National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Wivu wa nini? Nikuambie hakuna tolea la iPhone sijawa nalo toka kuanzia iPhone X hadi 13 na hii 14 nitanunua na sio refub simu zangu. Usiona kama unaongea na wa kuja mjini... Unafikiri una chart na wakuja humu watu wanakuangalia ni kama vile ndio umezijua simu hivi karibuni.. Tuna focus na mambo ya msingi hatupo kwenye ligi za simuMna wivu tu no matter the price. Na sijasema kwamba android users hawana hela usininukuu vibaya National Anthem
Kinacho niudhi ni yey kukosa akili ya kutambua kuwa Happ anachezewa ubongo wake tu na wazungu hkn kipya Zaid sans siyo nakasirika kwa kutumia hela vibaya nakasirika kwa kuchezewa ubongo na yey kuingia mzimamzimaaa uwez kuta moo au mam Samia nae anamiliki macho matatuUkiwa masikini utamchukia tajiri anaekula mikate na chai.
Baba level akinunua iphone ya milion 4 wewe kinakupunguzia nini?
Hakika wew unazinunua hz refubrish huna macho matato wala jicho moja Sana unamiliki techno hz hzWivu wa nini? Nikuambie hakuna tolea la iPhone sijawa nalo toka kuanzia iPhone hadi 13 na hii 14 nitanunua na sio refub simu zangu. Usiona kama unaongea na wa kuja mjini... Unafikiri una chart na wakuja humu watu wanakuangalia ni kama vile ndio umezijua simu hivi karibuni.. Tuna focus na mambo ya msingi hatupo kwenye ligi za simu
Umenikumbusha kitu Mimi kwenye biashara yangu siwezi kuajiri Watu wenye bidii naajiri wavivu Narudia WAVIVU sio WAZEMBE ,Wavivu wenzangu tunahakikisha mambo yanatokea Kwa njia rahisi huku wenye bidii wakikaza misuli sana.It's very easy to manipulate croward than individual person. Hata matangazo ya kibiashara yaandaliwa na watu ambao wanaijua mno saikolojia ya binadamu. Umeshawahi ona unanunua kitu bila ya kutegemea/kuwaza. We buy things just to us feels happy or to impress others. To make external validation of sense of mattering. Unajua Ni kwa Nini kasino kubwa wanakupa bia za bure ili u gamble, ama Kuna mabinti warembo yaani nasema warembo mno unaweza ukamuacha mama yako kisa ya huyo mrembo.
Unajua why banks Zina wadada warembo umeshawahi ona benki Ina mdada mbaya ambaye haujisikii kumuomba namna ya simu kweli?
Why bars Zina miziki umeshawahi jiuliza kweli??
Why matangazo ama utangazaji fulani ya new company product Wana employ wadada na wakaka beautiful and modal men.
Narudia kusema why matangazo mengi lazima yaendane na kitu Kama sex relationship. Yaani unamuona mtu yupo na demu mkali na jamaa naye ama figure sio la kitoto chuma kimemkubali. Niambie Ni tangazo gani halijatumia mtu mwenye mvuto ama maarufu.
So wanapokuonyesha mond anakunywa Pepsi anakamatia mkubwa so na wewe umkamatie na huku soda hata uishi duniani mpaka uzeeke hutopata upungufu wa soda mwilini.
Why kwenye ndege Kuna wadada wakali mno.
Yaani Kuna watu wenye brain kubwa Wana manipulate masses kwa kuchota akili zao na kuwafanya slaves wao wa kujaza akaunti zao za bank zijae na kuchukua utajiri mkubwa tokea kwa most majority poor public masses. Na ukicheki matajiri Ni wachache mno. Umeaniminishwa status or symbol ya high value yako Ni kumiliki Lamborghini,Rolex watch ,Apple phone/PC kupanga apartment Kali karibia na beach.
Sasa wenzako wanawekeza kwa kampani wanazidi kununua shares ambazo mpaka kizazi Chao Cha tano wataweza kuishi kwa kupata gawio la faida za hisa zao.
Jiulize why matajiri wako low key figure hata anayeitengeneza iPhone hujawahi muona anapiga picha nayo anajidai nayo kuonyesha kuwa yeye Ni high status class person. N Wana majina ya kukuteka ama kukufanya uwe mtumwa like hii Ni VIP place, product.
