononi.
[emoji55][emoji55][emoji765]Hata saa kuna Rado na Casio chaguo ni lako
Mimi na familia ni mwendo wa Europe cars tu
Japanese cars nilipokuwa kijana nilikuwa na Skyline GT, Mazda rx7, starion, supra, Nissan 280 na 350z nilikuwa nabadili tu ila sasa uzee huooo
Moja yangu ya kizee na inakunywa wese balaa mengine ya watoto na Mrs View attachment 2422560
Toyota Hilux ni kiboko, hata Waingereza katika kipindi cha Top Gear walikubali, its literally indestructible.Hawa walio jificha humu, hii habari wanayo!!?
Toyota imetajwa kuwa gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani ikifuatiwa na BMW, Benz ni gari isiyoaminika kabisa
American consumer reports inasema Toyota ni gari zinazoaminika zaidi nchini Marekani zikifuatiwa na BMW. Mazda, Honda na Audi. Magari ya Kimarekani kama Ford, Tesla nk ni magari yasiyoaminika kabisa nchini Marekani.www.jamiiforums.com
Wajerumani na wajapani wa tuangoma, kwa mabonge, tandahimba, mbinga, mrenyi, mabogini mpo!!?
Hata Enzi zile kiwanda cha matairi Arusha wateja wakubwa walikuwa wasomali kwenye vita na wale wakorofi wengineToyota Hilux ni kiboko, hata Waingereza katika kipindi cha Top Gear walikubali, its literally indestructible.
Ukiona hata magaidi wanatumia Toyota Hilux basi hii gari ni all weather.
America wamesha lalamika sana kuhusu hizi gari! Makundi yoooote ya kigaidi kuanzia al_kaida, isis na wengine woote wanatumia hizi gari na landcruiser hardtop wakidai nani anao wafadhili!!? Alafu wao wanakuja na vifaru na ndege na bado wanatoa jasho[emoji1787][emoji1787][emoji1787] toyota nyoko sana, alafu unakuta vyuma vyote vipo kwenye orderToyota Hilux ni kiboko, hata Waingereza katika kipindi cha Top Gear walikubali, its literally indestructible.
Ukiona hata magaidi wanatumia Toyota Hilux basi hii gari ni all weather.
Waambie waulizie shock up za harrier 2nd gen mpya sio used waje na majibuTatizo kubwa Mkuu watz wengi hatujui magari yanataka nini. Hata hizo Toyota wanazosema ni rahisi kuzimudu siyo kweli, nyingi ni mbovu na zinatengenezwa na mafundi wababaishaji. Urahisi wa upatikanaji wa Spares fake sio urahisi wa kumiliki gari. Utofauti wa bei ya Genuine Spare Parts mpya ya Toyota na European Cars ni mdogo sana na sio kama watu wanavyodanganyana humu. Spare Parts nyingi za Toyota wanazosema ni cheap ni used siyo mpya!
Umewahi nunua spea gani au mmekaririsha vijiweniacha fix hizogari vitu vyake vipo juu sana. usilinganishe na gari za japani vituvyao bei ni nafuu.
huna unacho jua kaa pembeni.nitajie bei yanozel ya discover hata3tu halafu ulinganishe naya land cruezer new modelUmewahi nunua spea gani au mmekaririsha vijiweni
1:1huna unacho jua kaa pembeni.nitajie bei yanozel ya discover hata3tu halafu ulinganishe naya land cruezer new model
Sija kupata hapa.