Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

Afadhali umenikumbusha, ngoja nikakitafute.
 
Sasa kama wewe husomi kwanini unawasemea wengine?..Hawakukuandikia weww kwahiyo waache walioandikiwa watajua wenyewe.
Kwanza huyu mleta mada nadhani kuna mahali kichwani hakujakaa sawa.

Ameileta hii hadithi labda kwa kuwalenga wajinga.

1) Alitakiwa alete takwimu za hayo mauzo ya hicho kitabu.

2) Aeleze matarajio ya mauzo ya hicho kitabu yalikuwa ni nakala ngapi kwa mwezi wa kwanza, miezi 6 au hata mwaka.

Halafu sasa kwa kulinganisha matarajio ya mauzo na uhalisia ndiyo angeweza kusema kama mauzo yamedoda.

Lakini hiki alichokileta ni hadithi ambayo huwezi kusema kama ni ya kweli au ujuha wenye lengo la hadaa.
 
Haya ndio matamanio ya kila mwana sukuma gang. Hicho kitabu tunakisoma kwa sana. Isitoshe anachafuliwa kwani alikuwa msafi?
 
Uongozi wa kishujaa na vitendo sio ongea nyiiingi na hakuna la maana, ndio haswaa tunachoweza kutetea bila kujali upumbavu wa wawapumbavu

We endelea kunyeshea maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, sisi tunaendelea kusoma kitabu cha kiongozi muovu, hutaki jinyonge.
 
Ukiachana na waandishi baadhi wa vitabu vya simulizi/hadithi, bongo hakuna mwandishi mwenye IQ ya kuandika kitu kikastimulate ubongo wengi ni mazwazwa tu, sijawahi kununua kitabu cha mbongo na haitotokea siku nikanunua.
Best author wapo mambele na ninawaunga daily kuna watakaosema si uzalendo ndio nakubali sasa wewe mswahili wa Tandika unaandika kitabu kwa lugha ya kiingereza ili iwe ni ni. Ni bora ninunue vitabu vya wenye lugha yao sio mbongo,
Im the state my foot.
 
Waandishi wa Tanzania wamejaa majungu tu
 
Mimi nikitafuta kwa uvumba na ubani nitakipata wapi?nielekeze mreta maada
 
Usikute matendo yao yanalingana!
 
Haya ndio matamanio ya kila mwana sukuma gang. Hicho kitabu tunakisoma kwa sana. Isitoshe anachafuliwa kwani alikuwa msafi?
No no no, si matamanio. Thamani ya mtu kamwe haipimwi kwa mauzo ya kitabu, hupimwa kwa legacy. Mie nimenunua na kukisoma, ni ugoro mtupu. Maana yake thamani ya Wahusika yaani ya askofubagonza na wale Wahariri ni ugoro.

Atakyeumia zaidi hapa ni Wahariri kwa vile malipo yao ni %ge asilimia ya mauzo, mauzo kiduchu malipo kiduchu.

Mnufaika mkuu hapa ni askofubagonza kwa vile malipo yake ni fixed, 60m nasikis Milioni 60 nasikia, whether mauzo ni mazuri au la. Ĺakini hiyo ni hela ya damu kama vipande 30 vya Yuda Iskarioti.

I mean, Chato ni dayosisi ya KKKT askofubagonza, yaani kuna kondoo wake kule akiwamo Magufuli. Iweje leo amtukane marehemu kwa kuleta Airport nzuri ambapo KKKT jirani ya Bukoba watu 17 walikufa na PrecisionAir kuzama kwenye Airport mbovu?

Wenzie Wahariri kwao wana Airport 3 karibu karibu, ukiweka na Embakasi zinakuwa 4. Askofu wa Kanisa anaonaje nongwa Watanzania kondoo wake wakifaidika? Ni bora Yuda alijinyonga sasa hatujui kama alienda Peponi au la, lakini askofubagonza bado tunaye na agenda yake ya mashoga.

Aidha, Mhariri wa 3 Mr. Kibanda alitumiwa na CHADEMA kutaganza na kutetea mgomo wa Madaktari Interns wa Muhimbili mwaka ule, hadi Mume mmoja aliyefiwa na mkewe (kwa kukosa huduma) shauri ya mgomo aka chukua sheria mkononi akamtela akamtesa Mabwepande hadi leo anavaa miwani myeusi.

Si ni bora ajihazari wasije wakaja wafiwa wengine kuhamaki wakaua hata hiyo miwani? Mauzo ya kitabu yatamsaidiaje?
 
Ni watu wachache wapuuzi tu ambao watawaamisha watu stori ya kijinga . Magufuri alikiwa rais wa Tanzania sahihi kwa muda sahihi na kufanya mambo mengi yaliyoshindikana
Mimi sijakisoma kwa vile kiingereza sijui vizuri. Nakushauri utafute hicho kitabu, soma halafu uonyeshe mapungufu yake dhidi ya ukweli. Hapo utakuwa umetenda haki kwa wengi wetu.
 
Mkuu tuonyeshe ugoro wa hicho kitabu ni huu na ukweli ni huu. Kwa kifupi chambua uongo wao dhidi ya ukweli.
 
Dah nakitafuta kila semu huku Ngara nimekikosa, inaonyesha Wasukuma tumekipenda sana!
 
Mimi sijakisoma kwa vile kiingereza sijui vizuri. Nakushauri utafute hicho kitabu, soma halafu uonyeshe mapungufu yake dhidi ya ukweli. Hapo utakuwa umetenda haki kwa wengi wetu.
Usipoteze muda kusima negative attitude za watu.
1. Ikiwa alikisea kuvunja watu waliojenga kwenye eneo la barabara kimara. Wapite bagamoyo wanapoenda Moro.
Ndio maana maeneo ya serkali na ya jamii wenye hela wanayavamia na kujimilikisha.

2. Kama bwawa la Nyerere halifai eti kwa kukata hifadhi ya urithi ya UNESCO. Wajiulize sisi na ulaya nani ni mharibifu wa mazingira namba 1 . Basi waagize majenereta.

3. Kama nidhamu eneo la kazi na vyeti feki ni uonezi . Wakubaliane na ile kauli ya Unanijua mi nani? Na vinemo. Kwahiyo kufoji cheti ruksa.
4. Watu wasituambie juu ya Ben sanane na wengine kwenye viroba, hiyo tunaijua kuwa kila mtawala iwe Tz au nchi yoyote hufanya, kwani Mwangosi na Ulimboka alikuwa jpm? Wakimbizi wa kizanzibar huko Kenya? Mauaji ya wasukuma miaka ya 80 walikuwawakiwekewa pilipili sehemu za siri na kuuawa kinyama, waziri alikuja kuwa rais alijiuzulu na baadae hakufikishwa mahakamani bali akawa rais..
Muulizeni Sanga na wengine waliowekwa makazi maalum wasitoke.

Angalia mazuri , mapungufu yake atakuja kurekebisha ajaye ambaye naye ana makosa.
Hii ya hili nalo nendeni mkaliangalie inasaidia kitu? Kuwa rais ni kutawala
 

Hapa ndio unaona umetupoteza maboya ile mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…