Saivi tajiri imeingiza billionaire amekuwa namba mbili akapitwa na Elon musk pekee ,Jeff Benzos yupo nyuma.
Wekeza kwa weakness ya binadamu utavuna hela.ujue by nature huwa hapendi kuwa chini , kuonekana dhaifu, kuonekana kuwa ameshindwa kitu fulani,hapendi kukosa, kufeli ,nadiriki kusema kuwa tajiri wa kumilikj dola billioni isn't so easy as we thought we have to cultivate weakness of human beings and go against our humanness that's why very few succeeded or reach the top pyramid.
Wengi tunabakia kuwa watumwa wao.
Yaani Ni rahisi mno kumteka mwanadamu yaani matangazo unayoyaona kwenye media all the time Yana Mana yake.
Kuna kitu kinaitwa myth busting.
Ama sema uongo Mara nyingi mno yaani hata miaka kumi baadaye utakuwa ukweli na jamii itaamini kuwa Ni ukweli.
Umeshawahi jiuliza why unafuatilia mziki,mpira ,movie ama koneksheni kuliko hata afya yako ya akili na kimwli????
Mtasema kuwa Sina uwezo wa iPhone Ila ukweli sio kuwa Ni vitu huwa vinatupa furaha.
Binadamu anapenda starehe na kuonekana ana value kubwa mno kwa jamii yake.
Why dogo wa fb ama Amazon hujawahi muona anauza sura kwa Lamborghini ama amevaa nguo za Gucci.
Tofauti Ni kubwa mno Kati ya tajiri na masikini.
Tofauti ipo how to think or perceive world/surroundings.
They buy assets we buy liabilities to impress our peers and show offs,to look for external validation since we feel inadequacy so we've to feel adequacy having high value.
Soma binadamu Mana ndio watakaokupa hela uwape wanachopenda.
Mfano Nani akakuambia kuwa kufanya kazi kwa bidii ama kufanya kazi mno kuwa ndio mafanikio Sasa hiii kila kona inaimbwa ,mbona wanaokesha viwanda vya mo, baresa,coca cola hawajazidi wamiliki kwa utajiri Sasa na wao wanapumzika muda tu wa kula jamani.
Saivi Naona Kuna uraibu wa simu ama social networks. They are truly stealing our true human potential.
Please use phone and social networks and don't let them use you.
Thank you welcome for negative opinions.
Am always ready to reverse my thinking am unbiased,if I go up I can reverse my direction to go down. Am ready that anything can happen. I know that every moment is unique so nothing is static even stones are in motion even though we see them to be in the same place/location but they are moving.
Since atoms/particles forming the solid matter in randoml continuously moving haphazardly.
Ona ulivyo mpumbavu, unahisi unanifahamu kwa chart zangu? Na chart vyovyote na nina behave ninavyotaka. Narudia sipo kwenye ligi ya simu, maisha yana mengi zaidi. Sipo hapa kushindana na matahira kama weweHakika wew unazinunua hz refubrish huna macho matato wala jicho moja Sana unamiliki techno hz hz
Kila wakt nakuona unalalamika kuhusu mifumuoko wa Bei na unalialia mbaya Sasa wee wa kuwa na iPhone[emoji23] kweli
Alfu mnajionaga mafahar kikioizana na matoleo ya simu kero kweli huwa nikiona mtu kaibiwa simu kali nafurahi sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hao jamaa wenye hizo kuzitengeneza hawalali kuzi promote na kuonyesha zilivyo na uzuri ama utamu utadhani is our basic needs.Biashara ya cm haitofautiani sana na games za pes/pro evolution soccer so kila mwaka ni bandika bandua!
Kuwa wavivu wanakuwa na njia mbadala mkuu badala ya kukomaa na kazi kuwa ndio njia pekee ya kutoboa wanakuja na solutions za kuibia like kuibia mtihani. Kuna jamaa ameshawahi chabo akamshinda aliyekuwa anapigwa chabo. Daa Sina mbavu mkuu ujueUmenikumbusha kitu Mimi kwenye biashara yangu siwezi kuajiri Watu wenye bidii naajiri wavivu Narudia WAVIVU sio WAZEMBE ,Wavivu wenzangu tunahakikisha mambo yanatokea Kwa njia rahisi huku wenye bidii wakikaza misuli sana.
I have kinda of understood you,just playing with the human psyche and deep-seated emotions mostly the need to feel distinguished![emoji12][emoji12][emoji12]If you invest in human emotions utapiga hela. Yaani Kuna watu wanamjua binadamu deep down so Wana exploit her weakness.
Try to feed her dopamine or endorphins utavuna hela.
Wewe ndio taahira wa kijidai mwamba wa iPhone 14 eti unasema unazo toleo zote za iPhone wanaume hawezi kuzungumza hvyo hadharani Kiasi babu toka niondolee ushamba wako na utumwa wa fikra duniOna ulivyo mpumbavu, unahisi unanifahamu kwa chart zangu? Na chart vyovyote na nina behave ninavyotaka. Narudia sipo kwenye ligi ya simu, maisha yana mengi zaidi. Sipo hapa kushindana na matahira kama wewe
Wewe ni mpumbavu wa mwsiho kama hukunielewa kuanzia comment yangu ya kwanza uliyo ishobokea, basi ni kheri baba yako bao lilitunga mimba yako angelimwagia chooni.. Narudia kuanzai iPhone X nimeanza kuwa na hizo simu na hata 13 nimekuwa nayo na 14 nitakuwa nayo pia. Na simu zingine nimekuwa nazo pia.. Sina cha kuonea wivu iPhone, kummammako zako, usini quote tena.. Nakuweka kabisa kwenye kwenye list ya wapumbavuWewe ndio taahira wa kijidai mwamba wa iPhone 14 eti unasema unazo toleo zote za iPhone wanaume hawezi kuzungumza hvyo hadharani Kiasi babu toka niondolee ushamba mm mzee
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wafanya biashara haoNimerudisha Iphone-11 yangu niliyokuwa nayo wakanipa iphone-14 bure, mradi nisihame kampuni yao kwa miaka miwili, jambo ambalo haliwezekani kwani nimeshakuwa na kamuni hii ya T-Moble kwa miaka mitatu sasa na ninaridhika na huduma zao. Nikienda Tanzania huwa wananiunganisha na Airtel moja kwa moja bila mkwara wowote.
Kwa sasa sijaona tofauti yoyote ya msingi baina ya Iphone-11 na Iphone 14, ila ngoja niendelee kuangalia performance huko mbeleni. Wakati mwingine huwa wanafanya mkwara wa kutangaza kwa nguvu ili wauze tu.
Kwenda ukoo wewe mchambia gunzi tu huna lolote uanjidai tu Happ kuwa na wee unazo pesa kumbe Ni Kaka muarabu tuWewe ni mpumbavu wa mwsiho kama hukunielewa kuanzia comment yangu ya kwanza uliyo ishobokea, basi ni kheri baba yako bao lilitunga mimba yako angelimwagia chooni.. Narudia kuanzai iPhone X nimeanza kuwa na hizo simu na hata 13 nimekuwa nayo na 14 nitakuwa nayo pia. Na simu zingine nimekuwa nazo pia.. Sina cha kuonea wivu iPhone, kummammako zako, usini quote tena.. Nakuweka kabisa kwenye kwenye list ya wapumbavu
Bila Shaka wee nin kak muarabu [emoji23]Wewe ni mpumbavu wa mwsiho kama hukunielewa kuanzia comment yangu ya kwanza uliyo ishobokea, basi ni kheri baba yako bao lilitunga mimba yako angelimwagia chooni.. Narudia kuanzai iPhone X nimeanza kuwa na hizo simu na hata 13 nimekuwa nayo na 14 nitakuwa nayo pia. Na simu zingine nimekuwa nazo pia.. Sina cha kuonea wivu iPhone, kummammako zako, usini quote tena.. Nakuweka kabisa kwenye kwenye list ya wapumbavu
Wee Ni popo mwanadamiz na hz I'd zako feki za juzjuz tapeli tu unadhani mademu watakushobokea kisa macho matatuWewe ni mpumbavu wa mwsiho kama hukunielewa kuanzia comment yangu ya kwanza uliyo ishobokea, basi ni kheri baba yako bao lilitunga mimba yako angelimwagia chooni.. Narudia kuanzai iPhone X nimeanza kuwa na hizo simu na hata 13 nimekuwa nayo na 14 nitakuwa nayo pia. Na simu zingine nimekuwa nazo pia.. Sina cha kuonea wivu iPhone, kummammako zako, usini quote tena.. Nakuweka kabisa kwenye kwenye list ya wapumbavu